Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

Kwa mara ya kwanza nafika nilifurahia mazingira mazuri, ukijani mwingi na Hali ya hewa tulivu kabisaaa ikiambatana na mvua hasa nyakati za asubuhi. Baadhi ya Maeneo yana muonekano mzuri wa ziwa hivyo kufanya Mkoa huu kuwa kuwa na view nzuri hasa Kwa wageni.

Kwa kuwa ni mzee wa Fursa Cha kwanza nilichokiona ni UWAZI mkubwa maeneo nikajipa moyo kwamba ardhi ni sehemu ya kwanza ya kuwekeza kama ntabahatika kukaa Kwa muda mrefu.

LAauhala...... Siku mbili tu naanza kupata majuto makubwa na kuchukia Mkoa na watu wake. Twende Wote.

PICHA LINAANZA kutafuta nyumba ya kupanga nyumba zote nazopekekwa ni local vibaya mnooooo zenye ahueni bei haieleweki na ni chache vibaya sanaaa kimsingi kama una hela njoo wekeza kwenye majengo (ila sikushauri ntakwambia kwanini)

BIASHARA ndo kizungumkuti Ile costumer care tulioizoea Kagera (Bukoba) haipo hapa mchoma mahindi anaringa hata Moo hagusi. hakuna karibu hakuna ahsante, kauli nzuri Kwa mteja huku ni ndoto za mchana.

Mbaya zaidi wageni wote walojaribu kufanya BIASHARA wameshindwa kutokana na ukabila ulokubuhu wakija wataongea kihaya usijpojibu kesho usitegee atarudi... ukimuweka MUHAYA watachunguza kujua mwenye BIASHARA wakijua umeumia.

ARDHI.

Eneo kubwa lipo wazi likiwa na migomba hapa naongelea km 5-10 kutoka mjini katikati ila gusa unase kiwanja cha 20*20 Wahaya wanataka million 8 ukibahatisha utakutana na 5 MILIONI nunua kiwanja DODOMA ila sio hapa, hii inasababisha wageni kutonunua ardhi na wengi kununua mikoa ya Mwanza na Geita.. wahaya wanaachwa na ardhi Yao ikiwa na migomba na majivuno Wasijue miaka kadhaa ijayo huenda ikawa Mkoa duni kuliko popote TANZANIA.

UKUAJI WA MJI.

Kwa ujumla Ukuaji wa MJI naupa 5% hakuna ujenzi mpya kabisaa tofauti na ukiingia mikoa kama Mwanza, Geita, Dodoma, ambapo ukipita Kwa mara ya kwanza Tena barabarani tu unavutiwa na majengo mapya mazuri. tofali ya nchi.5 inauzwa 1500 huku bei ya cement ikiwa 24,000. KATORO GEITA na CHATO ambazo ni jirani kabisa tofali inauzwa 1000-1200 mfuko cement ukiwa inauzwa 24,000 pia. anzisha kiwanda sasa 😂 uuze 1200 wakuue.

MAISHA

Nimeshangaa ndizi za Bukoba kuuzwa 3 Kwa 1000 Kwa Baadhi ya Maeneo ya Bukoba MJINI ilihali Dar tunanunua mpaka 6 Kwa 1000. hapa hakuna soko la wakulima AMBAPO utapata vitu Kwa bei RAHISI nyanya tunapima Kwa kilo sio kama kwetu fungu Hadi la 300 lipo..

Maisha ni ya kati sio ghali sana Wala sio RAHISI sanaaa. mzunguko wa pesa ni mdogo Sanaa sanaaaa Kwa kifupi Pesa ni ngumu hapa Bukoba. usafiri ni boda Kwa kiasi kikubwa bajaji ni chache sanaaaa hivyo ukija ujipange kidogo. maeneo ya starehe YAPO kuanzia fukwe za ziwa Victoria, club yetu pendwa (RIO), bunena (my best) nk

MAJUNGU

Sijawahi kuishi sehemu kama hiii narudia SIJAWAHI, Kufuatiliana maisha huku ndo nyumbani, MAKUNDI ya WhatsApp ya MAENDELEO ya Mkoa yamejaa MAJUNGU, kusemana, unafki, ukabila na ubinafsi uliokithiri Kuna kamtu kanaitwa KIMODOI ndo Kigogo wao huku😂😂😂 ndo kanaendesha Mkoa kakisema Kila mtu Hadi Mkuu wa Mkoa anatetemeka kajamaa kanaishi MAREKANI so wadau ndo wanakaabudu kinoma kana MAJUNGU, kanafki, MAKUNDI badala ya kujadili Maendeleo kutwa kucha ni kusema watu voice note kama 1000 zote za MAJUNGU tu sasa usiombe Wahaya wakuchukie 😂😂 ebwanaaa eeeeee kama ni mtumishi maisha Yako yatakua ya shidaaa Kwa kifupi BUKOBA ni ya Wahaya Wageni wote hakuna anaetamani kuwepo hili eneo.

SIASA

😂😂 oya wakuu kama unataka kugomebea hata uenyekiti wa MTAA Na si mzawa huku sio kwako... mikutano ya hadhara ni ya kihaya wegeni tunaduwaa tu... Majungu na Kukwamisha Maendeleo Ili kumfelisha kiongozi Fulani ndo siasa za Kagera (BUKOBA)... mbunge wao BYABATO chamoto anakipata aseee jamaa miradi haetekelezeki Kwa sababu ya CHUKI na uBINAFSI...

Kiongozi mstaafu Yuko tayari kukwamisha mradi ila aliepo asifanikiwe. NI AIBU MAKUNDI yaliyopo Kagera hasa. BUKOBA niaibuuuuu viongozi WA Mkoa wakiongozwa FATMA MWASSA, mbunge NEEMA LUGANGIRA Ndo kabisaaaaa UKISIKIA VITA KISIASA NA FITNA NJOO BUKOBA na sijui CHADEMA Mnafeli wapi.

UTENDAJI WA VIONGOZI

Hapa naongelea Ngazi ya Mkoa mpaka Watendaji wa kijiji.. NGAZI ya Mkoa hakuna kitu Mama MWASSA anajua KUJINUFAISHA tu kupitia wafanyabiashara Kuandaa na kuhudhuria matamasha ya hovyo tu akiambatana na Chawa wake (Kuna naskia kijamaa kinaitwa Mtu Mfupi na KIGOGO wao Kimodoi natamani sana kuwaona hawa)... Mkuu wa Wilaya SIMA na WAKURUGENZI wake ndo kabisaaa miradi ya serikali inajiendeaaa tu Hakuna HATUA zozote zinazochukuliwa Kwa wazembe... ila nashindwa kuwalaumu mana Wahaya wenyewe ni sehemu ya kukwamisha Maendeleo Yao binafsi.

ELIMU

Kizazi Cha Prof TIBAIJUKA kikiisha Kagera itahitaji msaada wa serikali kuinuka Tena. ELIMU hapa ni duni mnoooo mnoooo... majivuno mengiiii ila uhalisia ni sifuri.

HITIMISHO.

Kagera (Bukoba,) sio ya wageni ni Moja ya sehemu za hovyo kuwahi kwenda nimeishi Tabora, Dodoma, Arusha, Tanga, Pwani, Moro, Dar, Mwanza, Shinyanga, Geita, Kilimanjaro na maeneo mengine nimepita ila huu MJI 🙌 hakuna mgeni anaetamani kuwepo hapa UKABILA, MAJUNGU, FITNA, UBINAFSI NA CHUKI vinawaangamiza Wahaya kimya kimya...

Huu ni Mkoa mkongwe sana ilaa MIAKA kadhaaa utakua Mkoa duni kuliko maelezo. BUKOBA ni MANISPAA inayodumazwa na tabia za Wenyeji na ni swala la muda hata Geita ilopewa MANISPAA juzi itaipiku ukiachilia mbali KAHAMA na MANISPAA zingine. inahitajika mabadiliko makubwa sana ya kifikra kuwakomboa Wahaya na Mkoa wao. mabadiliko haya yanahitajika pia kiutawala.

Mwisho RIO DE JENEIRO ni club nzuri mnoo na inapendezesha na kuchangamsha mji ila haiondoi ukweli kwamba sheria zimekiukwa.

WAHAYA SAMAHANINI ILA NI MUUKUBALI UKWELI AU MBAKI NA UKABILA WENU mi naondoka NIMEPACHOKA. KITUO KIFUATACHO BAADA YA MUDA MREFU NARUDI GEITA IKIWA MANISPAA
Kweli kabisa ,nyanya kule ni mwendo wa mzani tu hakuna mafungu mafungu
 
Njoo ujaribu mkuu zipo Fursa nyingi mno Kwa logic Yako hiyo utatoka hapa Bilionea.
Kila BIASHARA unaijua Iko open hapa na Ina gape kubwa sanaaa Kwa kuanzia njoo fungua Juice Point. Pita Kwa comment itakusaidia kujua namaanisha Nini hapa.

Nikusaidie tu ukifika sehemu kijiwe Cha kahawa chote watu zaidi ya 20 wanaongea kiluga na mpo 21 Kwa lisaa limoja bila kiswahili paogope sana... Inabidi uondoke kichwa chini af ukitoka tu wanaanza kiswahili😂
😂 😂
Sehemu yeyote ambayo haitaki mchangamano na wageni, hapo jua ni zaidi ya jehanam
 
Kwa mara ya kwanza nafika nilifurahia mazingira mazuri, ukijani mwingi na Hali ya hewa tulivu kabisaaa ikiambatana na mvua hasa nyakati za asubuhi. Baadhi ya Maeneo yana muonekano mzuri wa ziwa hivyo kufanya Mkoa huu kuwa kuwa na view nzuri hasa Kwa wageni.

Kwa kuwa ni mzee wa Fursa Cha kwanza nilichokiona ni UWAZI mkubwa maeneo nikajipa moyo kwamba ardhi ni sehemu ya kwanza ya kuwekeza kama ntabahatika kukaa Kwa muda mrefu.

LAauhala...... Siku mbili tu naanza kupata majuto makubwa na kuchukia Mkoa na watu wake. Twende Wote.

PICHA LINAANZA kutafuta nyumba ya kupanga nyumba zote nazopekekwa ni local vibaya mnooooo zenye ahueni bei haieleweki na ni chache vibaya sanaaa kimsingi kama una hela njoo wekeza kwenye majengo (ila sikushauri ntakwambia kwanini)

BIASHARA ndo kizungumkuti Ile costumer care tulioizoea Kagera (Bukoba) haipo hapa mchoma mahindi anaringa hata Moo hagusi. hakuna karibu hakuna ahsante, kauli nzuri Kwa mteja huku ni ndoto za mchana.

Mbaya zaidi wageni wote walojaribu kufanya BIASHARA wameshindwa kutokana na ukabila ulokubuhu wakija wataongea kihaya usijpojibu kesho usitegee atarudi... ukimuweka MUHAYA watachunguza kujua mwenye BIASHARA wakijua umeumia.

ARDHI.

Eneo kubwa lipo wazi likiwa na migomba hapa naongelea km 5-10 kutoka mjini katikati ila gusa unase kiwanja cha 20*20 Wahaya wanataka million 8 ukibahatisha utakutana na 5 MILIONI nunua kiwanja DODOMA ila sio hapa, hii inasababisha wageni kutonunua ardhi na wengi kununua mikoa ya Mwanza na Geita.. wahaya wanaachwa na ardhi Yao ikiwa na migomba na majivuno Wasijue miaka kadhaa ijayo huenda ikawa Mkoa duni kuliko popote TANZANIA.

UKUAJI WA MJI.

Kwa ujumla Ukuaji wa MJI naupa 5% hakuna ujenzi mpya kabisaa tofauti na ukiingia mikoa kama Mwanza, Geita, Dodoma, ambapo ukipita Kwa mara ya kwanza Tena barabarani tu unavutiwa na majengo mapya mazuri. tofali ya nchi.5 inauzwa 1500 huku bei ya cement ikiwa 24,000. KATORO GEITA na CHATO ambazo ni jirani kabisa tofali inauzwa 1000-1200 mfuko cement ukiwa inauzwa 24,000 pia. anzisha kiwanda sasa 😂 uuze 1200 wakuue.

MAISHA

Nimeshangaa ndizi za Bukoba kuuzwa 3 Kwa 1000 Kwa Baadhi ya Maeneo ya Bukoba MJINI ilihali Dar tunanunua mpaka 6 Kwa 1000. hapa hakuna soko la wakulima AMBAPO utapata vitu Kwa bei RAHISI nyanya tunapima Kwa kilo sio kama kwetu fungu Hadi la 300 lipo..

Maisha ni ya kati sio ghali sana Wala sio RAHISI sanaaa. mzunguko wa pesa ni mdogo Sanaa sanaaaa Kwa kifupi Pesa ni ngumu hapa Bukoba. usafiri ni boda Kwa kiasi kikubwa bajaji ni chache sanaaaa hivyo ukija ujipange kidogo. maeneo ya starehe YAPO kuanzia fukwe za ziwa Victoria, club yetu pendwa (RIO), bunena (my best) nk

MAJUNGU

Sijawahi kuishi sehemu kama hiii narudia SIJAWAHI, Kufuatiliana maisha huku ndo nyumbani, MAKUNDI ya WhatsApp ya MAENDELEO ya Mkoa yamejaa MAJUNGU, kusemana, unafki, ukabila na ubinafsi uliokithiri Kuna kamtu kanaitwa KIMODOI ndo Kigogo wao huku😂😂😂 ndo kanaendesha Mkoa kakisema Kila mtu Hadi Mkuu wa Mkoa anatetemeka kajamaa kanaishi MAREKANI so wadau ndo wanakaabudu kinoma kana MAJUNGU, kanafki, MAKUNDI badala ya kujadili Maendeleo kutwa kucha ni kusema watu voice note kama 1000 zote za MAJUNGU tu sasa usiombe Wahaya wakuchukie 😂😂 ebwanaaa eeeeee kama ni mtumishi maisha Yako yatakua ya shidaaa Kwa kifupi BUKOBA ni ya Wahaya Wageni wote hakuna anaetamani kuwepo hili eneo.

SIASA

😂😂 oya wakuu kama unataka kugomebea hata uenyekiti wa MTAA Na si mzawa huku sio kwako... mikutano ya hadhara ni ya kihaya wegeni tunaduwaa tu... Majungu na Kukwamisha Maendeleo Ili kumfelisha kiongozi Fulani ndo siasa za Kagera (BUKOBA)... mbunge wao BYABATO chamoto anakipata aseee jamaa miradi haetekelezeki Kwa sababu ya CHUKI na uBINAFSI...

Kiongozi mstaafu Yuko tayari kukwamisha mradi ila aliepo asifanikiwe. NI AIBU MAKUNDI yaliyopo Kagera hasa. BUKOBA niaibuuuuu viongozi WA Mkoa wakiongozwa FATMA MWASSA, mbunge NEEMA LUGANGIRA Ndo kabisaaaaa UKISIKIA VITA KISIASA NA FITNA NJOO BUKOBA na sijui CHADEMA Mnafeli wapi.

UTENDAJI WA VIONGOZI

Hapa naongelea Ngazi ya Mkoa mpaka Watendaji wa kijiji.. NGAZI ya Mkoa hakuna kitu Mama MWASSA anajua KUJINUFAISHA tu kupitia wafanyabiashara Kuandaa na kuhudhuria matamasha ya hovyo tu akiambatana na Chawa wake (Kuna naskia kijamaa kinaitwa Mtu Mfupi na KIGOGO wao Kimodoi natamani sana kuwaona hawa)... Mkuu wa Wilaya SIMA na WAKURUGENZI wake ndo kabisaaa miradi ya serikali inajiendeaaa tu Hakuna HATUA zozote zinazochukuliwa Kwa wazembe... ila nashindwa kuwalaumu mana Wahaya wenyewe ni sehemu ya kukwamisha Maendeleo Yao binafsi.

ELIMU

Kizazi Cha Prof TIBAIJUKA kikiisha Kagera itahitaji msaada wa serikali kuinuka Tena. ELIMU hapa ni duni mnoooo mnoooo... majivuno mengiiii ila uhalisia ni sifuri.

HITIMISHO.

Kagera (Bukoba,) sio ya wageni ni Moja ya sehemu za hovyo kuwahi kwenda nimeishi Tabora, Dodoma, Arusha, Tanga, Pwani, Moro, Dar, Mwanza, Shinyanga, Geita, Kilimanjaro na maeneo mengine nimepita ila huu MJI 🙌 hakuna mgeni anaetamani kuwepo hapa UKABILA, MAJUNGU, FITNA, UBINAFSI NA CHUKI vinawaangamiza Wahaya kimya kimya...

Huu ni Mkoa mkongwe sana ilaa MIAKA kadhaaa utakua Mkoa duni kuliko maelezo. BUKOBA ni MANISPAA inayodumazwa na tabia za Wenyeji na ni swala la muda hata Geita ilopewa MANISPAA juzi itaipiku ukiachilia mbali KAHAMA na MANISPAA zingine. inahitajika mabadiliko makubwa sana ya kifikra kuwakomboa Wahaya na Mkoa wao. mabadiliko haya yanahitajika pia kiutawala.

Mwisho RIO DE JENEIRO ni club nzuri mnoo na inapendezesha na kuchangamsha mji ila haiondoi ukweli kwamba sheria zimekiukwa.

WAHAYA SAMAHANINI ILA NI MUUKUBALI UKWELI AU MBAKI NA UKABILA WENU mi naondoka NIMEPACHOKA. KITUO KIFUATACHO BAADA YA MUDA MREFU NARUDI GEITA IKIWA MANISPAA
Bkb sio sehemu ya kutafutia pesa kwa kwa mgeni ni sehemu ya kwenda kuenjoy hali ya hewa na kulomba mademu zao wanao mwaga maji.
 
Kwa kina Nyerere wa jf.
Nimefurahi sana kuwajua zaidi hawa wakwe zangu watarajiwa.

Ukimposa dada wa kihaya wazazi wanataka barua ya posa iwe na muhuli wa mwanasheria,barua ya mwenyekiti wa mtaa,bank statement,ushaenda ulaya mara ngapi.Alafu usubiri posa yako ijadiliwe na wanandugu wanasheria.🤣😅
daah hii kali aisee...jamaa wana biti
 
Nlikuwa Nina miaka tisa nilipopelekwa Bukoba kutoka Dodoma, baada ya kufika nikapelekwa shule ya msingi Moja hivi, guys living in Bukoba ilipelekea nikawa traumatized. Watoto shule walikuwa wananisema kwamba Mimi najidai Kwa sababu najifanya najua kiswahili. Every kid at school alinichukia bila sababu. Kwenye Ile shule Mimi ndo nilikuwa nimetokea mikoa mingine wengine walikuwa wazawa wa pale. I was bullied, na hata nyumbani watoto walinimanipulate. Waliniambia ninaringa. Kuishi kule kulinirudisha nyuma kiakili.

Hadi Leo najaribu kuirudisha confidence yangu iliyopotea but kule Bukoba ni Kwa kishetani naweza kusema. Hata watu wa kule hawana akili kwanza.

Nina ndugu kule they sound stupid, ni ngumu kufanya nao kitu kikaenda vizuri.

Sitokaa niende Kwa namna yeyote Ile. Kule ni Kwa mashetani. Ni mashetani ndo yanaishi Bukoba. Wanajionaga wenyewe ndiyo watu alafu wengine siyo watu. Wako depressed and wako toxic. Si watu wa kukaa nao karibu kabisa.

Kamji kao kale hakaendelei , mipango miji wamelala Kwa kweli. Mji unarudi nyuma badala ya kusogea mbele. Wanaishi in 1980's. Wakati mikoa mingine ipo 2025. Hawanukii watu wa kule , wananukia nyanyachungu tu. They are the weirdest people I have ever seen. Hawana Nuru. Magufuli aliutelekeza ule mji.
Basi mkuu punguza hasira usije kukufuru.. yamepita hayo chukulia tu kama experience ambayo utawafunsiaha wanao. maana naona kama mada imekurudishia hasira zako.. bado kidogo utamke the F word
 
Umeongea kwa uchungu sana mkuu, dah! pole sana basi panatisha sana.
Nlikuwa Nina miaka tisa nilipopelekwa Bukoba kutoka Dodoma, baada ya kufika nikapelekwa shule ya msingi Moja hivi, guys living in Bukoba ilipelekea nikawa traumatized. Watoto shule walikuwa wananisema kwamba Mimi najidai Kwa sababu najifanya najua kiswahili. Every kid at school alinichukia bila sababu. Kwenye Ile shule Mimi ndo nilikuwa nimetokea mikoa mingine wengine walikuwa wazawa wa pale. I was bullied, na hata nyumbani watoto walinimanipulate. Waliniambia ninaringa. Kuishi kule kulinirudisha nyuma kiakili.

Hadi Leo najaribu kuirudisha confidence yangu iliyopotea but kule Bukoba ni Kwa kishetani naweza kusema. Hata watu wa kule hawana akili kwanza.

Nina ndugu kule they sound stupid, ni ngumu kufanya nao kitu kikaenda vizuri.

Sitokaa niende Kwa namna yeyote Ile. Kule ni Kwa mashetani. Ni mashetani ndo yanaishi Bukoba. Wanajionaga wenyewe ndiyo watu alafu wengine siyo watu. Wako depressed and wako toxic. Si watu wa kukaa nao karibu kabisa.

Kamji kao kale hakaendelei , mipango miji wamelala Kwa kweli. Mji unarudi nyuma badala ya kusogea mbele. Wanaishi in 1980's. Wakati mikoa mingine ipo 2025. Hawanukii watu wa kule , wananukia nyanyachungu tu. They are the weirdest people I have ever seen. Hawana Nuru. Magufuli aliutelekeza ule mji.
 
1- Something triggered an already underlying trauma (inborn/ancestral).

2- Inawezekana vipi shule ya wanafunzi zaidi ya 200 wote wamchukie mtu mmoja? Tena mtoto mgeni? Ama mlikua watu 10 shule nzima? Waalimu walichukuliaje hali hii? Ulitoa taarifa popote? Wazazi?

3- Chanzo halisi cha kupoteza confidence yako ni kuishi Bukoba ama kuwa bullied na watoto wenzako? Waliishia kwenye maneno tu ama mpaka physical abuse?

4- Hao watu wa kule wanatafauti gani na wewe uliyeishi nao toka una umri wa miaka 9 tu duniani? Una hakika hakuna uliyo adopt/adapt katika makuzi yako kutoka kwao?

5- Kama ni ndugu zako, it means you were cut from the same cloth as them. What makes you think you are any different from them? Nyoka hazai bata, labda maabara ya mzungu.

6- Huwezi kumtambua mtu kwa macho, nasaba zinavutana kujuana. Kumbuka umesema una ndugu zako huko.

7- Hapa umefanya judgement due to your perception or personal experience or simply because wewe pia ni Wale Wale.

8- Umesema mpaka sasa Bado unapambania kurejesha confidence yako, haudhani the toxicity that runs in your DNA could be your main challenge?

9- Hapa unatushauri nini kuhusu wewe na kizazi chako?

10(a) Uko sahihi.
10(b) Hawa ndio wa kuzungumziwa kwa kina, wametumwa kufanya kazi gani Kama wameshindwa kuwamudu wazawa ili kutimiza miradi na mikakati ya maendeleo? Ni wadhaifu? Nao ni Wale Wale? Wapo kimaslahi zaidi?

11- Kwamba Bukoba ni NewYork watu watahitaji Visa kwenda kushuhudia hiyo 1980’s in 2025? Kwanini unaweka machumvi mengi sana?

12(a)- Wangekua hawanukii hakika husingetambua hata.
12(b)- Umeona, wananukia.

Nyanya chungu ndio moja ya mazao yao makubwa ya biashara na chakula, mashamba yao ya biashara na chakula yamezunguka makazi yao ya kuishi.

Matandiko yao ni majani yatokanayo na migomba ama ukoka mrefu, harufu yake ni kijani kibichi mpaka kufikia ukavu wake.

Matandiko hayo yamo barazani mpaka vyumbani wanamolala, hiyo harufu wataikosaje?

Hapo ulipo, usitumie chochote cha ziada kuficha harufu yako ya asili japo kwa siku 3…iache ichanganyike na mazingira ya kazi unayofanya, let’s say mbeba zege ama muuza samaki? Get the picture?

Halafu, hivi ulikua unazunguka unanusa watu kwenye mavazi yao au makwapa yao?

Ungejaribu kutembea kwenye ile miti yao mirefu usiku ufungue mapafu yako na harufu nzuri ya real African Pine 🌲.

13- We are all weird in the eyes of a stranger.

14- Kwamba alikua Rais wa hii nchi kwa miaka mingapi kiasi ionekane matatizo ya Bukoba yeye ndio kisababishi?
1. Hamna kitu kilichoniletea trauma other than Bukoba itself. My momma told me when I was a little kid, aliniambia I am smart, beautiful, intelligent etc. nilikuwa najiamini , nilikuwa happy Mda wote sababu nlikuwa nothing is wrong with me but people made me feel vibaya.

2. Sijasema kwamba shule nzima ilinichukia , ila darasani kilikuwa na kakikundi ambako kalikuwa na authority nadhani kwako walikuwa matajiri, hapo ndiyo walionipa shida , nilikuwa Nina marafiki zangu of course tuliokuwa mabesti kabisa.

3. Mazingira ya kule yalikuwa magumu kwangu, maji mnafata mtoni huko mbali, but also kutokuwa na watu ambao wako happy for you it's really bad Kwa kweli. Hawakuniabuse physically waliishia kwenye maneno tu.

4. Mimi ni Mimi kwakweli, sijaadapt kuishi maisha kama Yao, Hadi naondoka pale nilipomaliza grade seven kwakweli sijawa kama wao.

5. Kuhusu undugu wale siyo my close relatives, ni step relatives I can say.

6. Wale ni ndugu zangu wa mbali wao ni wahaya Mimi ni mrangi.

7. Wala siwapaki matope , I am not making this up, they were evil to me either Kwa kujua ama Kwa kutokujua.

8. I am not toxic at all, I am way too much humble.

9. Kuhusu Mimi sitakuja kupeleka wanangu Bukoba, and I don't advise anybody to send your beloved ones Bkb.

11. Nimetaja 1980's Kwa sababu, ukienda unakuta mji umerudi nyuma badala ya kwenda mbele, unajiuliza kwani nini kimehappen.

12. Mimi siwanusi watu 😀. But watu wa kule hawaogi asubuhi wanapokuwa wanatoka kwenda kwenye shughuli zao, unlike daslamu ambapo hata mtoto mdogo before kwenda shule anaoga. Wananawa miguu before sleeping.

13. Siyo kwamba watu huona strangers weird, wahaya ni weird tuu by nature. Mbona unawatetea mkuu, are you a haya by any chance? 😜.

14. Kuna Ile situation ya miradi ya kuuendeleza mji. Bukoba hiyo miradi nadhani Iko slow sana, sijui ni Kwa nini hapaendelei Kwa kweli.
🎁🎁🚚🎁🚚🚚🚚
 
Back
Top Bottom