Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

Unaona unavyodhihirisha kwamba hao wahaya siyo level zenu na ndiyo sababu umesema washindani wao ni wachaga. Sasa wewe maamuma usiyefahamika kwenu ni wapi unaanza kujilinganisha nao. Utakuwa mshindani na kujilinganisha na mtu asiye mbele wala nyuma? Mmekosa hoja mnabaki kueneza chuki za ukabila kama ilivyo kwenu

Kutaja kwako wahaya na wachaga tayari umedhihirisha kwamba hao watu si wa level zenu. Kabila lako lina nini cha kujifunza zaidi ya kufunga misuli na kuanika pum.....bu nje
 
Kwani ulilazimishwa kuishi kwao au ni kujipendekeza kwako? Tanzania ni kubwa sana ukiona sehemu haikufai unaenda sehemu nyingine. Kilichokushinda kuyafanya kwenu uliyotaka kuyafanya huko ni nini? Ujinga wako ndiyo unakufanya ushinde hapa kujadili makabila badala ya kuwaza namna kuijenga familia yako. Ungekuwa na akili usingeshinda hapa kujadili makabila na siku ukitaka mjadala wa makabila uanze na kabila lako wewe mwenyewe.
 
Tatizo kwetu Watz tunapenda sana kukremisha bila kuchambua, mfano : mhaya ni mjuaji na mkabila, mchaga ni mwizi; we are so much addictif to Β« hear say Β» than facts! Shame on us!
 
Personnal sioni ubaya. Inaitwa ustaarabu. Kama alikudai kitabu chake halafu wengine hakudai, ujue tu mna makuzi tofauti , in short alikua hao wengine watarudisha kitabu bila makelele na usumbufu.
 
yaani umeongea ukweli mtupu.
nilipelekwaga bukoba mwaka 2012 kudeal na jambo flani la kiofisi kwa miezi 3, ila niliyoyaona nilichoka, ikabidi nisolve very faster niondoke before 3 month aisee.

wahaya wanajikuta jamaniii, afu for nothing, kujifanya wanajua kumbe mazero brain kabisa. Ukabila sasaaa wooi
majungu maofisini na kukwamishana ndo penyewe, ili mradi asie kabila lao asiwazidi, hata ue boss wao utajuta, nilikua nashinda na viatu whole day nilipoenda somewhere bunazi,kyaka huko for 1 week, nikaona watu wanavokoma kwa funza, kuna mafunza kule jamani.

ila ukitoa kizazi cha kina prof Tibaijuka ambacho kinaenda kuisha waliobaki ni upuuzi mtupu
 
bwana wee, is not about mentality, ni reality tu. kila sehemu kuna watu tofauti na pia wageni, na aliyoongea mtoa mada sio kwamba wahaya wote wako hivo, ila % kubwa wako kama alivoeleza mtoa mada
 
wewe ni muhaya, jirekebisheni
 
unajitetea sana nshomile, chonkaa bhojo
 
muhaya huyo achana nae
 
Jengeni mji wenu acheni kujitutumua mjini
 
maspota "Iwe bhojo mshaija taina magezi"
 
Ila bar karibu na CRDB pale ilitoka kwenye kale kagorofa(night club) pale juu..palikua panaitwa OKSIJEN/Oxygen kama sikosei,! Na ile motel karibu na lile daraja la kwenda hamgembe kwa tajiri mmoja anaitwa Muganyizi...sema jina ndo nimesahau ile bar...

Nimeishi Kibeta Na kumalizia kule Kashura...!

Nakumbuka nilikua nikitoka zangu kashura nakamata njia ya kwenda Maruku nafika kule Kabuhora beach kutembea na kuchukua samaki..

NB; Bukoba nilichopendea ni ule ukijani aiseeh, mvua mvua kimtindo, sato, sangara basi nilikua nikikaa kiroyera beach pale kuna madogo pale wanakutengenezea samaki Sato fresh wa foil wanamuwekea maza zaga unakula na ugali pale fresh huku ukiangalia ziwa victoria na kula upepo na ule ukijani..!

Nimezunguka BK kule Kanyigo, Kaisho, karagwe, kyerwa, bunazi, muleba, biharamulo, kyaka, mutukula .e.tc
 
Kitu umefanikiwa katika huu uzi ni kuonesha kuwafahamu vema watanzania ambao ndio walengwa wako. Kwamba ukipangilia maneno yako vizuri wanakubaliana na wewe hata pasipo ushahidi wa kutosha wa kutetea hoja zako.

Sasa ndugu nikuulize, huko Bukoba hakuna jema?

Ni mkoa gani hakuna ubaya?

Yaani mkoa upi una wema tu na hauna ubaya wowote, bali ubaya ulijikusanya ukashamiri mkoa wa Kagera tu!!?

Suala la kujengeka mji wa Bukoba, uliambiwa ni wahaya tu ndio maafisa katika ofisi zote za manispaa ya Bukoba?! Kwamba maamuzi ya kiutendaji ambayo yanapaswa kuubadili mji ni ya wahaya tu? Hakuna makabila mengine kwenye ofisi hizo za manispaa au mkoani?

Je ni mji gani haswaa umejengeka katika nchi hii? Kwa akili yako Dar imejengeka? Yaani akija mgeni kutoka nje kisha akarudi kwao ataseme Dar ni jiji la kisasa? Huoni kwamba ndiyo sasa miundo mbinu yake haswa barabara ndio zinaboreshwa? Kama Dar mji wenye hadhi ya kitaifa uko hivyo sembuse Bukoba!?

Hujui kuwa mji mpya ni rahisi kujengeka kirahisi na kwa mpangilio mzuri kuliko miji mikongwe?! Kulinganisha Bukoba na miji inayochipukia ni kutokuelewa mambo.

Hivi ni kwa nini watu wanawapinga wahaya kuzungumza kihaya, si ni lugha yao!! Na kwa nini wewe huzingumzi lugha yako!? Unaionea aibu kisha unawaponda wanaojivunia lugha yao ya asili? Kweli!?

Kwa nini wageni wakija Tanzania wanakuta tunajivunia kiswahili? Je mzungu au mchina akikuta tunazungumza kiswahili mahali fulani huwa tunaendelea kutumia lugha yetu hii au inatubidi kubadili na kuzungumza kiingereza ili tuendane nao hata kama tunayoyazungumza hayawahusu...!! Why kihaya tu ndio kinawakera!?

Maswali ni mengi kuliko majibu! Why always wahaya...?

Mlaturugao norunwanwa...!
 
Ukiwa mgeni kama umefungua biashara hawaji kununua kwako na kama una bidhaa flani na haipo kwa wenyeji basi wataongea kirugha ili ikajumuliwe bidhaa na mwenyeji ili wajiungishe wao
Mkuu hiyo ni sehemu yoyote ambayo hakuna wageni utakuta hiyo tabia. Mfano ukienda Zanzibar ukifungua mfano Biashara sehemu ambazo hakuna Watanganyika Wazanzibar hawaji kununua na wata hakikisha wanaitupia majini ili ife, Bora uko Bara kuliko mikoa ya Pwani wao hawataki kabisa kuona mgeni unafanya jambo la maendeleo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…