1- Something triggered an already underlying trauma (inborn/ancestral).
2- Inawezekana vipi shule ya wanafunzi zaidi ya 200 wote wamchukie mtu mmoja? Tena mtoto mgeni? Ama mlikua watu 10 shule nzima? Waalimu walichukuliaje hali hii? Ulitoa taarifa popote? Wazazi?
3- Chanzo halisi cha kupoteza confidence yako ni kuishi Bukoba ama kuwa bullied na watoto wenzako? Waliishia kwenye maneno tu ama mpaka physical abuse?
4- Hao watu wa kule wanatafauti gani na wewe uliyeishi nao toka una umri wa miaka 9 tu duniani? Una hakika hakuna uliyo adopt/adapt katika makuzi yako kutoka kwao?
5- Kama ni ndugu zako, it means you were cut from the same cloth as them. What makes you think you are any different from them? Nyoka hazai bata, labda maabara ya mzungu.
6- Huwezi kumtambua mtu kwa macho, nasaba zinavutana kujuana. Kumbuka umesema una ndugu zako huko.
7- Hapa umefanya judgement due to your perception or personal experience or simply because wewe pia ni Wale Wale.
8- Umesema mpaka sasa Bado unapambania kurejesha confidence yako, haudhani the toxicity that runs in your DNA could be your main challenge?
9- Hapa unatushauri nini kuhusu wewe na kizazi chako?
10(a) Uko sahihi.
10(b) Hawa ndio wa kuzungumziwa kwa kina, wametumwa kufanya kazi gani Kama wameshindwa kuwamudu wazawa ili kutimiza miradi na mikakati ya maendeleo? Ni wadhaifu? Nao ni Wale Wale? Wapo kimaslahi zaidi?
11- Kwamba Bukoba ni NewYork watu watahitaji Visa kwenda kushuhudia hiyo 1980’s in 2025? Kwanini unaweka machumvi mengi sana?
12(a)- Wangekua hawanukii hakika husingetambua hata.
12(b)- Umeona, wananukia.
Nyanya chungu ndio moja ya mazao yao makubwa ya biashara na chakula, mashamba yao ya biashara na chakula yamezunguka makazi yao ya kuishi.
Matandiko yao ni majani yatokanayo na migomba ama ukoka mrefu, harufu yake ni kijani kibichi mpaka kufikia ukavu wake.
Matandiko hayo yamo barazani mpaka vyumbani wanamolala, hiyo harufu wataikosaje?
Hapo ulipo, usitumie chochote cha ziada kuficha harufu yako ya asili japo kwa siku 3…iache ichanganyike na mazingira ya kazi unayofanya, let’s say mbeba zege ama muuza samaki? Get the picture?
Halafu, hivi ulikua unazunguka unanusa watu kwenye mavazi yao au makwapa yao?
Ungejaribu kutembea kwenye ile miti yao mirefu usiku ufungue mapafu yako na harufu nzuri ya real African Pine 🌲.
13- We are all weird in the eyes of a stranger.
14- Kwamba alikua Rais wa hii nchi kwa miaka mingapi kiasi ionekane matatizo ya Bukoba yeye ndio kisababishi?
1. Hamna kitu kilichoniletea trauma other than Bukoba itself. My momma told me when I was a little kid, aliniambia I am smart, beautiful, intelligent etc. nilikuwa najiamini , nilikuwa happy Mda wote sababu nlikuwa nothing is wrong with me but people made me feel vibaya.
2. Sijasema kwamba shule nzima ilinichukia , ila darasani kilikuwa na kakikundi ambako kalikuwa na authority nadhani kwako walikuwa matajiri, hapo ndiyo walionipa shida , nilikuwa Nina marafiki zangu of course tuliokuwa mabesti kabisa.
3. Mazingira ya kule yalikuwa magumu kwangu, maji mnafata mtoni huko mbali, but also kutokuwa na watu ambao wako happy for you it's really bad Kwa kweli. Hawakuniabuse physically waliishia kwenye maneno tu.
4. Mimi ni Mimi kwakweli, sijaadapt kuishi maisha kama Yao, Hadi naondoka pale nilipomaliza grade seven kwakweli sijawa kama wao.
5. Kuhusu undugu wale siyo my close relatives, ni step relatives I can say.
6. Wale ni ndugu zangu wa mbali wao ni wahaya Mimi ni mrangi.
7. Wala siwapaki matope , I am not making this up, they were evil to me either Kwa kujua ama Kwa kutokujua.
8. I am not toxic at all, I am way too much humble.
9. Kuhusu Mimi sitakuja kupeleka wanangu Bukoba, and I don't advise anybody to send your beloved ones Bkb.
11. Nimetaja 1980's Kwa sababu, ukienda unakuta mji umerudi nyuma badala ya kwenda mbele, unajiuliza kwani nini kimehappen.
12. Mimi siwanusi watu 😀. But watu wa kule hawaogi asubuhi wanapokuwa wanatoka kwenda kwenye shughuli zao, unlike daslamu ambapo hata mtoto mdogo before kwenda shule anaoga. Wananawa miguu before sleeping.
13. Siyo kwamba watu huona strangers weird, wahaya ni weird tuu by nature. Mbona unawatetea mkuu, are you a haya by any chance? 😜.
14. Kuna Ile situation ya miradi ya kuuendeleza mji. Bukoba hiyo miradi nadhani Iko slow sana, sijui ni Kwa nini hapaendelei Kwa kweli.
🎁🎁🚚🎁🚚🚚🚚