Inter Milan 2006 walipewa ubingwa wa bure bbaada ya kubainika juve na ac Milan kupanga matokeo.Haijawahi tokea hili dunia nzima bingwa kapatikana kwa kupewa point za bure nitanzania pekeee.mpira washinde wengine point wapewe wengine
nomino za pekee zote zinaanza kwa herufi ya kwanza kuandikwa kwa herufi kubwa, mambo ya vyeti hayo ni makaratasi tu hata bashite naye anavyo but inreality there same sort of confussion,hilo la kuanza kwa herufi kubwa sio sheria bali ni utaratibu tu kama wewe ambavyo huwezi kuanza kunawa maji kabla ya baba yako wakati wa chakulaKweli wewe hamnazo, ni sheria ipi inasema hivyo na imeandikwa wapi kwamba kila jina lazima lianze na herufi kubwa? Kama wewe unajifanya msomi kuliko mimi naweza nikahitaji tuweke vyeti hapa! Maana mimi sioni ugumu wowote kufanya hivyo.
Does Evidence on record support the verdict? Ukijibu swali hilo hutakuwa na malalamiko, likikushinda keep quiet! stop shouting!Ama kweli TFF imehamia simba mhh tutaona mbele huko maana mmebebwa weeeee mpaka mnapewa za mezani
Do you have that power to change what should be changed!Tukipiga toto 2-0 mchezo kwisha
Mjinga huyu hajui kama soccer linaendeshwa kwa kanuni.Katoe rushwa na wewe kupinga ushindi wa Zanaco.Ushindi kama huu wa rushwa wala haunogi
Kwa mtindo huu Yanga itaendelea kuwa bora sana
Unapenda vya dezooooHii ni habari njema sana.
Very soon nanyi mtapewa za African lyonAma kweli TFF imehamia simba mhh tutaona mbele huko maana mmebebwa weeeee mpaka mnapewa za mezani
Sasa matusi yanatoka wapi?Kama hujui kanuni usiwe unabweka mbweha mpira unaongozwa kwa kanuni sio mihemko
Una akili za kiporiporiTukipiga toto 2-0 mchezo kwisha
Hahahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ushindi wa mezani
Simba oyeeeeee
Acha matusi wewe kipele! Hujui kuna baba zako humu.
KisutuMahakama gani?
Rushwa gani tena Kunta? Hiyo ni sheria ya mpira bana.Ushindi kama huu wa rushwa wala haunogi
Kwa mtindo huu Yanga itaendelea kuwa bora sana
Halafu baada walalamike kagera, wanalalamika vyura! Acheni kukatikia mauno maisha ya watu....kwani nyie mambo ya simba na kagera yanawahusu nini?
Kesho yanga wanapewa point 3 dhidi ya African Lyon vuta subiraUkiona Simba kapewa point zake ujue alistahili, nina uhakika Malinzi (tff) kapambana sana ila haki imetendeka!
Kesho yanga wakipewa point 3 za African Lyon usianze kupiga mayoweKwa mtu ambaye hajui kanuni na sheria za soka lazima u comment hv