lomayani saevie
Member
- Jun 20, 2015
- 74
- 105
Rest in peace children, inaumiza bado wadogo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muislam achome Shule yake mwenyewe ili iweje?Mimi ni Muislam.. Ni kweli shule zetu zinahitaji kuchunguzwa.. sawa moto ni ajali lakini kwetu yamezidi.. Nahisi migogoro yetu wenyewe kwa wenyewe hii...
hapo ndo utakapoona uvumilivu wa waislam, maana zingekuwa za wakristo ndio zinaungua mashekh wangekuwa magerezan sasa hiviHizo shule za wenzetu waislamu zina shida gani? Kila siku zinaungua shule zao tu
Mhh tafadhalihapo ndo utakapoona uvumilivu wa waislam, maana zingekuwa za wakristo ndio zinaungua mashekh wangekuwa magerezan sasa hivi
Siku zitaongeaHizi shule za kiislamu zinazoteketezwa kwa moto lazima kuna jambo zito sana linafukuta
Unawaza Kama Mimi...mtoto jaman aanze boarding akiwa anajitambua...dah😭Mtoto miaka 6 anakaa bweni! Hii si sawa
Hivi nyie mashabiki wachadema mpo timamu kweli? Kuna kitu kimepungua kwenye bongo zenu sio bure. Hao chadema ni nani hadi unaowataja hapo juu wajishughulishe nao?DCI, TISS, POLISI NA SERIKALI KWA UJUMLA WAPO BUSY NA CHADEMA.
HIZI SHULE HAZIJAANZA KUCHOMWA LEO.
ILIANZIA SHULE ZA DAR SASA IMESAMBAA MIKOA YOTE.
WATAKAOUMIA NI WANAFUNZI NA WAZAZI.
Mimi ni Muislam.. Ni kweli shule zetu zinahitaji kuchunguzwa.. sawa moto ni ajali lakini kwetu yamezidi.. Nahisi migogoro yetu wenyewe kwa wenyewe hii...
Labda hakubaliani na elimu ya Magharibi inayofundishwa kwenye hizo shule Ni kinyume na maagizo ya Mtume (SAW)Muislam achome Shule yake mwenyewe ili iweje?