Mkuu kumbuka hata saa mbovu kuna muda inasema ukweli!Huwezi Kuwa mchafu ukatoa hoja ya maana! Kama unaujua umaana ungedeal na uchafu wako kwanza.
Kagasheki hana moral authority ya kumnyoshea mtu kidole!
Usimwamini muongo hata akisema Ukweli!Mkuu kumbuka hata saa mbovu kuna muda inasema ukweli!
Makonda anatukosea sana makada, nilifikiri amekaa benchi amejifunza kumbe kichwa bado iko loose.Ameandika Khamis Kagasheki
" Duniani kote, serikali ni kioo cha nchi. Ktk nchi za kidemokrasia vyama vya siasa hutafuta dola na kuunda serikali ambayo huwajibika kwa chama kile. Lakini style ya kutia kitimoto mawaziri na waziri mkuu na kuwapa ultimatum hadharani haijengi bali inamadhara.
Ninakiri ulazima wa viongozi kutoa ufafanuzi wa mambo na kujibu hoja za wananchi kwani wao ndio waajiri wa viongozi. Zipo njia nyingi za kuhoji viongozi na kupata ufafanuzi kutoka kwao bila kuwavunjia heshima. Katibu Mkuu wangu, Daniel Chongolo style hii ya sasa, sio."
Kiufupi hiyo style haina tija, muda utatuambiaMama atakwambia hapendezwi lakini inasaidia...kama hutaki Makonda akuropokee fanya kazi yako kwa wakati sahihi
Viongozi wenyewe ndo wachangiaji wa kero za wananchi, ufisadi, ubabe, ujinga, kutojali wananchi, wizi wa Mali za umma, uzembe, na kutaka kutokukaripiwa, na kupenda kuabudiwa na kutokusemwa waziwazi kwaiyo makonda waseme na waropokee hadharani, hakuna staha yoyote anayostahili kiongozi asiyewajibika so Kagasheki kaa kimya wakati Makonda anafanya kazi. Mnataka tuwapetpet tena?Ameandika Khamis Kagasheki
" Duniani kote, serikali ni kioo cha nchi. Ktk nchi za kidemokrasia vyama vya siasa hutafuta dola na kuunda serikali ambayo huwajibika kwa chama kile. Lakini style ya kutia kitimoto mawaziri na waziri mkuu na kuwapa ultimatum hadharani haijengi bali inamadhara.
Ninakiri ulazima wa viongozi kutoa ufafanuzi wa mambo na kujibu hoja za wananchi kwani wao ndio waajiri wa viongozi. Zipo njia nyingi za kuhoji viongozi na kupata ufafanuzi kutoka kwao bila kuwavunjia heshima. Katibu Mkuu wangu, Daniel Chongolo style hii ya sasa, sio."
Mwizi mkubwa na kundi lile linaloishi kwa kuikamua nvhi hii!Ameandika Khamis Kagasheki
" Duniani kote, serikali ni kioo cha nchi. Ktk nchi za kidemokrasia vyama vya siasa hutafuta dola na kuunda serikali ambayo huwajibika kwa chama kile. Lakini style ya kutia kitimoto mawaziri na waziri mkuu na kuwapa ultimatum hadharani haijengi bali inamadhara.
Ninakiri ulazima wa viongozi kutoa ufafanuzi wa mambo na kujibu hoja za wananchi kwani wao ndio waajiri wa viongozi. Zipo njia nyingi za kuhoji viongozi na kupata ufafanuzi kutoka kwao bila kuwavunjia heshima. Katibu Mkuu wangu, Daniel Chongolo style hii ya sasa, sio."
Amekuwa waziri ma Balozi bila kuwa positive impact kwa wananchi . Leo anataka watu waende kwa utaratibu, je utaratibu gani? Yaani aanzie kata hadi kumfikia rais itakuwa leo? Wengi hufa au kupata shida wakiripoti ofisi za serkali bila matokeo zaidi ya danadana na rushwa.
Haupo utaratibu maalum wa kutoa kero wala malalamiko na kujibu hoja , kama inamuuma hiyo njia ahamie Burund
Balozi yupi ana impact kwa taifa hiliAmekuwa waziri ma Balozi bila kuwa positive impact kwa wananchi . Leo anataka watu waende kwa utaratibu, je utaratibu gani? Yaani aanzie kata hadi kumfikia rais itakuwa leo? Wengi hufa au kupata shida wakiripoti ofisi za serkali bila matokeo zaidi ya danadana na rushwa.
Haupo utaratibu maalum wa kutoa kero wala malalamiko na kujibu hoja , kama inamuuma hiyo njia ahamie Burundi
Pole Sana, hakuna mpinzani wa kuitikisa CCM.Nakama mwenezi amawashusha hivyo mawaziri wa serikali ya chama chake ni sawa na kutangaza hadharani kuwa CCM ina dhamana ya kuunda serikali lakini imeshindwa na kuunda serikali mbovu isiyo wajibika kwa raia na inafaa kuondolewa.
Kazi hii anayoifanya Makonda aka Bashite ni ya faida sana kwa wapinzani wa CCM kuliko CCM wanavyodhani kuwa ni uenezi kwao.
Asante sana Mr Zero brain kwa kazi yako ya kutangaza kuwa CCM imechoka na inatakiwa kufanya overhaul kwa ujumla
Kagasheki aache ubabaishaji. Alikuwa waziri asiye na tija. Ni miongoni mwa mawaziri waliokuwa wanajisikia na kujiona kuwa wao ni watofauti.Alikuwa waziri anayeitumikia nchi .....sio bukoba
Tabu yote ya nini wakati wana uhakika wa kutawala milele?Hivi wakati kina Kinana na Nape wanaita mawaziri mizigo alikuwa wapi? Kinachoenda kwenye uchaguzi ni chama sio serikali. Kazi ya chama ni kuhakikisha serikali inatekeleza ilani ya uchaguzi.
Kwa nini wasiwajibishwe kisheria?. Haya Mimi nitaendelea kuamini kwamba ni Maigizo hadi pale itakapothibitika vinginevyo!Kwa hali ilivyo Mawaziri na watendaji hawaheshimu watu acha qavunjiwe heshima kama walivyo wao.
JPM alikuwa akifukuza hapohapo pasipokufuata utaratibu na wananchi mkawa mnashangilia sana, na akienda kwenye mkutano wa hadhara na siku hiyo asitumbue mtu watu wanatoka kinyonge kweli, lkn yaliyotokea wote tunajua ni lawama kwake kila kona.Utaratibu wa kusikiliza kero za wananchi haujaandikwa kwenye kitabu, ambacho ulimwenguni kote tunatakiwa kujifunza huko.
Kero za wananchi zinasikilizwa kwa namna mbalimbali kulingana na jiografia ya eneo husika, na desturi ya watu wa sehemu hiyo.
Sio lazima kwetu Tanganyika tujifunze namna wamarekani na wafaransa wanavyosikiliza kero za wananchi wao, hjko kutakuwa sawa na utumwa wa kifikra kwetu.
Ktk job description yao kna "kskliza kero bila kupatia solution"! Kiila sku nawaona kuanzia UVCCM hadi KM wakizngka kufatlia kero za wananchi lkn kla mwk CAG anatoa ripoti chaf. Huyu Mwenezi yy anatoa ultimatum bila kujua jinsi ya kuzfatlia, nao wahusika wanazidharau, wanamjua. Ndo kusema Katiba ni kijitabu tu...nkUtaratibu wa kusikiliza kero za wananchi haujaandikwa kwenye kitabu, ambacho ulimwenguni kote tunatakiwa kujifunza huko.
Kero za wananchi zinasikilizwa kwa namna mbalimbali kulingana na jiografia ya eneo husika, na desturi ya watu wa sehemu hiyo.
Sio lazima kwetu Tanganyika tujifunze namna wamarekani na wafaransa wanavyosikiliza kero za wananchi wao, hjko kutakuwa sawa na utumwa wa kifikra kwetu.
Kwa hiyo awape matumbo ya kwenye furiji siyoAmeandika Khamis Kagasheki
"Duniani kote, Serikali ni kioo cha nchi. Katika nchi za Kidemokrasia vyama vya siasa hutafuta Dola na kuunda Serikali ambayo huwajibika kwa chama kile. Lakini style ya kutia kitimoto Mawaziri na Waziri Mkuu na kuwapa ultimatum hadharani haijengi bali ina madhara.”
“Ninakiri ulazima wa viongozi kutoa ufafanuzi wa mambo na kujibu hoja za Wananchi kwani wao ndio Waajiri wa Viongozi. Zipo njia nyingi za kuhoji Viongozi na kupata ufafanuzi kutoka kwao bila kuwavunjia heshima. Katibu Mkuu wangu, Daniel Chongolo style hii ya sasa, sio."
Mkuu kwani wewe kufanana akili na Bashite unaona ni tusi?Wewe akili zako zimefanana na Kagasheki hadi kusikiliza kero za wananchi mnaona wivu