Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
- Thread starter
- #141
Acha ujingaHuyu mtoto ana matumizi mabaya mno ya fedha za UMMA NA CHAMA, muaangalieni mno, ana force taasisi na ofisi za UMMA kuingia matumizi yasiyopangwa na yasiyo na Tija kwenye shughuli zake za kujitungia tungia, misafara zaidi ya makamu wa rais, mpuuuzi mno, endeleeni kumchekea