The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Ni watu wangapi wamefikishwa Mahakamani kwa tuhuma ila wakashinda kesi? Kua suspect hakumaanishi kua umeshakua convicted,Mahakamani mambo hua ni tofauti na mtaani,Mwizi anathibitishwa na mahakama baada ya kupewa ushahidi na hao wanaomwona kuwa ni mwizi..!!
Kwa kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukubali kuibiwa simu ya laki tatu au unende jela maisha?
Mwalimu: laki tatu ni mahahara wangu wote, ntaenda jela.
Sasa kakosa simu, na maisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walimu wa shule ya msingi wengi ni vichaa na msongo wa mawazo
Inategemea,yaani umegombana dukani kwa mangi,ukatoka ukaenda nyumban kufuata kisu,then ukaua,halafu isiwe murder kesi?Kuua bila kukusudia.
Ukimchoma MTU kisu mara moja na akafa hiyo mahakamani wanasema umeua bila kukusudia.
Ila ukimchoma visu kuanzia viwili basi utahsabiwa umeua kwa makusudi.
Unapotaka kumuibia simu Mwalimu mwenye changamoto ya maisha ni ngumu kutoka salama.
Sasa ulitaka mwalimu afanyaje mkuu ilinasiwe na stress? Kwani watu wanaoua mwizi wote wana stress? Mi mwenyewe kuna mmoja ananiibia sana kuku nyumbani kwangu, namtega tu. Yule nikimfuma kama ambavyo mwalimu kamfuma namuua tu. Tena ni mwanamke na ni mke wa jirani yangu.Walimu wa shule ya msingi wengi ni vichaa na msongo wa mawazo
Tulia weweeeUkubali kuibiwa simu ya laki tatu au unende jela maisha?
Mwalimu: laki tatu ni mahahara wangu wote, ntaenda jela.
Sasa kakosa simu, na maisha
Hapo hakukuwa na uthibitisho wa kuua bila kukusudiaKuna mwingine alimuua mwanafunzi bila kukusudia hivyo hivyo. Alihukumiwa kunyongwa mpaka kufa.
Kuna mambo yanafurahisha sana...
Hayo maelezo ameyetoa Mwalimu? Maana hapo ndani si walikuw Mwalimu na huyo "Mwizi"? Sasa hizo "chumvi na Binzari" nyingine zinatokea wapi?Maelezo yanasema "mwanafunzi alikua anajaribu kukimbia".
Labda kama useme "mwanafunzi alikua anajaribu kumshambulia mwalimu" tungeongea mengine.
Pia inaonekana kijana ni mdokozi tu sio yule mwizi wa kusema ni tishio kiusalama wa uhai ndio maana mwalimu kaweza kumdhibiti na kumtwanga.
Angekua amekubuhu kama vitoto vya Tandale au Manzese si tungekua tunaongea mengine hapa!?
Kuna mwingine alimuua mwanafunzi bila kukusudia hivyo hivyo. Alihukumiwa kunyongwa mpaka kufa.
Hio kesi ni kujichukulia sheria mikononi, hata hivyo bado ni maelezo mwalimu, na huyo marehemu ni mtuhumiwa kwa maana hii habari haijathibitishwa..Unazifafahamu tofauti kati ya *kuua na *kuua bila kukusudia?