Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inatakiwa kuwa breaking news..Watoto 10 wamefariki na sita kujeruhiwa vibaya kufuatia moto ulioteketeza bweni la wavulana shule ya Msingi Islamic Byamungu iliyopo Kyerwa Mkoani Kagera. Hadi sasa chanzo moto huo hakijajulikana.
Watoto waliopoteza maisha ni wa umri wa miaka sita hadi 12.
Taarifa zaidi inakuja...
Inauma sana. Shule za kiislam kuungua moto kila kukicha nj jambo la kusikitisha Sana. Kwanini jeshi la polisi linashindwa kubaini wanaoratibu huu uhalifu?Watoto 10 wamefariki na sita kujeruhiwa vibaya kufuatia moto ulioteketeza bweni la wavulana shule ya Msingi Islamic Byamungu iliyopo Kyerwa Mkoani Kagera. Hadi sasa chanzo moto huo hakijajulikana.
Watoto waliopoteza maisha ni wa umri wa miaka sita hadi 12.
Taarifa zaidi inakuja...
Sasa udini upi hapo? Lazima watu tushangae ni kwanini haya matukio kipindi hiki yamekuwa mengi sana kwenye shile za kiislamu!! Kwani toka ilipoanza ile ya kinondoni, haipiti wiki mbili hujasikia shule nyingine imeungua!! Japo kuna wengine walikamatwa juzi juzi hapo, dar kwa kuhusika kuichoma shule, na ni miongoni mwa waislam wenzao!! Sasa mtu akihoji mnakimbilia eti aache siasa /udini!!!Acha Udini na Siasa kwenye janga kama hili.
Wazazi wavivu kulea hawataki kuwajibika ipasavyo.Mtoto miaka 6 anakaa bweni! Hii si sawa
Duuu hatari sana halafu hii shule ya watoto wadogo!
No sio udini,kwa siku za karibuni,shule za kiislam zimeungua moto kama nne au tano, kwahiyo katika uchunguzi wao wasikose kuangalia katika misingi hiyo pia, kunaweza kuwa na hujumaAcha Udini na Siasa kwenye janga kama hili.