Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

2005 kuna jamaa “mlangila” aliona fursa akafungua kijiwe cha kitimoto pale jirani na Hospitali ya mkoa kati kati ya mji
Aiseee jamaa alipigwa majungu na wale waislam wa kihaya wanavaa nusu suruali na ndevu wanapakaa rangi ya gold wakiwatumia diwani, mwenyekiti wa mtaa ofisi ya mbunge nk nk

Ilibidi ahamishie kijiwe kule juu kabisa nje ya mji Rwamishenye
Huko weekend ndio tulikua tunakuta “walangila” wote ambao tupo mkoa ule kikazi tunajifariji
Bado na huko majungu yakafika
Aisee jamaa akaitwa hadi na boss wake aachane na hiyo biashara kama anataka kuendelea na kazi Bukoba

Natumini siku hizi vijiwe vya mbusi katoliki vitakuwepo hadi mjini kati

NB
WALANGILA ni jina la watu wasio wenyeji wa Bukoba
Da
2005 kuna jamaa “mlangila” aliona fursa akafungua kijiwe cha kitimoto pale jirani na Hospitali ya mkoa kati kati ya mji
Aiseee jamaa alipigwa majungu na wale waislam wa kihaya wanavaa nusu suruali na ndevu wanapakaa rangi ya gold wakiwatumia diwani, mwenyekiti wa mtaa ofisi ya mbunge nk nk

Ilibidi ahamishie kijiwe kule juu kabisa nje ya mji Rwamishenye
Huko weekend ndio tulikua tunakuta “walangila” wote ambao tupo mkoa ule kikazi tunajifariji
Bado na huko majungu yakafika
Aisee jamaa akaitwa hadi na boss wake aachane na hiyo biashara kama anataka kuendelea na kazi Bukoba

Natumini siku hizi vijiwe vya mbusi katoliki vitakuwepo hadi mjini kati

NB
WALANGILA ni jina la watu wasio wenyeji wa Bukoba
Waweza kuwa sahihi lakini maana sahihi zaidi ya neno WALANGIRA ni watu wenye mali, hadhi, pesa au waheshimiwa
 
Hivi wahaya wa vijijini washaachaga kutandika nyasi chini kama floor kwenye nyumba zao za udongo? Nilionaga ilikuwa fashion miaka ya 2000
Hiyo ni sehemu ya utamaduni japo kwa sasa kutokana na mabadiliko/ maendeleo ya teknolojia imebaki sehemu chache hasa vijiji vya mbali sana, watu wengi kwa sasa wanaweka saluji na vigae kulingana na uchumi wa mtu mmoja mmoja
 
Hapo Rio ni patamu sana!!

Pale liquid nilishuka kufanya utalii nikaongea na wale jamaa wa kwenye uchochoro aiseh nilihisi kutapika kabisa!!!

Pale Ihungo pale Jpm alipajenga aiseh!kiwe chuo walau kuchangamsha mji na hostel zijengwe mtaani Ili kuongeza mzunguko wa pesa!coz unanunua bidhaa Hadi mwenye duka anasema asante Kwa kumuungisha hiyo inaonyesha mzunguko wa pesa no mgumu!!
Mkuu muuzaji kushukuru mbona ipo karibu kila sehemu hata huko Dar na sidhani kama ina uhusiano wowote na mzunguko wa pesa.
 
Nlikuwa Nina miaka tisa nilipopelekwa Bukoba kutoka Dodoma, baada ya kufika nikapelekwa shule ya msingi Moja hivi, guys living in Bukoba ilipelekea nikawa traumatized. Watoto shule walikuwa wananisema kwamba Mimi najidai Kwa sababu najifanya najua kiswahili. Every kid at school alinichukia bila sababu. Kwenye Ile shule Mimi ndo nilikuwa nimetokea mikoa mingine wengine walikuwa wazawa wa pale. I was bullied, na hata nyumbani watoto walinimanipulate. Waliniambia ninaringa. Kuishi kule kulinirudisha nyuma kiakili.

Hadi Leo najaribu kuirudisha confidence yangu iliyopotea but kule Bukoba ni Kwa kishetani naweza kusema. Hata watu wa kule hawana akili kwanza.

Nina ndugu kule they sound stupid, ni ngumu kufanya nao kitu kikaenda vizuri.

Sitokaa niende Kwa namna yeyote Ile. Kule ni Kwa mashetani. Ni mashetani ndo yanaishi Bukoba. Wanajionaga wenyewe ndiyo watu alafu wengine siyo watu. Wako depressed and wako toxic. Si watu wa kukaa nao karibu kabisa.

Kamji kao kale hakaendelei , mipango miji wamelala Kwa kweli. Mji unarudi nyuma badala ya kusogea mbele. Wanaishi in 1980's. Wakati mikoa mingine ipo 2025. Hawanukii watu wa kule , wananukia nyanyachungu tu. They are the weirdest people I have ever seen. Hawana Nuru. Magufuli aliutelekeza ule mji.
Hatimae Wachaga wamepumzishwa, leo kombora zimeelekezwa Bukoba.
 
Ni Watani zangu Wakubwa sana ila ulichokiandika ni Ukweli mtupu tena wa 100% na unayoyaona hapo Kagera (Bukoba) ndiyo yako hapa nchini Uganda na kwa hiki ulichokiandika ndiyo nathibitisha rasmi kuwa Wahaya ni Waganda kwa 100% pengine ndiyo maana hata Nduli Idi Amin Dada alikuwa anasema Kagera (Bukoba) ni sehemu ya nchi ya Uganda.
Kwa hiyo Nduli apewe maua yake, sio?
 
mara ya kwanza kufika BK pale town nilistaajabu sana hasa ukizingatia tambo zinazofanywa na wadau wa huko huku mijini. nakuta pale Town nyumba classic ni zile contemporary za 1950s za msajili wa majumba.😆
 
1. Hamna kitu kilichoniletea trauma other than Bukoba itself. My momma told me when I was a little kid, aliniambia I am smart, beautiful, intelligent etc. nilikuwa najiamini , nilikuwa happy Mda wote sababu nlikuwa nothing is wrong with me but people made me feel vibaya.

2. Sijasema kwamba shule nzima ilinichukia , ila darasani kilikuwa na kakikundi ambako kalikuwa na authority nadhani kwako walikuwa matajiri, hapo ndiyo walionipa shida , nilikuwa Nina marafiki zangu of course tuliokuwa mabesti kabisa.

3. Mazingira ya kule yalikuwa magumu kwangu, maji mnafata mtoni huko mbali, but also kutokuwa na watu ambao wako happy for you it's really bad Kwa kweli. Hawakuniabuse physically waliishia kwenye maneno tu.

4. Mimi ni Mimi kwakweli, sijaadapt kuishi maisha kama Yao, Hadi naondoka pale nilipomaliza grade seven kwakweli sijawa kama wao.

5. Kuhusu undugu wale siyo my close relatives, ni step relatives I can say.

6. Wale ni ndugu zangu wa mbali wao ni wahaya Mimi ni mrangi.

7. Wala siwapaki matope , I am not making this up, they were evil to me either Kwa kujua ama Kwa kutokujua.

8. I am not toxic at all, I am way too much humble.

9. Kuhusu Mimi sitakuja kupeleka wanangu Bukoba, and I don't advise anybody to send your beloved ones Bkb.

11. Nimetaja 1980's Kwa sababu, ukienda unakuta mji umerudi nyuma badala ya kwenda mbele, unajiuliza kwani nini kimehappen.

12. Mimi siwanusi watu 😀. But watu wa kule hawaogi asubuhi wanapokuwa wanatoka kwenda kwenye shughuli zao, unlike daslamu ambapo hata mtoto mdogo before kwenda shule anaoga. Wananawa miguu before sleeping.

13. Siyo kwamba watu huona strangers weird, wahaya ni weird tuu by nature. Mbona unawatetea mkuu, are you a haya by any chance? 😜.

14. Kuna Ile situation ya miradi ya kuuendeleza mji. Bukoba hiyo miradi nadhani Iko slow sana, sijui ni Kwa nini hapaendelei Kwa kweli.
🎁🎁🚚🎁🚚🚚🚚
Hivi Kondoa ndio wanatoka warangi?
Nafikiri hata mzaliwa wa Bukoba ukimpeleka Kondoa sijui kama atarudi tena .
Nafikiri utofauti wa tamaduni unafanya watu wawacgukie wahaya lakini ni watu poa tu
 
1. Hamna kitu kilichoniletea trauma other than Bukoba itself. My momma told me when I was a little kid, aliniambia I am smart, beautiful, intelligent etc. nilikuwa najiamini , nilikuwa happy Mda wote sababu nlikuwa nothing is wrong with me but people made me feel vibaya.

2. Sijasema kwamba shule nzima ilinichukia , ila darasani kilikuwa na kakikundi ambako kalikuwa na authority nadhani kwako walikuwa matajiri, hapo ndiyo walionipa shida , nilikuwa Nina marafiki zangu of course tuliokuwa mabesti kabisa.

3. Mazingira ya kule yalikuwa magumu kwangu, maji mnafata mtoni huko mbali, but also kutokuwa na watu ambao wako happy for you it's really bad Kwa kweli. Hawakuniabuse physically waliishia kwenye maneno tu.

4. Mimi ni Mimi kwakweli, sijaadapt kuishi maisha kama Yao, Hadi naondoka pale nilipomaliza grade seven kwakweli sijawa kama wao.

5. Kuhusu undugu wale siyo my close relatives, ni step relatives I can say.

6. Wale ni ndugu zangu wa mbali wao ni wahaya Mimi ni mrangi.

7. Wala siwapaki matope , I am not making this up, they were evil to me either Kwa kujua ama Kwa kutokujua.

8. I am not toxic at all, I am way too much humble.

9. Kuhusu Mimi sitakuja kupeleka wanangu Bukoba, and I don't advise anybody to send your beloved ones Bkb.

11. Nimetaja 1980's Kwa sababu, ukienda unakuta mji umerudi nyuma badala ya kwenda mbele, unajiuliza kwani nini kimehappen.

12. Mimi siwanusi watu 😀. But watu wa kule hawaogi asubuhi wanapokuwa wanatoka kwenda kwenye shughuli zao, unlike daslamu ambapo hata mtoto mdogo before kwenda shule anaoga. Wananawa miguu before sleeping.

13. Siyo kwamba watu huona strangers weird, wahaya ni weird tuu by nature. Mbona unawatetea mkuu, are you a haya by any chance? 😜.

14. Kuna Ile situation ya miradi ya kuuendeleza mji. Bukoba hiyo miradi nadhani Iko slow sana, sijui ni Kwa nini hapaendelei Kwa kweli.
🎁🎁🚚🎁🚚🚚🚚
1- Your trauma was triggered, kwa kuishi Bukoba ama kuwaona baadhi ya “step ndugu” zako.

2- Ulisema shule nzima. Rejea statement yako ya kwanza.

3- Mikoa mingi ya Tanzania hata mpaka sasa Bado wanafuata maji yao kwenye vyanzo halisi vya maji Kama mtoni, ziwani, mabwawa, lamboni etc.
Watu kutokua happy na wewe haina maana hawakupendi, stop taking things personal.

4- Sawa ila sentensi zako zinaongea mengi zaidi.

5- Hawa Step relatives ndio wakoje?
Adaptation of any behavior & routines roughly takes 7 to 21 days. Proven fact.
Yapo mengi umetoka nayo huko, read yourself carefully.

6- Tayari ni ndugu, wa mbali au karibu ni perception tu. Umeenda na miaka 9 umeishi nao mpaka class 7. It was a journey.

7- How evil labda tuanzie hapo? Maana isije kuwa watoto wenzio kukucheka kiswahili chako and maybe rangi yako (umesema ni mrangi) and you took it way personal?!

8- No humble person I know can dare call another human “Shetani, Mashetani”.

9- Okay, lakini it’s a place that gave You your childhood foundation. Utarudi tu for closure or more.

10- Sio kweli kwamba Bukoba ya 1980’s ndio ya leo 20’s! Uwongo.

11- Huwezi kufananisha ratiba ya kuoga ya mtu anaeishi Dar kwenye joto la hali ya juu na mtu anaeishi Bukoba kwenye baridi kali na mvua za mara kwa Mara. Pili upatikanaji wa maji kwa matumizi hayo ni ngumu tofauti na wewe uliepo Dar all you do is open a Tap!

12- Every creature is a stranger to another strange creature, wala sio ajabu. Familiarity never rains, only fogs.
Kwahiyo Kama sio Muhaya sina haki ya kuchangia na kutoa maoni yangu?

13- Kwanini hapaendelei kwa kasi inayotakiwa sawa na mikoa mingine tumeona humu michango ya members wengine, Siasa chafu, Majungu na Fitna za kishenzi ndio sababu.
 
Waitu milembe, ogumile? Ha ha hiyo naijua sana, ukishapewa hiyo kitu huchomoi unakuwa ka zezeta hivi au mme bwege, mke anakutawala atakavyo
naguma😅😅

kyoma ujue mimi ni mkurya, nimeenda BK kusoma A level tu ila ilibidi nijipe mda wa kujifunza kihaya kwa sababu lugha kuu ni kihaya

na sikuona shida kwa sababu ukienda kwetu Musoma utakuta nako kuna shida ya lugha pia..

Niliondoka BK nikaacha binti mmoja ananililia...

sitamsahau ANISIA wangu😭😭😭
 
naguma😅😅

kyoma ujue mimi ni mkurya, nimeenda BK kusoma A level tu ila ilibidi nijipe mda wa kujifunza kihaya kwa sababu lugha kuu ni kihaya

na sikuona shida kwa sababu ukienda kwetu Musoma utakuta nako kuna shida ya lugha pia..

Niliondoka BK nikaacha binti mmoja ananililia...

sitamsahau ANISIA wangu😭😭😭
naguma😅😅

kyoma ujue mimi ni mkurya, nimeenda BK kusoma A level tu ila ilibidi nijipe mda wa kujifunza kihaya kwa sababu lugha kuu ni kihaya

na sikuona shida kwa sababu ukienda kwetu Musoma utakuta nako kuna shida ya lugha pia..

Niliondoka BK nikaacha binti mmoja ananililia...

sitamsahau ANISIA wangu😭😭😭
Very touching story mtani, ndo maisha yalivyo, harakati na changamoto kama hizo ni sehemu yake.Bila shaka ulisoma Kahororo au Ihungo, ndo shule zilizokuwa na wakurya wengi enzi hizo
 
Ungeweka hata picha za mji huo, tuone uhalisia wake ... mimi nilisoma huko miaka ya nyuma sana... Kwa jinsi walivyokuwa sidhani kama wamebadilika sana na hii inafanya mtua aamini huu utafiti wako ni hali halisi kwa sasa...

Sijui maeneo kama Buyekela, Kashai, Mugeza au Hamugembe yanafananaje kwa sasa .. Picha ingesaidia sana
 
Wahaya wamefanikiwa uwekezaji kwenye shule binafsi tu na hao walioanzisha wakiondoka huenda pasieleweke.Ukabila na majivuno ni balaa baadhi yao,wahaya hawana haya kujisifu wakati hawana lolote,mimi nilipoenda vijiji nilishangaa vijiji vingi havina barabara za kupita na magari,unaweza kwenda kwa boda imbali wa km 18.Mtu akiambiwa aache njia ya gari analeta ubishi anapanda migomba hadi barabarani.Elimu duni na umaskini ni mkubwa sana.Nilinunua eneo wakajua mimi ni wa kuja wakasema nirudishiwe hela kwa mikwara,kumbe walishakunywa rubisi na kufanyia harusi cha kurudisha hawana.Pale ndio niliamini afadhali mchaga na mnyakyusa ni wanyenyekevu.
 
Back
Top Bottom