Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
https://www.facebook.com/Shule ya Sekondari ya wavulana Ihungo iliyoko mjini Bukoba inayotarajiwa kuzinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 18 Januari, 2020.
Shule hiyo imefanyiwa ukarabati uliogharimu shilingi Bilioni 10.9 baada ya kuharibika kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea mjini Bukoba tarehe 10 Septemba, 2016.View attachment 1679902View attachment 1679903View attachment 1679904View attachment 1679905View attachment 1679906View attachment 1679907View attachment 1679908View attachment 1679909View attachment 1679910View attachment 1679911View attachment 1679912View attachment 1679913View attachment 1679914View attachment 1679915
Hujui unachosema, ubishi tu! Hiyo shule imejengwa upya na technology ya kustahimili matetemeko ya ardhi ya baadaye. Hiyo technology pekee ni hela nyingi, Pia shule yenyewe ni nzuri na iko kwa watu wanaotambua kuelimika ni nini (kwa maneno ya balozi wa Uingereza wakati wa ufunguzi.).Bilioni 10?? Ni shule. Mpya ngapi
tunaomba picha za hostel za b10 tulinganisheShule ya Sekondari ya wavulana Ihungo iliyoko mjini Bukoba inayotarajiwa kuzinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 18 Januari, 2020.
Shule hiyo imefanyiwa ukarabati uliogharimu shilingi Bilioni 10.9 baada ya kuharibika kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea mjini Bukoba tarehe 10 Septemba, 2016.View attachment 1679902View attachment 1679903View attachment 1679904View attachment 1679905View attachment 1679906View attachment 1679907View attachment 1679908View attachment 1679909View attachment 1679910View attachment 1679911View attachment 1679912View attachment 1679913View attachment 1679914View attachment 1679915
Mistake gani aliyoenda kusafisha?Ndio kusema ameenda kusafisha mistake?