Kagame: Tupo Tayari kumpiga Tshisekedi

Kagame: Tupo Tayari kumpiga Tshisekedi

Mkuu, population inahusiana nini na Ushindi Katika Vita?

Kuwa na Jeshi kubwa na idadi kubwa ya watu haikupi guarantee ya Ushindi!

Japokuwa siwapendi wazayuni,lakini pamoja na udogo wao walizishinda Egypt,Jordan na Syria kwenye Vita ya siku 6 tu!

Hii kauli yake sio ya kupuuzwa.

Jeshi lao liko modern sana, mpaka wanaongea hivyo jua wamejipanga!

Ukiona Kobe yupo juu ya Mti ujue Kapandishwa huyo...!

Watu wako MACHO.
Mkuu, huyo jamaa kasema ukweli population ya congo ni kubwa sana Rwanda Ina nafasi kubwa kushindwa na kingine huwezi kujua nchi jirani kama Kenya na Tz zitakuwa upande gani
 
Inavurugwa na mabeberu
kwa msaada wa wenye nchi.

ni sawa na taifa langu la ukimani kutwa kuwalalamikia wahindi wanasahau wahindi wana take advantage ya mfumo mbovu na support ya watawala. ukosoaji uanzie kwa watawala wanaotengeneza mazingira ya upenyo wa ulaghai na hujuma.
 
Vita siyo ukubwa wa nchi, vita ni intelejensia, kama jeshi la DRC wameshindwa kutokomeza waasi wa M23 ndo wataweza kumpiga Rwanda? Leo Israel yenye eneo kama mkoa wa Kilimanjaro inawajambisha mataifa ya kiarabu makubwa na yenye population kubwa. Vita ni mbinu, ubora wa jeshi na uzalendo, silaha, tumeona jeshi la Rwandan walivyoingia Mozambique waasi walinywea
Sasa unadhani kutokomeza waasi wanaosapotiwa na nchi za magharibi unazani ni kazi rahisi au unaongea tu.Mataifa ya kiarabu yalipigwa na Muungano wa USA na washirika wake UK,France na Germany acha kutuletea hapa hadithi za kitoto eti Israel ilizipiga nchi za kiarabu.
Huyo Israel kama yupo ndani ya Mkoa kama wa Kilimanjaro na intelligence kama unavyosema inawezekana vipi kikundi kama HAMAS ambao wapo humo humo ndani ya ka nchi kadogo wamusumbue.
 
kwa msaada wa wenye nchi.

ni sawa na taifa langu la ukimani kutwa kuwalalamikia wahindi wanasahau wahindi wana take advantage ya mfumo mbovu na support ya watawala. ukosoaji uanzie kwa watawala wanaotengeneza mazingira ya upenyo wa ulaghai na hujuma.
Mazingira ya upenyo na ulaghai yapo kote,shida ni kwa mlaghai,maana uasi hata ndani ya dini umo
 
Kama Tishekedi anawakataa Wanyamulenge basi waruhusiwe wajitenge na waanzishe Republic yao.
 
Nyuma ya kagame kuna wazungu ambao wamtia UJINGA apigane waibe madini
Hii excuse ya kitoto sana, nakumbuka Zimbabwe ilipomsaidia Kabila kupigana dhidi ya Kagame wao ndio waliiba dhahabu nyingi huko Katanga!

Mfano kwa sasa kuna kampuni tayari za wazungu zina mikataba ya kuchimba why walete vita wakati tayari mikataba wanayo?
 
Kagame Yuko sahihi

Kongo ikubali watusi Walioko Kongo kama raia wao
Mambo ya kuwabagua hawatendei haki
Mkimbizi awe raia, kisa kalowea nchini kwako is it?.
 
Mkimbizi awe raia, kisa kalowea nchini kwako is it?.
Wale Sio wakimbizi wako Kivu Miaka nenda Rudi hata kabla Kongo kupata uhuru ni sawa na sisi useme wajaluo wakimbizi toka Kenya au wanyada useme wakimbizi toka Malawi

Wale watusi ni kabila halali la Kongo kama walivyo kabila halali la Rwanda na Burundi
 
Wale Sio wakimbizi wako Kivu Miaka nenda Rudi hata kabla Kongo kupata uhuru ni sawa na sisi useme wajaluo wakimbizi toka Kenya au wanyada useme wakimbizi toka Malawi

Wale watusi ni kabila halali la Kongo kama walivyo kabila halali la Rwanda na Burundi
Kumbuka wakati wa vita ya wenyewe kwa wenyewe (Watutsi na Wahutu) hapo kulifanyika migrate kubwa ambayo ndiyo leo inasumbua DRC na PK kuwatumia hao kuiba mali za Kongo.
 
Kumbuka wakati wa vita ya wenyewe kwa wenyewe (Watutsi na Wahutu) hapo kulifanyika migrate kubwa ambayo ndiyo leo inasumbua DRC na PK kuwatumia hao kuiba mali za Kongo.
Raisi Kikwete anatakiwa kuingia kwenye Kitabu Cha Guinness world of record alisema waafrika tusiwe watumwa wa historia

Tanzania raia halali wa Tanzania ni wasabdawe makabila yote mengine wahamiaji
Rwanda Burundi na Kongo raia halali wenye nchi ni mbilikimo na watwa

Ukisoma History nchi zote makabila mengine yalitokea kaskazini huko wakikimbia vita,uchawi,kutafuta malisho ya mifugo Nk

Soma history ya Kabila lako utagundua kuwa wewe sio mtanzania ni muhamiaji

Tafuta history ya Kabila Yako lilitokea wapi

Watusi wa Kongo ni raia halali wa Kongo walio immigrate miaka hiyo zamani sana

Kongo hawawatendei haki kutokubali kama raia wa Kongo na kuwanyanyasa kisa tu watusi

Kongo iache kuwaonea raia Wao watusi wakongo
 
... Kongo hawawatendei haki kutokubali kama raia wa Kongo na kuwanyanyasa kisa tu watusi
...
Sidhani kama mimi au mwingine anaweza kukupinga kwa reply yako.

Ila mimi nakupinga kwa hiki hapa; Hao watusi waliopo Kongo wanatumika vibaya na PK, yaani majeshi ya M23 yanaiba mali wakijifanya Watusi na kupeleka Kigari.

How come Kigari iwe moja ya nchi wauzazi wa madini ghari ambayo hawana na hawana ubia na nchi yoyote wa kuchimba na kuyarudufu, achilia mbali kuuza?.
 
Back
Top Bottom