Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

Wa iraqw shikamoo nii....

Mna mabinti wenye rangi nzuri na sura.....
Shepu ni za kawaida tuu

Lakini kwa wanavyopenda kwenda na kila mtu nimeahirisha
Mshikaji wangu alibahatisha mmoja wife material kabisaa tukiwa chuoni, first year mpaka tuna maliza had now wako wote, na alimkuta sealed, ni zaid ya five years, mshikaji wangu pale kapata mtu kweli kweli, ni bahati pia.
 
Mshikaji wangu alibahatisha mmoja wife material kabisaa tukiwa chuoni, first year mpaka tuna maliza had now wako wote, na alimkuta sealed, ni zaid ya five years, mshikaji wangu pale kapata mtu kweli kweli, ni bahati pia.
Wapo hata hapa wakimya

Mimi ni mtu flani mkimya lakini tukizoeana ni mcheshi yaan mpka naweza kukukera

Lakini mademu wakimya mm sipatani nao sana napenda demu asiwe tuu muongeaji sana au mswahili sana na mzungu sana simtaki

Ila yule mkimya twende out anakwambia sitaki au siwezi nenda uniletee, sjui twende pale daah 😂

Ila wa iraqw ukambahatisha sura rangi na mwenye umbo la kawaida tuu maake sio wanene wale basi utafaidi ishu sasa kukitembeza
 
Kwa mara ya kwanza nafika nilifurahia mazingira mazuri, ukijani mwingi na Hali ya hewa tulivu kabisaaa ikiambatana na mvua hasa nyakati za asubuhi. Baadhi ya Maeneo yana muonekano mzuri wa ziwa hivyo kufanya Mkoa huu kuwa kuwa na view nzuri hasa Kwa wageni.

Kwa kuwa ni mzee wa Fursa Cha kwanza nilichokiona ni UWAZI mkubwa maeneo nikajipa moyo kwamba ardhi ni sehemu ya kwanza ya kuwekeza kama ntabahatika kukaa Kwa muda mrefu.

LAauhala...... Siku mbili tu naanza kupata majuto makubwa na kuchukia Mkoa na watu wake. Twende Wote.

PICHA LINAANZA kutafuta nyumba ya kupanga nyumba zote nazopekekwa ni local vibaya mnooooo zenye ahueni bei haieleweki na ni chache vibaya sanaaa kimsingi kama una hela njoo wekeza kwenye majengo (ila sikushauri ntakwambia kwanini)

BIASHARA ndo kizungumkuti Ile costumer care tulioizoea Kagera (Bukoba) haipo hapa mchoma mahindi anaringa hata Moo hagusi. hakuna karibu hakuna ahsante, kauli nzuri Kwa mteja huku ni ndoto za mchana.

Mbaya zaidi wageni wote walojaribu kufanya BIASHARA wameshindwa kutokana na ukabila ulokubuhu wakija wataongea kihaya usijpojibu kesho usitegee atarudi... ukimuweka MUHAYA watachunguza kujua mwenye BIASHARA wakijua umeumia.

ARDHI.

Eneo kubwa lipo wazi likiwa na migomba hapa naongelea km 5-10 kutoka mjini katikati ila gusa unase kiwanja cha 20*20 Wahaya wanataka million 8 ukibahatisha utakutana na 5 MILIONI nunua kiwanja DODOMA ila sio hapa, hii inasababisha wageni kutonunua ardhi na wengi kununua mikoa ya Mwanza na Geita.. wahaya wanaachwa na ardhi Yao ikiwa na migomba na majivuno Wasijue miaka kadhaa ijayo huenda ikawa Mkoa duni kuliko popote TANZANIA.

UKUAJI WA MJI.

Kwa ujumla Ukuaji wa MJI naupa 5% hakuna ujenzi mpya kabisaa tofauti na ukiingia mikoa kama Mwanza, Geita, Dodoma, ambapo ukipita Kwa mara ya kwanza Tena barabarani tu unavutiwa na majengo mapya mazuri. tofali ya nchi.5 inauzwa 1500 huku bei ya cement ikiwa 24,000. KATORO GEITA na CHATO ambazo ni jirani kabisa tofali inauzwa 1000-1200 mfuko cement ukiwa inauzwa 24,000 pia. anzisha kiwanda sasa 😂 uuze 1200 wakuue.

MAISHA

Nimeshangaa ndizi za Bukoba kuuzwa 3 Kwa 1000 Kwa Baadhi ya Maeneo ya Bukoba MJINI ilihali Dar tunanunua mpaka 6 Kwa 1000. hapa hakuna soko la wakulima AMBAPO utapata vitu Kwa bei RAHISI nyanya tunapima Kwa kilo sio kama kwetu fungu Hadi la 300 lipo..

Maisha ni ya kati sio ghali sana Wala sio RAHISI sanaaa. mzunguko wa pesa ni mdogo Sanaa sanaaaa Kwa kifupi Pesa ni ngumu hapa Bukoba. usafiri ni boda Kwa kiasi kikubwa bajaji ni chache sanaaaa hivyo ukija ujipange kidogo. maeneo ya starehe YAPO kuanzia fukwe za ziwa Victoria, club yetu pendwa (RIO), bunena (my best) nk

MAJUNGU

Sijawahi kuishi sehemu kama hiii narudia SIJAWAHI, Kufuatiliana maisha huku ndo nyumbani, MAKUNDI ya WhatsApp ya MAENDELEO ya Mkoa yamejaa MAJUNGU, kusemana, unafki, ukabila na ubinafsi uliokithiri Kuna kamtu kanaitwa KIMODOI ndo Kigogo wao huku😂😂😂 ndo kanaendesha Mkoa kakisema Kila mtu Hadi Mkuu wa Mkoa anatetemeka kajamaa kanaishi MAREKANI so wadau ndo wanakaabudu kinoma kana MAJUNGU, kanafki, MAKUNDI badala ya kujadili Maendeleo kutwa kucha ni kusema watu voice note kama 1000 zote za MAJUNGU tu sasa usiombe Wahaya wakuchukie 😂😂 ebwanaaa eeeeee kama ni mtumishi maisha Yako yatakua ya shidaaa Kwa kifupi BUKOBA ni ya Wahaya Wageni wote hakuna anaetamani kuwepo hili eneo.

SIASA

😂😂 oya wakuu kama unataka kugomebea hata uenyekiti wa MTAA Na si mzawa huku sio kwako... mikutano ya hadhara ni ya kihaya wegeni tunaduwaa tu... Majungu na Kukwamisha Maendeleo Ili kumfelisha kiongozi Fulani ndo siasa za Kagera (BUKOBA)... mbunge wao BYABATO chamoto anakipata aseee jamaa miradi haetekelezeki Kwa sababu ya CHUKI na uBINAFSI...

Kiongozi mstaafu Yuko tayari kukwamisha mradi ila aliepo asifanikiwe. NI AIBU MAKUNDI yaliyopo Kagera hasa. BUKOBA niaibuuuuu viongozi WA Mkoa wakiongozwa FATMA MWASSA, mbunge NEEMA LUGANGIRA Ndo kabisaaaaa UKISIKIA VITA KISIASA NA FITNA NJOO BUKOBA na sijui CHADEMA Mnafeli wapi.

UTENDAJI WA VIONGOZI

Hapa naongelea Ngazi ya Mkoa mpaka Watendaji wa kijiji.. NGAZI ya Mkoa hakuna kitu Mama MWASSA anajua KUJINUFAISHA tu kupitia wafanyabiashara Kuandaa na kuhudhuria matamasha ya hovyo tu akiambatana na Chawa wake (Kuna naskia kijamaa kinaitwa Mtu Mfupi na KIGOGO wao Kimodoi natamani sana kuwaona hawa)... Mkuu wa Wilaya SIMA na WAKURUGENZI wake ndo kabisaaa miradi ya serikali inajiendeaaa tu Hakuna HATUA zozote zinazochukuliwa Kwa wazembe... ila nashindwa kuwalaumu mana Wahaya wenyewe ni sehemu ya kukwamisha Maendeleo Yao binafsi.

ELIMU

Kizazi Cha Prof TIBAIJUKA kikiisha Kagera itahitaji msaada wa serikali kuinuka Tena. ELIMU hapa ni duni mnoooo mnoooo... majivuno mengiiii ila uhalisia ni sifuri.

HITIMISHO.

Kagera (Bukoba,) sio ya wageni ni Moja ya sehemu za hovyo kuwahi kwenda nimeishi Tabora, Dodoma, Arusha, Tanga, Pwani, Moro, Dar, Mwanza, Shinyanga, Geita, Kilimanjaro na maeneo mengine nimepita ila huu MJI 🙌 hakuna mgeni anaetamani kuwepo hapa UKABILA, MAJUNGU, FITNA, UBINAFSI NA CHUKI vinawaangamiza Wahaya kimya kimya...

Huu ni Mkoa mkongwe sana ilaa MIAKA kadhaaa utakua Mkoa duni kuliko maelezo. BUKOBA ni MANISPAA inayodumazwa na tabia za Wenyeji na ni swala la muda hata Geita ilopewa MANISPAA juzi itaipiku ukiachilia mbali KAHAMA na MANISPAA zingine. inahitajika mabadiliko makubwa sana ya kifikra kuwakomboa Wahaya na Mkoa wao. mabadiliko haya yanahitajika pia kiutawala.

Mwisho RIO DE JENEIRO ni club nzuri mnoo na inapendezesha na kuchangamsha mji ila haiondoi ukweli kwamba sheria zimekiukwa.

WAHAYA SAMAHANINI ILA NI MUUKUBALI UKWELI AU MBAKI NA UKABILA WENU mi naondoka NIMEPACHOKA. KITUO KIFUATACHO BAADA YA MUDA MREFU NARUDI GEITA IKIWA MANISPAA
Hii mentality ni ya hovyo sana na ukiingia na hyo mahali popote ambapo ni ugenini lazima utapachukia kwa sababu we unataka watu waishi km ulivozoea kwenu, km ni mtu mwenye akili safi inatakiwa ujue jinsi ya kuishi na watu tofauti tofauti ndio maana huko bk kuna watu ni wageni wameacha mikoa yao wameenda kutajirikia huko na wameweka kambi huko maisha yao.Tatizo mkienda mikoa ya watu mnapenda kujifanya wajuaji sasa hicho kwa mhaya lazima utamchukia tu , mi nimeishi bukoba muda mrefu lkn nakwambia maduka ya wageni hasa wachaga, wasukuma yanauza sana kuliko hata ya wazawa. Na hayo mambo uliyoandika yapo sehem nyingi ambako hakuna mchanganyiko mkubwa watu nenda Kigoma, Dodoma kule ndani kwa warangi na wagogo, nenda moshi uone utakavotritiwa we mgeni.
 
Mkuu bila shaka kabla ya kujibu umepitia wadau wanasemaje kama bado umeidhulumu nafasi yako kama ndio legeza fuvu lako na pole ila ndo ukweli HALISI.
 
Bugabo wameacha kula binadamu?
Ndiyo maana niliwahi kusema hapa kwamba ukiona mtu anakudharau ujue amegundua huna akili, hujitambui na zaidi ni bendera fuata upepo. Wenye akili ndiyo wanaojua maana ya kwanini hiyo tarafa ya bugabo pamoja na kata zake zote na vijiji vyake tayari ipo kwenye green light ya kuchukuliwa kuwa sehemu ya manispaa pamoja na kashfa zote za uchawi, kula watu (wafu) zinazoenezwa na watu kuja na baadhi ya wahaya wasiojielewa na kujitambua huku wakitishia watu wasiende huko wakati wengi wanapapenda sababu ya kuwa na fursa za kibiashara zikichagizwa na uwepo wa mialo kadhaa ya uvuvi. Acha ushamba njoo hapa mwaloni Igabilo au kyamalange bugabo tukawekeze kwenye uvuvi achana na ujinga unaomezeshwa na wajinga wenzio
 
Mkuu bila shaka kabla ya kujibu umepitia wadau wanasemaje kama bado umeidhulumu nafasi yako kama ndio legeza fuvu lako na pole ila ndo ukweli HALISI.
Nahiyo ndo shida yako kufata kile watu wanasema kwaiyo watu ndo wana akili yako ? Ww umeishi huko ila umekuja na uzi km huu ila wenzako wameishi huko wanavuna utajiri hiyo inatosha kuonesha kwa jinsi gani watu tunatofautiana uwezo wa kufikiria na kugeuza changamoto kuwa fursa. Nakushauri km we mtafutaji badili mtazamo wako wa kufikiri na ujue namna ya kuishi na watu tofauti tofauti la sivo rudi uishi sehem ulikozaliwa ukakulia huko kwingine utapata tabu
 
Ndiyo maana niliwahi kusema hapa kwamba ukiona mtu anakudharau ujue amegundua huna akili, hujitambui na zaidi ni bendera fuata upepo. Wenye akili ndiyo wanaojua maana ya kwanini hiyo tarafa ya bugabo pamoja na kata zake zote na vijiji vyake tayari ipo kwenye green light ya kuchukuliwa kuwa sehemu ya manispaa pamoja na kashfa zote za uchawi, kula watu (wafu) zinazoenezwa na watu kuja na baadhi ya wahaya wasiojielewa na kujitambua huku wakitishia watu wasiende huko wakati wengi wanapapenda sababu ya kuwa na fursa za kibiashara zikichagizwa na uwepo wa mialo kadhaa ya uvuvi. Acha ushamba njoo hapa mwaloni Igabilo au kyamalange bugabo tukawekeze kwenye uvuvi achana na ujinga unaomezeshwa na wajinga wenzio
Nilifika hapo IGABILO kiukweli Pana future nzuri nakiri Hilo
 
Ndiyo maana niliwahi kusema hapa kwamba ukiona mtu anakudharau ujue amegundua huna akili, hujitambui na zaidi ni bendera fuata upepo. Wenye akili ndiyo wanaojua maana ya kwanini hiyo tarafa ya bugabo pamoja na kata zake zote na vijiji vyake tayari ipo kwenye green light ya kuchukuliwa kuwa sehemu ya manispaa pamoja na kashfa zote za uchawi, kula watu (wafu) zinazoenezwa na watu kuja na baadhi ya wahaya wasiojielewa na kujitambua huku wakitishia watu wasiende huko wakati wengi wanapapenda sababu ya kuwa na fursa za kibiashara zikichagizwa na uwepo wa mialo kadhaa ya uvuvi. Acha ushamba njoo hapa mwaloni Igabilo au kyamalange bugabo tukawekeze kwenye uvuvi achana na ujinga unaomezeshwa na wajinga wenzio
Tehetehe.... Haya, jibu swali, Bugabo wameacha kula binadamu?
 
Kwa mara ya kwanza nafika nilifurahia mazingira mazuri, ukijani mwingi na Hali ya hewa tulivu kabisaaa ikiambatana na mvua hasa nyakati za asubuhi. Baadhi ya Maeneo yana muonekano mzuri wa ziwa hivyo kufanya Mkoa huu kuwa kuwa na view nzuri hasa Kwa wageni.

Kwa kuwa ni mzee wa Fursa Cha kwanza nilichokiona ni UWAZI mkubwa maeneo nikajipa moyo kwamba ardhi ni sehemu ya kwanza ya kuwekeza kama ntabahatika kukaa Kwa muda mrefu.

LAauhala...... Siku mbili tu naanza kupata majuto makubwa na kuchukia Mkoa na watu wake. Twende Wote.

PICHA LINAANZA kutafuta nyumba ya kupanga nyumba zote nazopekekwa ni local vibaya mnooooo zenye ahueni bei haieleweki na ni chache vibaya sanaaa kimsingi kama una hela njoo wekeza kwenye majengo (ila sikushauri ntakwambia kwanini)

BIASHARA ndo kizungumkuti Ile costumer care tulioizoea Kagera (Bukoba) haipo hapa mchoma mahindi anaringa hata Moo hagusi. hakuna karibu hakuna ahsante, kauli nzuri Kwa mteja huku ni ndoto za mchana.

Mbaya zaidi wageni wote walojaribu kufanya BIASHARA wameshindwa kutokana na ukabila ulokubuhu wakija wataongea kihaya usijpojibu kesho usitegee atarudi... ukimuweka MUHAYA watachunguza kujua mwenye BIASHARA wakijua umeumia.

ARDHI.

Eneo kubwa lipo wazi likiwa na migomba hapa naongelea km 5-10 kutoka mjini katikati ila gusa unase kiwanja cha 20*20 Wahaya wanataka million 8 ukibahatisha utakutana na 5 MILIONI nunua kiwanja DODOMA ila sio hapa, hii inasababisha wageni kutonunua ardhi na wengi kununua mikoa ya Mwanza na Geita.. wahaya wanaachwa na ardhi Yao ikiwa na migomba na majivuno Wasijue miaka kadhaa ijayo huenda ikawa Mkoa duni kuliko popote TANZANIA.

UKUAJI WA MJI.

Kwa ujumla Ukuaji wa MJI naupa 5% hakuna ujenzi mpya kabisaa tofauti na ukiingia mikoa kama Mwanza, Geita, Dodoma, ambapo ukipita Kwa mara ya kwanza Tena barabarani tu unavutiwa na majengo mapya mazuri. tofali ya nchi.5 inauzwa 1500 huku bei ya cement ikiwa 24,000. KATORO GEITA na CHATO ambazo ni jirani kabisa tofali inauzwa 1000-1200 mfuko cement ukiwa inauzwa 24,000 pia. anzisha kiwanda sasa 😂 uuze 1200 wakuue.

MAISHA

Nimeshangaa ndizi za Bukoba kuuzwa 3 Kwa 1000 Kwa Baadhi ya Maeneo ya Bukoba MJINI ilihali Dar tunanunua mpaka 6 Kwa 1000. hapa hakuna soko la wakulima AMBAPO utapata vitu Kwa bei RAHISI nyanya tunapima Kwa kilo sio kama kwetu fungu Hadi la 300 lipo..

Maisha ni ya kati sio ghali sana Wala sio RAHISI sanaaa. mzunguko wa pesa ni mdogo Sanaa sanaaaa Kwa kifupi Pesa ni ngumu hapa Bukoba. usafiri ni boda Kwa kiasi kikubwa bajaji ni chache sanaaaa hivyo ukija ujipange kidogo. maeneo ya starehe YAPO kuanzia fukwe za ziwa Victoria, club yetu pendwa (RIO), bunena (my best) nk

MAJUNGU

Sijawahi kuishi sehemu kama hiii narudia SIJAWAHI, Kufuatiliana maisha huku ndo nyumbani, MAKUNDI ya WhatsApp ya MAENDELEO ya Mkoa yamejaa MAJUNGU, kusemana, unafki, ukabila na ubinafsi uliokithiri Kuna kamtu kanaitwa KIMODOI ndo Kigogo wao huku😂😂😂 ndo kanaendesha Mkoa kakisema Kila mtu Hadi Mkuu wa Mkoa anatetemeka kajamaa kanaishi MAREKANI so wadau ndo wanakaabudu kinoma kana MAJUNGU, kanafki, MAKUNDI badala ya kujadili Maendeleo kutwa kucha ni kusema watu voice note kama 1000 zote za MAJUNGU tu sasa usiombe Wahaya wakuchukie 😂😂 ebwanaaa eeeeee kama ni mtumishi maisha Yako yatakua ya shidaaa Kwa kifupi BUKOBA ni ya Wahaya Wageni wote hakuna anaetamani kuwepo hili eneo.

SIASA

😂😂 oya wakuu kama unataka kugomebea hata uenyekiti wa MTAA Na si mzawa huku sio kwako... mikutano ya hadhara ni ya kihaya wegeni tunaduwaa tu... Majungu na Kukwamisha Maendeleo Ili kumfelisha kiongozi Fulani ndo siasa za Kagera (BUKOBA)... mbunge wao BYABATO chamoto anakipata aseee jamaa miradi haetekelezeki Kwa sababu ya CHUKI na uBINAFSI...

Kiongozi mstaafu Yuko tayari kukwamisha mradi ila aliepo asifanikiwe. NI AIBU MAKUNDI yaliyopo Kagera hasa. BUKOBA niaibuuuuu viongozi WA Mkoa wakiongozwa FATMA MWASSA, mbunge NEEMA LUGANGIRA Ndo kabisaaaaa UKISIKIA VITA KISIASA NA FITNA NJOO BUKOBA na sijui CHADEMA Mnafeli wapi.

UTENDAJI WA VIONGOZI

Hapa naongelea Ngazi ya Mkoa mpaka Watendaji wa kijiji.. NGAZI ya Mkoa hakuna kitu Mama MWASSA anajua KUJINUFAISHA tu kupitia wafanyabiashara Kuandaa na kuhudhuria matamasha ya hovyo tu akiambatana na Chawa wake (Kuna naskia kijamaa kinaitwa Mtu Mfupi na KIGOGO wao Kimodoi natamani sana kuwaona hawa)... Mkuu wa Wilaya SIMA na WAKURUGENZI wake ndo kabisaaa miradi ya serikali inajiendeaaa tu Hakuna HATUA zozote zinazochukuliwa Kwa wazembe... ila nashindwa kuwalaumu mana Wahaya wenyewe ni sehemu ya kukwamisha Maendeleo Yao binafsi.

ELIMU

Kizazi Cha Prof TIBAIJUKA kikiisha Kagera itahitaji msaada wa serikali kuinuka Tena. ELIMU hapa ni duni mnoooo mnoooo... majivuno mengiiii ila uhalisia ni sifuri.

HITIMISHO.

Kagera (Bukoba,) sio ya wageni ni Moja ya sehemu za hovyo kuwahi kwenda nimeishi Tabora, Dodoma, Arusha, Tanga, Pwani, Moro, Dar, Mwanza, Shinyanga, Geita, Kilimanjaro na maeneo mengine nimepita ila huu MJI 🙌 hakuna mgeni anaetamani kuwepo hapa UKABILA, MAJUNGU, FITNA, UBINAFSI NA CHUKI vinawaangamiza Wahaya kimya kimya...

Huu ni Mkoa mkongwe sana ilaa MIAKA kadhaaa utakua Mkoa duni kuliko maelezo. BUKOBA ni MANISPAA inayodumazwa na tabia za Wenyeji na ni swala la muda hata Geita ilopewa MANISPAA juzi itaipiku ukiachilia mbali KAHAMA na MANISPAA zingine. inahitajika mabadiliko makubwa sana ya kifikra kuwakomboa Wahaya na Mkoa wao. mabadiliko haya yanahitajika pia kiutawala.

Mwisho RIO DE JENEIRO ni club nzuri mnoo na inapendezesha na kuchangamsha mji ila haiondoi ukweli kwamba sheria zimekiukwa.

WAHAYA SAMAHANINI ILA NI MUUKUBALI UKWELI AU MBAKI NA UKABILA WENU mi naondoka NIMEPACHOKA. KITUO KIFUATACHO BAADA YA MUDA MREFU NARUDI GEITA IKIWA MANISPAA
Seen.
 
Kuna jamaa yangu yeye ni mwalimu hapo mkoani aisee amejaribu kutafuta uhamisho imeshindikana hata kwa hao wenyeji kurudi kufanya kazi kwao hawataki kurudi yaani kiujumla Kila ililo liandika ni kweli tupu jamaa Kila nikiongea naye ni mtu mwenye stresi tupu kwa jinsi wenyeji wanavyo mtendea kama Kuna msaada naomba mumsaidie kuhama huo mkoa wadau Yuko mwaka wa Tano kama sikosei
 
Takwimu hazijawahi kuongopa,takwimu za Ofisi ya Taifa ya Takwimu kwa miaka 3 mfululizo zinaonesha Kagera ndio Mkoa maskini Tanzania.

Huwa nikipata safari ya kwenda Bukoba unawaza hata kupata Hotel nzuri za kulala,yani Hotel na Lodge zao ni mbovu kupindukia wanazidiwa na Kigoma.
 
Nilifika hapo IGABILO kiukweli Pana future nzuri nakiri Hilo
Hapa unadhihirisha ni namna gani ulivyoandika ili kujionesha unajua kuandika mihemko uliyonayo na members wamekuprove wrong. Rejea ulichoandika kwenye thread yako na ulichokiri hapa.

Thread yako nikianza kuichambua kipengele kwa kipengele utajiona ni namna gani ulivyo jinga kama ulivyoanza kujionesha hapa maskini mkubwa wewe.

Unaongelea ardhi kuuzwa bei ghali na wakati huo huo unasema hakufai. Sasa hiyo ardhi ulitaka kununua ili ikufaidishe namna gani wakati hakufai? Kwanini uhangaike na pasipo faa badala ya kuhangaika na ardhi ya kwenu kunakofaa au sehemu nyingine?

Kwanza unapaswa kuelewa ya kwamba huko hakuna eneo wazi lisilo na mwenyewe na usidanganyike kuona unapita sehemu kuko wazi na kumezungukwa na miti ya kupanda ukafikiri hakuna matumizi, pole sana. Hiyo kijani unayoiona haipo kwa bahati mbaya bali ni jitihada za jamii husika kutunza uoto wakipata support pia ya mvua. Ukifika sehemu tumia muda wako kuijua na si kujibeba beba na thread zisizokuwa na mbele wala nyuma.

Ungeongelea suala la siasa huko labda ningekuelewa lakini mengine unapuyanga puyanga kwenye umande.
 
Kuna jamaa yangu yeye ni mwalimu hapo mkoani aisee amejaribu kutafuta uhamisho imeshindikana hata kwa hao wenyeji kurudi kufanya kazi kwao hawataki kurudi yaani kiujumla Kila ililo liandika ni kweli tupu jamaa Kila nikiongea naye ni mtu mwenye stresi tupu kwa jinsi wenyeji wanavyo mtendea kama Kuna msaada naomba mumsaidie kuhama huo mkoa wadau Yuko mwaka wa Tano kama sikosei
Eti mwalimu mkoani. Kilaza wewe na acha kujionesha ulivyo mbumbumbu Hao watu ukienda na tabia zako mbovumbovu za kulewa wakati unapaswa kufundisha watoto lazima watakushughulikia. Eti wenyeji hawataki kurudi kufanya kazi kwao, aya twambie wewe kwenu ni wapi ili tukusaidie uhamie huko chap.

Badala ya kufanya kazi iliyokupeleka unabaki kutafuta sababu ya eti wenyeji hawataki kurudi kufanya kazi kwao. Kilaza mkubwa wewe, upo huru kufanya kazi sehemu yoyote Tanzania hii hivyo usitake kila mmoja afanane na wewe na ndiyo maana hao watu wanawaona hamnazo hasa nyie watoto mchele mchele
 
Back
Top Bottom