Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani usitolee mfano wa nchi kama Japan, Korea Kusini, Botswana, Ghana etc ambako viongozi wanchaguliwa na wakimaliza muda wao wanaondoka na nchi zinaenda vizuri? Rwanda na Libya zilikuwa na common features, ambazo ni uongozi wa mabavu kiasi kwamba hata wale wanaonyanyaswa hawasikiki. Anapoondoka kiongozi wa namna hii, lazima moto utawaka.Nikiona ujinga unaofanyika Libya naona Kagame aendelee miaka mia au hata hapa Tanzania tungejua ujinga huu ungerejea migao ya umeme na upuuzi wote huu namkumbuka sana magufuli
Kuna mazuzu wengi wa kulishwa maneno ya uzushi kisha wanaamini bila kutafakari.Upumbavu kama huu na wewe kabisa unakubaliana nao.? Yan nchi huru kubwa yenye heshima kama Tanzania ikalindwe na vimigambo hivyo vya hapo pembezon mwa kigoma
Nini maana ya dikteta. ?Dikteta anayependwa na nchi za magharibi
The bold yuko wapi?, alikumbwa na nini hadi akatukimbia?Kwani kuna aliyetegemea tofauti na hilo?
Hakuna wa kumtoa Kagame kijeshi.Style aliyoingia nayo madarakani ndio hiyo atakayo toka nayo
huyu kishingo naye anaelekea kubaya, anaogopa kuachia ofsini kwa nini?View attachment 2755533
Akizungumza na Jarida la Jeune Afrique, Rais wa Rwanda, Paul Kagame amethibitisha kuwa atawania nafasi hiyo kwa mara ya 4 kwasababu Wananchi bado wana imani naye.
Kagame aliulizwa anachukuliaje uamuzi wake kwa kulinganisha na Mapinduzi yanayoendelea katika Nchi za Afrika Magharibi, ambapo alijibu Wananchi wa Rwanda ndio wenye uamuzi wa mwisho na yeye ataendelea kuwatumikia kwa kadri anavyoweza.
Kwa uamuzi huo sasa ni rasmi Kagame amefuta kauli yake ya Aprili 2023, aliyosema anatazamia kustaafu na kukabidhi Madaraka baada kuwa Rais kwa miaka 23. Kagame amekuwa Rais tangu mwaka 2000 ambapo mwaka 2015 Serikali ilifanya mabadiliko ya Katiba na kuondoa ukomo wa mihula 2 ya Utawala
===========
Rwanda's President Paul Kagame has said he will run for a fourth term in next year's presidential election.
“Yes, I am indeed a candidate,” Mr Kagame told French-language magazine Jeune Afrique on Tuesday.
Asked about what the West would think about his decision to run again, Mr Kagame said, "I'm sorry for the West, but what the West thinks is not my problem".
"I am happy with the confidence that the Rwandans have in me. I will always serve them, as much when I can."
Mr Kagame had in April said he was looking forward to retiring and handing over power after 23 years in office.
The country's ruling party, the Rwandan Patriotic Front (RPF-Inkotanyi), retained Mr Kagame as its chairman in April. He has led the party since 1998.
Mr Kagame has been president of the East African nation since 2000. A controversial referendum in 2015 removed a two-term constitutional limit for presidents.
He won the last election in 2017 with 98.8% of the vote.
Rwanda under President Kagame has enjoyed relative political stability but critics and human rights groups accuse his government of limiting political freedoms and suppressing dissent.
MWANANCHI
Mwisho wake natabir hautakuwa mzuri huyu mtu.Jamaa ataachi madaraka kwa
1.Mapimduzi
2.Kifo Cha ugonjwa.
Otherwise hawezi toka hapo abadani Asilani.
Akishinda uchaguzi atasema ndio mara yake ya mwisho
Ila uchaguzi ukikaribia anapata arosto anatamani aendelee kubaki tena na tena.
Atang'oka madarakani kwa staili Ile Ile aliyoingia nayo.
Sasa kama ghadafi alitoka itakuwa yeyeHakuna wa kumtoa Kagame kijeshi.
Alizidiwaje wakati yeye ndo alikuwa mentor wake kiasi cha kumwekea hadi walinzi kutoka rwanda?
Kauli yako ya kwanza ibakie hivyo, jamaa lipo smart sana upstairs.
Sent using Jamii Forums mobile app