Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

Socio cultural difference. Labda na wewe ungesema ni mtu wa wapi na mambo yako ni yapi hasa ili tuone nini ilisababisha hayo yaliyokukuta.

Kikubwa ni ku embrace difference zetu na kuendana na mambo. Hizo tabia Tanzania sehemu nyingi zipo zinatofautiana ujazo tu. Kwa maeneo ya mikoa ambayo ni ya mjini inapungua, kwa maeneo ambayo ni ya mipakani na kuna kabila moja la asili lime dominate hayo mambo yanakuwa mengi zaidi.

Mara ya kwanza natembelea Bukoba, japo sikukaa sana lakini nilienda hadi maeneo ya ndani ndani kama vile kata ya Rubafu nikaishi nao fresh tu.

Mambo mengine ni uoga wa asili wa wazawa. Hata Pwani ukiend deepkuna namna watu wanagwaya mgeni ukiingia na kuanza mambo kama ya kutafuta mashamba, biashara n.k

Ni kama hata kwa level ya taifa tunavyoogopa kutoa uraia pacha na kuwapa wageni haki au uhuru wa kununua ardhi n.k Lakini kuna watu kibao tu wamejenga na kununua ardhi kienyeji.
Utafiti umetulia uko vizuri mno
 
Ungeandika bila kuweka chuki na ukachambua kitaalamu ungeeleweka Sana .


Huyo jamaa anajiita KIMODOI anafanya Kazi kubwa Sana na sio mtu wa kubezwa hata kidogo.
 
Kwenye kuongea kilugha mikoa mingi Tz nimekuta hivyo ila kwengine wanakua fasta kutumia kiswahili wakijua kuna asiyejua lugha yao.

Mikoa ambayo wataongea kilugha hata baada ya kujua mwengine hajui ni Mbeya (Wanyakyusa) na Manyara (WaIraqw) kwa mikoa niliyopita.

Manyara haswa Mbulu ni Wilaya Kongwe Tz kuliko zote lakini ni miongoni mwa wilaya zenye mapato ya chini.
Kwa Wairaq nakubaliana na wewe asilimia mia.......

Hapa nilipo tunapika msosi wote tunaishi as family kasoro kila mtu chumba chake

Kwenye kilugha ni masaa 24hrs......

Mpk wananiuliza mbona huelew tuu kii iraqw lkn hawaongei kiswahili......

Mwanzoni nilijua wananisema ko nikawa napata shida so nikasema nisemwe nisisemwe i don't care....
 
Kwa Wairaq nakubaliana na wewe asilimia mia.......

Hapa nilipo tunapika msosi wote tunaishi as family kasoro kila mtu chumba chake

Kwenye kilugha ni masaa 24hrs......

Mpk wananiuliza mbona huelew tuu kii iraqw lkn hawaongei kiswahili......

Mwanzoni nilijua wananisema ko nikawa napata shida so nikasema nisemwe nisisemwe i don't care....
WaIraqw ni kwikwi na jinsi wanavyopenda kesi ndiyo balaa
 
Ila wahaya kwa ujumla wake mm nawakubali Ila kwenye uchoyo, roho mbaya kidogo aseeh hili nimelisikia sana kwa watu...... Japo nilikuwa na jamaangu mhaya lakini alikuwa mid haonyeshi sana maybe kwakuwa tulikuwa tunasaidiana hivyo

Majigambo ndo wenyewe Ila alikutana na katibu wa majigambo aseeh....... Ukija ndivyo navokupokea!

Ukija kiupole tunaenda kiupole......

Ila yote Mimi sijawahi shindwa ishi na mhaya maybe damu zisiendane tuu..
 
Niliishi Bukoba mwaka 2008 kwa miezi sita ila hasa Kanyigo.Asemayo mleta mada sioni cha kumkosoa.Nyongeza ni uchu wa madaraka.Ukiwa incharge deputy wako kama ni Mhaya ishi naye anonymously(muone kama rafiki yako kwa nje ila ndani kuwa makini).Mambo ya nepotism kama atakuwa incharge yaone kawaida.
 
1. Hamna kitu kilichoniletea trauma other than Bukoba itself. My momma told me when I was a little kid, aliniambia I am smart, beautiful, intelligent etc. nilikuwa najiamini , nilikuwa happy Mda wote sababu nlikuwa nothing is wrong with me but people made me feel vibaya.

2. Sijasema kwamba shule nzima ilinichukia , ila darasani kilikuwa na kakikundi ambako kalikuwa na authority nadhani kwako walikuwa matajiri, hapo ndiyo walionipa shida , nilikuwa Nina marafiki zangu of course tuliokuwa mabesti kabisa.

3. Mazingira ya kule yalikuwa magumu kwangu, maji mnafata mtoni huko mbali, but also kutokuwa na watu ambao wako happy for you it's really bad Kwa kweli. Hawakuniabuse physically waliishia kwenye maneno tu.

4. Mimi ni Mimi kwakweli, sijaadapt kuishi maisha kama Yao, Hadi naondoka pale nilipomaliza grade seven kwakweli sijawa kama wao.

5. Kuhusu undugu wale siyo my close relatives, ni step relatives I can say.

6. Wale ni ndugu zangu wa mbali wao ni wahaya Mimi ni mrangi.

7. Wala siwapaki matope , I am not making this up, they were evil to me either Kwa kujua ama Kwa kutokujua.

8. I am not toxic at all, I am way too much humble.

9. Kuhusu Mimi sitakuja kupeleka wanangu Bukoba, and I don't advise anybody to send your beloved ones Bkb.

11. Nimetaja 1980's Kwa sababu, ukienda unakuta mji umerudi nyuma badala ya kwenda mbele, unajiuliza kwani nini kimehappen.

12. Mimi siwanusi watu 😀. But watu wa kule hawaogi asubuhi wanapokuwa wanatoka kwenda kwenye shughuli zao, unlike daslamu ambapo hata mtoto mdogo before kwenda shule anaoga. Wananawa miguu before sleeping.

13. Siyo kwamba watu huona strangers weird, wahaya ni weird tuu by nature. Mbona unawatetea mkuu, are you a haya by any chance? 😜.

14. Kuna Ile situation ya miradi ya kuuendeleza mji. Bukoba hiyo miradi nadhani Iko slow sana, sijui ni Kwa nini hapaendelei Kwa kweli.
🎁🎁🚚🎁🚚🚚🚚
Pole sana ndugu.
Wahaya badilikeni, namuomba mungu nisifike huko, maana umeongea kwa uchungu sana.
 
1. Hamna kitu kilichoniletea trauma other than Bukoba itself. My momma told me when I was a little kid, aliniambia I am smart, beautiful, intelligent etc. nilikuwa najiamini , nilikuwa happy Mda wote sababu nlikuwa nothing is wrong with me but people made me feel vibaya.

2. Sijasema kwamba shule nzima ilinichukia , ila darasani kilikuwa na kakikundi ambako kalikuwa na authority nadhani kwako walikuwa matajiri, hapo ndiyo walionipa shida , nilikuwa Nina marafiki zangu of course tuliokuwa mabesti kabisa.

3. Mazingira ya kule yalikuwa magumu kwangu, maji mnafata mtoni huko mbali, but also kutokuwa na watu ambao wako happy for you it's really bad Kwa kweli. Hawakuniabuse physically waliishia kwenye maneno tu.

4. Mimi ni Mimi kwakweli, sijaadapt kuishi maisha kama Yao, Hadi naondoka pale nilipomaliza grade seven kwakweli sijawa kama wao.

5. Kuhusu undugu wale siyo my close relatives, ni step relatives I can say.

6. Wale ni ndugu zangu wa mbali wao ni wahaya Mimi ni mrangi.

7. Wala siwapaki matope , I am not making this up, they were evil to me either Kwa kujua ama Kwa kutokujua.

8. I am not toxic at all, I am way too much humble.

9. Kuhusu Mimi sitakuja kupeleka wanangu Bukoba, and I don't advise anybody to send your beloved ones Bkb.

11. Nimetaja 1980's Kwa sababu, ukienda unakuta mji umerudi nyuma badala ya kwenda mbele, unajiuliza kwani nini kimehappen.

12. Mimi siwanusi watu 😀. But watu wa kule hawaogi asubuhi wanapokuwa wanatoka kwenda kwenye shughuli zao, unlike daslamu ambapo hata mtoto mdogo before kwenda shule anaoga. Wananawa miguu before sleeping.

13. Siyo kwamba watu huona strangers weird, wahaya ni weird tuu by nature. Mbona unawatetea mkuu, are you a haya by any chance? 😜.

14. Kuna Ile situation ya miradi ya kuuendeleza mji. Bukoba hiyo miradi nadhani Iko slow sana, sijui ni Kwa nini hapaendelei Kwa kweli.
🎁🎁🚚🎁🚚🚚🚚
No. 14 Yani sijui nani kawaloga Hawa ila WANASHIKILIA Mabango ujinga ujinga tu
 
Ungeandika bila kuweka chuki na ukachambua kitaalamu ungeeleweka Sana .


Huyo jamaa anajiita KIMODOI anafanya Kazi kubwa Sana na sio mtu wa kubezwa hata kidogo.
Bila kukuvunjia heshima na bila kumpa mileage kama unaona hivyo basi BUKOBA mna safari ndefu
 
Back
Top Bottom