Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

Kwa kina Nyerere wa jf.
Nimefurahi sana kuwajua zaidi hawa wakwe zangu watarajiwa.

Ukimposa dada wa kihaya wazazi wanataka barua ya posa iwe na muhuli wa mwanasheria,barua ya mwenyekiti wa mtaa,bank statement,ushaenda ulaya mara ngapi.Alafu usubiri posa yako ijadiliwe na wanandugu wanasheria.🤣😅
Siyo kweli wengi choka tu mkuu. Hizo mbwembwe na za wale wenye fedha ila hata mhaya awe na fedha kidogo utadhani ni Mo kwa matambo hayo.
 
Huyu jamaa kakaa wiki tu ndio amekuja na conclusion hizi.

Tatizo kuna watu wengi wanaingia kagera na expectations zao lakini pia na mentality ya huku napokwenda watu wanaringa, wanajiskia na ni wabaguzi. Ila ukikaa nao fresh mbona wahaya hawana shida na pia wanakirimu zaidi wageni.

Nilikaa mkoa wa njombe, watu walikuwa wanaongea lugha yao na ubaguzi wa wageni kwenye kufanya biashara ni mkubwa. Na hayo mambo ya mauaji na vitu vingine negative Ila mimi binafsi nilikaa nao vizuri sana na walinikirimu vizuri sana sanaaa maana maparachichi na mikate yao ya kikinga nilikula sanaaa..
Kwa hiyo ningekuwa na negative mindset ningefungua thread kuisema vibaya lakini experience yangu ya kuzunguka Tz hii imenifanya niwe mtu adaptable yani kuona jukumu la kufit in ni langu. Huwezi expect uende china utegemee wazungumze kiswahili au uende marekani wawe social kwako ili ujihisi vizuri.. Impossible

Nadhani watu wengi hususani wa Dar wana tatizo sana hili tofauti na "mikoani" ndio maana ukifuatilia thread za kupondea mikoa mingine utaona wengi ni wao kwa sababu wengi wamekosa exposure ya mkoani na wamezoea city life. Hili nimezoea Ila nikiona mtu katembea mikoani anakuja na worst conclusion huwa namshangaa kiasi
Ila kuna vitu kaviongelea zaidi ya lugha..na wengi wamedhibitisha hivyo..so inabidi watu wa huko wajifunze
 
Ila kuna vitu kaviongelea zaidi ya lugha..na wengi wamedhibitisha hivyo..so inabidi watu wa huko wajifunze
Mimi ni mhaya nimezaliwa Temeke lakini nimekulia bukoba nimesoma huko hdi form 4. Ukiwa ndani ya jamii huoni hizo dosari, ukitoka ukatafakari unagundua kuwa kuna shida.
Toka nimalize form 4, zaidi ya miaka 17 iliyopita nimekuwa narudi tu kutembea na kutazama ndugu. Mara ya mwisho nilikuwa bukoba 2021, aisee nilienda madukani kununua vitu nami nikarealize kuwa hakuna customer care. Mtu anakuhudumia kama vile hataki mara akitokea mtu anamfahamu anaacha kukuhudumia wanaanza kupiga story tu. Lakini wanaoishi katika jamii wanaona kawaida nadhani hata mimi nilinotice kwa sababu muda mrefu siishi bukoba.
Mji haubadiliki uko vile vile. Kuhusu ardhi, 5-10 nje ya mji lazima pawe ghali kwanza wenye ardhi wanaithamini na pia mji ule mdogo unapotential ya kupanuka hivyo lazima waiuze kwa bei ghali.
Ila ukienda 50km nje ya mji ardhi mashamba yanauzwa bei chee kabisa.
Kuhusu kutenga wageni sidhani. Kuna mtu hapo kazungumzia kuwa alienda kusoma kule akiwa mtoto akaathirika. Sasa nimemwelewa. Nakumbuka tukiwa sekondari kuna jamaa alihamia kutoka tanga, alikuwa anaongea lafudhi ya pwani. Alikuwa mashuhuri shule nzima kwa sababu ya jinsi anavyozungumza. WAtoto walikuwa wanaona anachekesha wanamtania, si kwamba walikuwa wanamtenga bali kwao ilikuwa kitu cha ajabu jinsi anavyozungumza kishwahili kwani mhaya na kiswahili wapi na wapi.
Lakini jamaa alifit in haraka na kila mtu alikuwa rafiki yake.
Pia bukoba hakuna pesa mzunguko ni mdogo. Kwa sasa hata mimi kuishi bukoba ni kipengele zaidi ya kwenda kusalimu na kuangalia mashamba ya urithi kuishi hapana kwa kweli.
 
Uchambuzi gani huu? Nijiuavyo, Kagera si Bukoba wala si ya wahaya. Kwani wapo wahangaza, wanyambo, wasukuma na makabila mengine. Tatizo lako ni kutumia muda mwingi kutaka kila kitu kiwe kama unavyotaka. Kwa wanaojua ubunifu, unapokuta sehemu fulani inakosa kitu au vitu, hizo ndizo fursa na siyo lawama.
Kyupi kikidondoka kubali kuchutama
 
Nlikuwa Nina miaka tisa nilipopelekwa Bukoba kutoka Dodoma, baada ya kufika nikapelekwa shule ya msingi Moja hivi, guys living in Bukoba ilipelekea nikawa traumatized. Watoto shule walikuwa wananisema kwamba Mimi najidai Kwa sababu najifanya najua kiswahili. Every kid at school alinichukia bila sababu. Kwenye Ile shule Mimi ndo nilikuwa nimetokea mikoa mingine wengine walikuwa wazawa wa pale. I was bullied, na hata nyumbani watoto walinimanipulate. Waliniambia ninaringa. Kuishi kule kulinirudisha nyuma kiakili.

Hadi Leo najaribu kuirudisha confidence yangu iliyopotea but kule Bukoba ni Kwa kishetani naweza kusema. Hata watu wa kule hawana akili kwanza.

Nina ndugu kule they sound stupid, ni ngumu kufanya nao kitu kikaenda vizuri.

Sitokaa niende Kwa namna yeyote Ile. Kule ni Kwa mashetani. Ni mashetani ndo yanaishi Bukoba. Wanajionaga wenyewe ndiyo watu alafu wengine siyo watu. Wako depressed and wako toxic. Si watu wa kukaa nao karibu kabisa.

Kamji kao kale hakaendelei , mipango miji wamelala Kwa kweli. Mji unarudi nyuma badala ya kusogea mbele. Wanaishi in 1980's. Wakati mikoa mingine ipo 2025. Hawanukii watu wa kule , wananukia nyanyachungu tu. They are the weirdest people I have ever seen. Hawana Nuru. Magufuli aliutelekeza ule mji.
Kumbe mahaya yapo nyuma sana.
 
Kwa mara ya kwanza nafika nilifurahia mazingira mazuri, ukijani mwingi na Hali ya hewa tulivu kabisaaa ikiambatana na mvua hasa nyakati za asubuhi. Baadhi ya Maeneo yana muonekano mzuri wa ziwa hivyo kufanya Mkoa huu kuwa kuwa na view nzuri hasa Kwa wageni.

Kwa kuwa ni mzee wa Fursa Cha kwanza nilichokiona ni UWAZI mkubwa maeneo nikajipa moyo kwamba ardhi ni sehemu ya kwanza ya kuwekeza kama ntabahatika kukaa Kwa muda mrefu.

LAauhala...... Siku mbili tu naanza kupata majuto makubwa na kuchukia Mkoa na watu wake. Twende Wote.

PICHA LINAANZA kutafuta nyumba ya kupanga nyumba zote nazopekekwa ni local vibaya mnooooo zenye ahueni bei haieleweki na ni chache vibaya sanaaa kimsingi kama una hela njoo wekeza kwenye majengo (ila sikushauri ntakwambia kwanini)

BIASHARA ndo kizungumkuti Ile costumer care tulioizoea Kagera (Bukoba) haipo hapa mchoma mahindi anaringa hata Moo hagusi. hakuna karibu hakuna ahsante, kauli nzuri Kwa mteja huku ni ndoto za mchana.

Mbaya zaidi wageni wote walojaribu kufanya BIASHARA wameshindwa kutokana na ukabila ulokubuhu wakija wataongea kihaya usijpojibu kesho usitegee atarudi... ukimuweka MUHAYA watachunguza kujua mwenye BIASHARA wakijua umeumia.

ARDHI.

Eneo kubwa lipo wazi likiwa na migomba hapa naongelea km 5-10 kutoka mjini katikati ila gusa unase kiwanja cha 20*20 Wahaya wanataka million 8 ukibahatisha utakutana na 5 MILIONI nunua kiwanja DODOMA ila sio hapa, hii inasababisha wageni kutonunua ardhi na wengi kununua mikoa ya Mwanza na Geita.. wahaya wanaachwa na ardhi Yao ikiwa na migomba na majivuno Wasijue miaka kadhaa ijayo huenda ikawa Mkoa duni kuliko popote TANZANIA.

UKUAJI WA MJI.

Kwa ujumla Ukuaji wa MJI naupa 5% hakuna ujenzi mpya kabisaa tofauti na ukiingia mikoa kama Mwanza, Geita, Dodoma, ambapo ukipita Kwa mara ya kwanza Tena barabarani tu unavutiwa na majengo mapya mazuri. tofali ya nchi.5 inauzwa 1500 huku bei ya cement ikiwa 24,000. KATORO GEITA na CHATO ambazo ni jirani kabisa tofali inauzwa 1000-1200 mfuko cement ukiwa inauzwa 24,000 pia. anzisha kiwanda sasa [emoji23] uuze 1200 wakuue.

MAISHA

Nimeshangaa ndizi za Bukoba kuuzwa 3 Kwa 1000 Kwa Baadhi ya Maeneo ya Bukoba MJINI ilihali Dar tunanunua mpaka 6 Kwa 1000. hapa hakuna soko la wakulima AMBAPO utapata vitu Kwa bei RAHISI nyanya tunapima Kwa kilo sio kama kwetu fungu Hadi la 300 lipo..

Maisha ni ya kati sio ghali sana Wala sio RAHISI sanaaa. mzunguko wa pesa ni mdogo Sanaa sanaaaa Kwa kifupi Pesa ni ngumu hapa Bukoba. usafiri ni boda Kwa kiasi kikubwa bajaji ni chache sanaaaa hivyo ukija ujipange kidogo. maeneo ya starehe YAPO kuanzia fukwe za ziwa Victoria, club yetu pendwa (RIO), bunena (my best) nk

MAJUNGU

Sijawahi kuishi sehemu kama hiii narudia SIJAWAHI, Kufuatiliana maisha huku ndo nyumbani, MAKUNDI ya WhatsApp ya MAENDELEO ya Mkoa yamejaa MAJUNGU, kusemana, unafki, ukabila na ubinafsi uliokithiri Kuna kamtu kanaitwa KIMODOI ndo Kigogo wao huku[emoji23][emoji23][emoji23] ndo kanaendesha Mkoa kakisema Kila mtu Hadi Mkuu wa Mkoa anatetemeka kajamaa kanaishi MAREKANI so wadau ndo wanakaabudu kinoma kana MAJUNGU, kanafki, MAKUNDI badala ya kujadili Maendeleo kutwa kucha ni kusema watu voice note kama 1000 zote za MAJUNGU tu sasa usiombe Wahaya wakuchukie [emoji23][emoji23] ebwanaaa eeeeee kama ni mtumishi maisha Yako yatakua ya shidaaa Kwa kifupi BUKOBA ni ya Wahaya Wageni wote hakuna anaetamani kuwepo hili eneo.

SIASA

[emoji23][emoji23] oya wakuu kama unataka kugomebea hata uenyekiti wa MTAA Na si mzawa huku sio kwako... mikutano ya hadhara ni ya kihaya wegeni tunaduwaa tu... Majungu na Kukwamisha Maendeleo Ili kumfelisha kiongozi Fulani ndo siasa za Kagera (BUKOBA)... mbunge wao BYABATO chamoto anakipata aseee jamaa miradi haetekelezeki Kwa sababu ya CHUKI na uBINAFSI...

Kiongozi mstaafu Yuko tayari kukwamisha mradi ila aliepo asifanikiwe. NI AIBU MAKUNDI yaliyopo Kagera hasa. BUKOBA niaibuuuuu viongozi WA Mkoa wakiongozwa FATMA MWASSA, mbunge NEEMA LUGANGIRA Ndo kabisaaaaa UKISIKIA VITA KISIASA NA FITNA NJOO BUKOBA na sijui CHADEMA Mnafeli wapi.

UTENDAJI WA VIONGOZI

Hapa naongelea Ngazi ya Mkoa mpaka Watendaji wa kijiji.. NGAZI ya Mkoa hakuna kitu Mama MWASSA anajua KUJINUFAISHA tu kupitia wafanyabiashara Kuandaa na kuhudhuria matamasha ya hovyo tu akiambatana na Chawa wake (Kuna naskia kijamaa kinaitwa Mtu Mfupi na KIGOGO wao Kimodoi natamani sana kuwaona hawa)... Mkuu wa Wilaya SIMA na WAKURUGENZI wake ndo kabisaaa miradi ya serikali inajiendeaaa tu Hakuna HATUA zozote zinazochukuliwa Kwa wazembe... ila nashindwa kuwalaumu mana Wahaya wenyewe ni sehemu ya kukwamisha Maendeleo Yao binafsi.

ELIMU

Kizazi Cha Prof TIBAIJUKA kikiisha Kagera itahitaji msaada wa serikali kuinuka Tena. ELIMU hapa ni duni mnoooo mnoooo... majivuno mengiiii ila uhalisia ni sifuri.

HITIMISHO.

Kagera (Bukoba,) sio ya wageni ni Moja ya sehemu za hovyo kuwahi kwenda nimeishi Tabora, Dodoma, Arusha, Tanga, Pwani, Moro, Dar, Mwanza, Shinyanga, Geita, Kilimanjaro na maeneo mengine nimepita ila huu MJI [emoji119] hakuna mgeni anaetamani kuwepo hapa UKABILA, MAJUNGU, FITNA, UBINAFSI NA CHUKI vinawaangamiza Wahaya kimya kimya...

Huu ni Mkoa mkongwe sana ilaa MIAKA kadhaaa utakua Mkoa duni kuliko maelezo. BUKOBA ni MANISPAA inayodumazwa na tabia za Wenyeji na ni swala la muda hata Geita ilopewa MANISPAA juzi itaipiku ukiachilia mbali KAHAMA na MANISPAA zingine. inahitajika mabadiliko makubwa sana ya kifikra kuwakomboa Wahaya na Mkoa wao. mabadiliko haya yanahitajika pia kiutawala.

Mwisho RIO DE JENEIRO ni club nzuri mnoo na inapendezesha na kuchangamsha mji ila haiondoi ukweli kwamba sheria zimekiukwa.

WAHAYA SAMAHANINI ILA NI MUUKUBALI UKWELI AU MBAKI NA UKABILA WENU mi naondoka NIMEPACHOKA. KITUO KIFUATACHO BAADA YA MUDA MREFU NARUDI GEITA IKIWA MANISPAA
Kagera (Bukoba) siyo mji wa kujitafuta, hakuna fursa na ukiiona fursa utakwamishwa mpaka ukimbie mwenyewe! Kifupi wamechagua kudumaa.
 
Na mtu akawajua huwa anaishi vizuri sana na nyie 😁😁
Shida ni kutujua tu. Ukishatuelewa mbona sisi watu poa sana kabisa. Kama hujamfahamu mhaya atakuwa anakukera kila wakati. Wewe unaweza fikiria kuwa anajisifu kumbe mwenzio anaongea kawaida hapo hajaanza kujisifu maana akianza utazimia.
Pia kujichanganya ilikuwa ni changamoto maana unaambiwa kabisa usije kutulete mnyamahanga, yani watu ambao si wahaya ukazaa au kuoa. Lakini mambo yanabadilika. Mimi sijaoa lakini nimeza na mchaga, ndugu zangu wote wameolewa na wachaga na mmoja kaolewa na msukuma, na sidhani kama ntaoa mhaya.
But kiburi na sifa at some point kuna watu huwa wanasema wewe jamaa una kiburi cha wahaya, kitu ambacho mimi sinotice kama ninacho na wala nakuwa sijalenga kuwa na kiburi.
 
Nlikuwa Nina miaka tisa nilipopelekwa Bukoba kutoka Dodoma, baada ya kufika nikapelekwa shule ya msingi Moja hivi, guys 1)living in Bukoba ilipelekea nikawa traumatized. Watoto shule walikuwa wananisema kwamba Mimi najidai Kwa sababu najifanya najua kiswahili.2) Every kid at school alinichukia bila sababu. Kwenye Ile shule Mimi ndo nilikuwa nimetokea mikoa mingine wengine walikuwa wazawa wa pale. I was bullied, na hata nyumbani watoto walinimanipulate. Waliniambia ninaringa. Kuishi kule kulinirudisha nyuma kiakili.

3)Hadi Leo najaribu kuirudisha confidence yangu iliyopotea but kule Bukoba ni Kwa kishetani naweza kusema. 4)Hata watu wa kule hawana akili kwanza.

5)Nina ndugu kule they sound stupid
, ni ngumu kufanya nao kitu kikaenda vizuri.

Sitokaa niende Kwa namna yeyote Ile. Kule ni Kwa mashetani.6) Ni mashetani ndo yanaishi Bukoba. 7)Wanajionaga wenyewe ndiyo watu alafu wengine siyo watu.8) Wako depressed and wako toxic.9) Si watu wa kukaa nao karibu kabisa.

10)(a)Kamji kao kale hakaendelei ,10)(b) mipango miji wamelala Kwa kweli.
Mji unarudi nyuma badala ya kusogea mbele. 11)Wanaishi in 1980's. Wakati mikoa mingine ipo 2025. 12)(a)Hawanukii watu wa kule , 12(b)wananukia nyanyachungu tu. 13)They are the weirdest people I have ever seen. Hawana Nuru.14) Magufuli aliutelekeza ule mji.
1- Something triggered an already underlying trauma (inborn/ancestral).

2- Inawezekana vipi shule ya wanafunzi zaidi ya 200 wote wamchukie mtu mmoja? Tena mtoto mgeni? Ama mlikua watu 10 shule nzima? Waalimu walichukuliaje hali hii? Ulitoa taarifa popote? Wazazi?

3- Chanzo halisi cha kupoteza confidence yako ni kuishi Bukoba ama kuwa bullied na watoto wenzako? Waliishia kwenye maneno tu ama mpaka physical abuse?

4- Hao watu wa kule wanatafauti gani na wewe uliyeishi nao toka una umri wa miaka 9 tu duniani? Una hakika hakuna uliyo adopt/adapt katika makuzi yako kutoka kwao?

5- Kama ni ndugu zako, it means you were cut from the same cloth as them. What makes you think you are any different from them? Nyoka hazai bata, labda maabara ya mzungu.

6- Huwezi kumtambua mtu kwa macho, nasaba zinavutana kujuana. Kumbuka umesema una ndugu zako huko.

7- Hapa umefanya judgement due to your perception or personal experience or simply because wewe pia ni Wale Wale.

8- Umesema mpaka sasa Bado unapambania kurejesha confidence yako, haudhani the toxicity that runs in your DNA could be your main challenge?

9- Hapa unatushauri nini kuhusu wewe na kizazi chako?

10(a) Uko sahihi.
10(b) Hawa ndio wa kuzungumziwa kwa kina, wametumwa kufanya kazi gani Kama wameshindwa kuwamudu wazawa ili kutimiza miradi na mikakati ya maendeleo? Ni wadhaifu? Nao ni Wale Wale? Wapo kimaslahi zaidi?

11- Kwamba Bukoba ni NewYork watu watahitaji Visa kwenda kushuhudia hiyo 1980’s in 2025? Kwanini unaweka machumvi mengi sana?

12(a)- Wangekua hawanukii hakika husingetambua hata.
12(b)- Umeona, wananukia.

Nyanya chungu ndio moja ya mazao yao makubwa ya biashara na chakula, mashamba yao ya biashara na chakula yamezunguka makazi yao ya kuishi.

Matandiko yao ni majani yatokanayo na migomba ama ukoka mrefu, harufu yake ni kijani kibichi mpaka kufikia ukavu wake.

Matandiko hayo yamo barazani mpaka vyumbani wanamolala, hiyo harufu wataikosaje?

Hapo ulipo, usitumie chochote cha ziada kuficha harufu yako ya asili japo kwa siku 3…iache ichanganyike na mazingira ya kazi unayofanya, let’s say mbeba zege ama muuza samaki? Get the picture?

Halafu, hivi ulikua unazunguka unanusa watu kwenye mavazi yao au makwapa yao?

Ungejaribu kutembea kwenye ile miti yao mirefu usiku ufungue mapafu yako na harufu nzuri ya real African Pine 🌲.

13- We are all weird in the eyes of a stranger.

14- Kwamba alikua Rais wa hii nchi kwa miaka mingapi kiasi ionekane matatizo ya Bukoba yeye ndio kisababishi?
 
Back
Top Bottom