Kagasheki: Mtindo wa Makonda kuwapa tumbo joto Mawaziri haufai. Dunia nzima kuna utaratibu wa kusikiliza kero za wananchi

Acha ujinga
 
Usijumuishe kabila zima kwa upumbavu wa mtu mmoja..

Huyu ndo alifanya hata huo uwanja ujengwe katikati ya mji na hatimaye kuubana mji wa bukoba ambao una tambalale ndogo...

Plan ilikuwa kujenga uwanja wa Kimataifa kajunguti 35km kutoka bukoba maeneo ya misenyi kama ilivyokuwa imepangwa toka 1996 na watu walishalipwa fidia kule.... lakin huyu swahiba wa kikwete akakataa na kutaka ujengwe jimboni kwale ili apate credit miaka ya 2012...Mungu si athumani akaaanza ugonvi na meya wa Bukoba na kupelekea miradi ya ujenzi wa soko na stendi kuu bukoba kukwama...na 2015 upinzani wakachukua jimbo la bukoba na yeye kutupiliwa mbali...
2020 CCM wasingemrudisha huyu mtu hata kidogo so magufuli akamleta mtu mmpya kabisa Mh byabato...na kweli maendeleo ya mji wa Bukoba yameamuka tena kwa kasi Bukoba kukijengwa stendi mbili, mji kuwekewa taa, barabara za njia nne nk nk...
Juzi hapa Byabato analia hadharani moja ya sababu ni huyu Kagasheki na ubinafsi wake anataka nyumba yake iliyoko barabarani isivunjwe sasa sijui hata barabara ya njia nne!!....na naskia anataka arudi 2025...japo watu wa Bukoba hawamtaki hats kumsikia bora huyu byabato aendelee
 
Samia anachojali, ni punda afe,mzigo ufike!
Yeye anaangalia Uchaguzi ujao, na, kusaidia familia yake na kenge wa CCM waibe,
Tatizo ni kichwa kimeoza,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…