Sosthenes Maendeleo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 2,724
- 1,693
Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sikubaliani na wewe. Kuna trend kubwa sana ya shule za kiislam kuungua moto huko Dar, Same na sasa Bukoba. Why shule za kiislam tu? Kila siku chanzo cha moto wanasema hakijulikani. Walichoma za wakubwa baada ya kuona wengi wanajiokoa wameamua kuhamia za watoto. Hili jambo sio la kuupuzwa. Serikali ikae na makundi yote ya kiislam kuona kuna nini kati yao. Inauma sana kupoteza watoto kizembe namna hii.Huu ni ubaguzi ndugu yangu, Natamani ufute hii msg yako
Kwenye Uislam ikhtilafu zipo nazo ni za kimitizamo ya kielimu. Hizi ikhtilafu zipo tangu kipindi cha Maswahaba mpaka sasa na wala haikuwa na haijakuwa sababu ya kutoana roho ama kuleta maangamivu.Mkuu sikubaliani na wewe. Kuna trend kubwa sana ya shule za kiislam kuungua moto huko Dar, Same na sasa Bukoba. Why shule za kiislam tu? Kila siku chanzo cha moto wanasema hakijulikani. Walichoma za wakubwa baada ya kuona wengi wanajiokoa wameamua kuhamia za watoto. Hili jambo sio la kuupuzwa. Serikali ikae na makundi yote ya kiislam kuona kuna nini kati yao. Inauma sana kupoteza watoto kizembe namna hii.
Andika kiswahili basi mkuu. Samahani lakini.Kwenye Uislam ikhtilafu zipo nazo ni za kimitizamo ya kielimu. Hizi ikhtilafu zipo tangu kipindi cha Maswahaba mpaka sasa na wala haikuwa na haijakuwa sababu ya kutoana roho ama kuleta maangamivu.
Tunatofautiana mitizamo ya kihoja kielimu kama vyanzo ama Taasisi nyengine zinavyotofautiana kihoja kuhusu masuala ya kielimu.
Samahani pia! Naomba unielekeze ni wapi ambapo nahitaji kupaweka kwa lugha ya Kiswahili.Andika kiswahili basi mkuu. Samahani lakini.
Hiv kulikon haya matukio kutokea mara kwa mara?View attachment 1569351
Innaa lillah wainna ilayhi rajiun. Kwa nini zilwe shule za kiislam tu. Ni dhahir kuna sura timilivu ya hujuma! Serikali inapaswa kufanya uchunguzi ili kupambani na kadhia hii.
Sent from my itel A11 using JamiiForums mobile app
Watoto 10 wamefariki na sita kujeruhiwa vibaya kufuatia moto ulioteketeza bweni la wavulana shule ya Msingi Islamic Byamungu iliyopo Kyerwa Mkoani Kagera. Hadi sasa chanzo moto huo hakijajulikana.
Watoto waliopoteza maisha ni wa umri wa miaka sita hadi 12.
Taarifa zaidi inakuja...
Wanafunzi 10 wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa baada ya bweni la shule yao ya Byamungu English Medium Primary School iliyoko wilayani Kyerwa kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo.
Jumla ya wanafunzi 74 walikuwepo kwenye bweni hilo ambalo chanzo cha moto hakijajulikana
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia Jenerali Marco Gaguti amesitisha shughuli za malazi katika shule hiyo kwa muda.’’ Nachukua hatua nyingine za ziada, hatua ya kwanza na ya awali kabisa tunasitisha huduma za malazi katika shule hii watoto wote waliokuwa wakilala katika huduma ya hosteli au bweni huduma hiyo sasa imesitishwa mbaka itakavyoelekezwa vinginevyo’’, amesema Brigedia Jenerali Marco Gaguti alipotembelea eneo la tukio.
Amesema Sambamba na ameelekeza kamati za usalama za ngazi zote kataika mkoa wa kagera kufanya mapitio upya ya shule zinazotoa malazi, kuhakiki kwamba shule hizo kama zinavyo vibali halali vya serikali na ubora wa majengo yanayotumiwa na wanafunzi, na kuangalia mifumo ya uzimaji moto na kujiokoa inapo.
Amesisitza kuwa kama sifa hizo hazitakua zimekidhi basi hatua zichukuliwe za kufungia huduma hizo katika shule husika.
Awali Mwenyekiti wa kijiji Bw. Munaraka Muhammod aliwaomba watu walioko katibu na Itera wafike kusaidia kuuzima moto huo uliowaka kuanzia jana usiku .
Chanzo za ajali baado hakijajulikana.
Samahani nimeweza kung'amua lugha. Ni uzoefu tu mkuu.Samahani pia! Naomba unielekeze ni wapi ambapo nahitaji kupaweka kwa lugha ya Kiswahili.
Natanguliza shukrani.
Kamati ipo ila sijui inakwama wapi kutujulisha sababu ya moto katika shule hasa za kiislamuKWANINI SHULE ZA WENZETU ZINAUNGUA KIASI HIKI?!! WAPENDWA SOTE TU WATANZANIA, TUSIKAE KIMYA KUHUSU HILI TUNAHITAJI TUME KUCHUNGUZA KUNA NINI NDANI?! HAIWEZEKANI HILI, MACHUNGU YA KUZAA KUSOMESHA HALAFU MWANANGU ANAKUFA KWA UZEMBE HILI HAIWEZEKANI INAUMIZA SANA SANA SANA..FIKIRIA UWE WEWE MWANAO NDO AFARIKI KWA NAMNA HII OHOOO JAMANI JAMANI JAMANIII[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji2367]
Hoja za waislam kutofautiana zipo lakini hii ipo beyond na tofauti za kiimaniMkuu sikubaliani na wewe. Kuna trend kubwa sana ya shule za kiislam kuungua moto huko Dar, Same na sasa Bukoba. Why shule za kiislam tu? Kila siku chanzo cha moto wanasema hakijulikani. Walichoma za wakubwa baada ya kuona wengi wanajiokoa wameamua kuhamia za watoto. Hili jambo sio la kuupuzwa. Serikali ikae na makundi yote ya kiislam kuona kuna nini kati yao. Inauma sana kupoteza watoto kizembe namna hii.