Kagera: Rais Magufuli kuzindua Shule ya Sekondari Ihungo iliyokarabatiwa kwa Tshs Billioni 10.9

Kagera: Rais Magufuli kuzindua Shule ya Sekondari Ihungo iliyokarabatiwa kwa Tshs Billioni 10.9

Nimefarijika kuona comment za baadhi ya Ihungo alumni kweny uzi....

Mimi nilikaa Elgon 12 A.k.a headquarters ya Ihungo....
Sijui Kama itakuwepo......
 
Shule ya Sekondari ya wavulana Ihungo iliyoko mjini Bukoba inayotarajiwa kuzinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 18 Januari, 2020.

Shule hiyo imefanyiwa ukarabati uliogharimu shilingi Bilioni 10.9 baada ya kuharibika kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea mjini Bukoba tarehe 10 Septemba, 2016.View attachment 1679902View attachment 1679903View attachment 1679904View attachment 1679905View attachment 1679906View attachment 1679907View attachment 1679908View attachment 1679909View attachment 1679910View attachment 1679911View attachment 1679912View attachment 1679913View attachment 1679914View attachment 1679915
 
Bilioni 10 hata wameshindwa kuweka maguzo matano ya umeme wa solar? Viwanja vya mpira wa miguu, Tennis na cricket? Hata mahali pa kufulia na kuanika nguo? Hata bwawa la kuogelea? Third world mentality!
 
Bilioni 10?? Ni shule. Mpya ngapi
Hujui unachosema, ubishi tu! Hiyo shule imejengwa upya na technology ya kustahimili matetemeko ya ardhi ya baadaye. Hiyo technology pekee ni hela nyingi, Pia shule yenyewe ni nzuri na iko kwa watu wanaotambua kuelimika ni nini (kwa maneno ya balozi wa Uingereza wakati wa ufunguzi.).
 
Shule ya Sekondari ya wavulana Ihungo iliyoko mjini Bukoba inayotarajiwa kuzinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 18 Januari, 2020.

Shule hiyo imefanyiwa ukarabati uliogharimu shilingi Bilioni 10.9 baada ya kuharibika kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea mjini Bukoba tarehe 10 Septemba, 2016.View attachment 1679902View attachment 1679903View attachment 1679904View attachment 1679905View attachment 1679906View attachment 1679907View attachment 1679908View attachment 1679909View attachment 1679910View attachment 1679911View attachment 1679912View attachment 1679913View attachment 1679914View attachment 1679915
tunaomba picha za hostel za b10 tulinganishe
 
Ndio kusema ameenda kusafisha mistake?
Mistake gani aliyoenda kusafisha?

Tatizo huwa mnabwabwaja pasipokujua mipango ya mtu mnataka kila kitu muelezwe ili muanze kujinadi kuwa mnajua kila kinachoendelea ndani ya uongozi wa serikali ya tano.
 
Back
Top Bottom