Kagera: Watoto 10 wamefariki na 6 kujeruhiwa baada ya shule Msingi Islamic Byamungu kuwaka moto

Kagera: Watoto 10 wamefariki na 6 kujeruhiwa baada ya shule Msingi Islamic Byamungu kuwaka moto

Watoto 10 wamefariki na sita kujeruhiwa vibaya kufuatia moto ulioteketeza bweni la wavulana shule ya Msingi Islamic Byamungu iliyopo Kyerwa Mkoani Kagera. Hadi sasa chanzo moto huo hakijajulikana.

Watoto waliopoteza maisha ni wa umri wa miaka sita hadi 12.

Taarifa zaidi inakuja...


Wanafunzi 10 wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa baada ya bweni la shule yao ya Byamungu English Medium Primary School iliyoko wilayani Kyerwa kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo.

Jumla ya wanafunzi 74 walikuwepo kwenye bweni hilo ambalo chanzo cha moto hakijajulikana

Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia Jenerali Marco Gaguti amesitisha shughuli za malazi katika shule hiyo kwa muda.’’ Nachukua hatua nyingine za ziada, hatua ya kwanza na ya awali kabisa tunasitisha huduma za malazi katika shule hii watoto wote waliokuwa wakilala katika huduma ya hosteli au bweni huduma hiyo sasa imesitishwa mbaka itakavyoelekezwa vinginevyo’’, amesema Brigedia Jenerali Marco Gaguti alipotembelea eneo la tukio.

Amesema Sambamba na ameelekeza kamati za usalama za ngazi zote kataika mkoa wa kagera kufanya mapitio upya ya shule zinazotoa malazi, kuhakiki kwamba shule hizo kama zinavyo vibali halali vya serikali na ubora wa majengo yanayotumiwa na wanafunzi, na kuangalia mifumo ya uzimaji moto na kujiokoa inapo.

Amesisitza kuwa kama sifa hizo hazitakua zimekidhi basi hatua zichukuliwe za kufungia huduma hizo katika shule husika.

Awali Mwenyekiti wa kijiji Bw. Munaraka Muhammod aliwaomba watu walioko katibu na Itera wafike kusaidia kuuzima moto huo uliowaka kuanzia jana usiku .

Chanzo za ajali baado hakijajulikana.
Katika tukio zito kama hili la kufariki watoto wadogo 10 maneno ya mkuu wa mkoa ni mepesi sana na kama kwamba kuna mengine ya chini anayakusudia kwa waislamu na shule zao.Kama ni watoto wa kikristo au tukio hili lingetokea Ulaya huenda jeshi la nchi nzima lingehamia huko na kufanya siku za maombolezo kitaifa huku wakihusisha na ugaidi na huenda misikiti ya karibu na masheikh wangehusishwa na watu wasiojulikana wangepata sababu ya kuondoka na wengi.
Eti hatua ya mwanzo ni kusitisha huduma za malazi shuleni hapo.Hapana jambo la mwanzo ni kuahidi kujua chanzo na kuwatafuta wahusika halafu atoe pesa haraka kujenga mabweni yaliyoungua kwa sababu tunataka kufa na kuungua kwa shule isiwe sababu ya kufungia shule nyengine za kiislamu ambazo huenda kwa unyonge walionao mabweni labda sio kama yale ya shule za kanisa zinazopokea pesa kutoka Marekani na Ulaya.
Kwa sababu ni kipindi cha kampeni za uchaguzi na matukio yamejirudia sana kwenye shule za kiislamu hii pia ingepaswa kuzungumziwa kwenye ajenda za wagombea,kwamba wakiingia madarakani watachunguza sababu za kuungua shule za kiislamu mfululizo.
 
Basi nahisi kuna chuki. Maana chuki ikishaingia inaondoa ule ubinadamu hasa kama kuna kundi litaona linaonewa sana na wengine

Ni zaidi ya Chuki Chief! It’s more of a special strategy to capture attention and conquer minds!

May Allah intervene!

Innah lillah wainnah illah rajioun! Poleni sana wafiwa, pumzikeni kwa Amani watoto, May Allah bless your souls! [emoji24]
 
Katika tukio zito kama hili la kufariki watoto wadogo 10 maneno ya mkuu wa mkoa ni mepesi sana na kama kwamba kuna mengine ya chini anayakusudia kwa waislamu na shule zao.Kama ni watoto wa kikristo au tukio hili lingetokea Ulaya huenda jeshi la nchi nzima lingehamia huko na kufanya siku za maombolezo kitaifa huku wakihusisha na ugaidi na huenda misikiti ya karibu na masheikh wangehusishwa na watu wasiojulikana wangepata sababu ya kuondoka na wengi.
Eti hatua ya mwanzo ni kusitisha huduma za malazi shuleni hapo.Hapana jambo la mwanzo ni kuahidi kujua chanzo na kuwatafuta wahusika halafu atoe pesa haraka kujenga mabweni yaliyoungua kwa sababu tunataka kufa na kuungua kwa shule isiwe sababu ya kufungia shule nyengine za kiislamu ambazo huenda kwa unyonge walionao mabweni labda sio kama yale ya shule za kanisa zinazopokea pesa kutoka Marekani na Ulaya.
Kwa sababu ni kipindi cha kampeni za uchaguzi na matukio yamejirudia sana kwenye shule za kiislamu hii pia ingepaswa kuzungumziwa kwenye ajenda za wagombea,kwamba wakiingia madarakani watachunguza sababu za kuungua shule za kiislamu mfululizo.

Tusisahau pia misaada kutoka falme na nchi za UAE(umoja wa nchi za kiarabu) inasaidia sana nyingi ya shule hizi! (Islamic schools)
 
Najua mamlaka huenda zinajua ama ziko ktk mchakato wa kumalizia kuja na ushahidi tosha juu ya hizi ajali za moto.

Mwenyekiti wangu alipoingia madarakani alikandia sana polisi jamii, kwa sasa sio kipindi cha Ujamaa tulipotegemea balozi za nyumba kumi kupashana habari.

Idara nyeti ipo na hatujui utendaji wako uko namna gani, zaidi ya mambo yanayohusiana na kuilinda zaidi taasisi yake!!

Ulinzi na Usalama wa nchi ni jukumu letu sote, tuilinde nchi yetu vilivyo.

Vyombo vya ulinzi jengeni mazingira rafiki na kuhakikisha usalama wa watoa taarifa, huenda watu wanajua ila wanaogopa kutoa taarifa.
 
Inasikiyisha sana ndugu, yaani ktk mambo ya msingi kama haya huoni ripoti ikitolewa kwa wakati wao wapo haraka ktk mambo ya kisiasa tu ndio intelejensia yao inafanya kazi
Ingechomwa nyumba hata ya hawala yake magufuli tuu huo moto wake sasa mpaka wahalifu wangepatikana, kwakua watoto wenu hawafi mnakaa kimya tuu. Roho inaniuma sana mwanangu yupo shuleni kambini anajiandaa na mtihani wa darasa lanne sijui hatma yake nini poor kid maana leo kwako kesho kwangu Mungu awalinde watoto hawa.
 
Ingechomwa nyumba hata ya hawala yake magufuli tuu huo moto wake sasa mpaka wahalifu wangepatikana, kwakua watoto wenu hawafi mnakaa kimya tuu. Roho inaniuma sana mwanangu yupo shuleni kambini anajiandaa na mtihani wa darasa lanne sijui hatma yake nini poor kid maana leo kwako kesho kwangu Mungu awalinde watoto hawa.
Kama unaroho ya hivi bora na wako achomwe tu mpuuzi wewe
 
Ama hili ni pigo kubwa sana kwa familia zao na hata kwa taifa letu. Uchaguzi ufanyike haraka ili kupata kujua chanzo cha moto huu na mazingira ya kiusalama dhidi ya kukabiliana na majanga yalikuwaje ndani ya bweni.
Pole nyingi sana ziende kwa ndugu, jamaa na marafiki wenye kuguswa na msiba huu mkubwa.
 
Katika tukio zito kama hili la kufariki watoto wadogo 10 maneno ya mkuu wa mkoa ni mepesi sana na kama kwamba kuna mengine ya chini anayakusudia kwa waislamu na shule zao.Kama ni watoto wa kikristo au tukio hili lingetokea Ulaya huenda jeshi la nchi nzima lingehamia huko na kufanya siku za maombolezo kitaifa huku wakihusisha na ugaidi na huenda misikiti ya karibu na masheikh wangehusishwa na watu wasiojulikana wangepata sababu ya kuondoka na wengi.
Eti hatua ya mwanzo ni kusitisha huduma za malazi shuleni hapo.Hapana jambo la mwanzo ni kuahidi kujua chanzo na kuwatafuta wahusika halafu atoe pesa haraka kujenga mabweni yaliyoungua kwa sababu tunataka kufa na kuungua kwa shule isiwe sababu ya kufungia shule nyengine za kiislamu ambazo huenda kwa unyonge walionao mabweni labda sio kama yale ya shule za kanisa zinazopokea pesa kutoka Marekani na Ulaya.
Kwa sababu ni kipindi cha kampeni za uchaguzi na matukio yamejirudia sana kwenye shule za kiislamu hii pia ingepaswa kuzungumziwa kwenye ajenda za wagombea,kwamba wakiingia madarakani watachunguza sababu za kuungua shule za kiislamu mfululizo.
Naunga mkono hoja
Well said
 
Mkuu sikubaliani na wewe. Kuna trend kubwa sana ya shule za kiislam kuungua moto huko Dar, Same na sasa Bukoba. Why shule za kiislam tu? Kila siku chanzo cha moto wanasema hakijulikani. Walichoma za wakubwa baada ya kuona wengi wanajiokoa wameamua kuhamia za watoto. Hili jambo sio la kuupuzwa. Serikali ikae na makundi yote ya kiislam kuona kuna nini kati yao. Inauma sana kupoteza watoto kizembe namna hii.
Kwa nini umekimbilia kutaja makundi ya kiislamu
Kwani Audi hawezi kuwa anatoka nje ya uislamu?
 
I
KWANINI SHULE ZA WENZETU ZINAUNGUA KIASI HIKI?!! WAPENDWA SOTE TU WATANZANIA, TUSIKAE KIMYA KUHUSU HILI TUNAHITAJI TUME KUCHUNGUZA KUNA NINI NDANI?! HAIWEZEKANI HILI, MACHUNGU YA KUZAA KUSOMESHA HALAFU MWANANGU ANAKUFA KWA UZEMBE HILI HAIWEZEKANI INAUMIZA SANA SANA SANA..FIKIRIA UWE WEWE MWANAO NDO AFARIKI KWA NAMNA HII OHOOO JAMANI JAMANI JAMANIII[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji2367]
INAUMA SANA.
 
Zingeungua shule za upande wa pili hapa nafikiri Kuna jiwe lingeelekezwa upande Fulani na huenda Kuna watu wangeshatiwa mbaroni hapa huku Wana JF wa upande huu wangekua wanamwagikwa mapovu tu hapa
Na huu ndo ufinyu wa akili wa binadamu pasipo tafuta chanzo.

Haya zimeungua za upande huu naona majibu yanakua magumu na chanzo hakinulikani.
So sad Sana,msiba mkubwa wa familia ya vijana Hawa.
 
Katika tukio zito kama hili la kufariki watoto wadogo 10 maneno ya mkuu wa mkoa ni mepesi sana na kama kwamba kuna mengine ya chini anayakusudia kwa waislamu na shule zao.Kama ni watoto wa kikristo au tukio hili lingetokea Ulaya huenda jeshi la nchi nzima lingehamia huko na kufanya siku za maombolezo kitaifa huku wakihusisha na ugaidi na huenda misikiti ya karibu na masheikh wangehusishwa na watu wasiojulikana wangepata sababu ya kuondoka na wengi.
Eti hatua ya mwanzo ni kusitisha huduma za malazi shuleni hapo.Hapana jambo la mwanzo ni kuahidi kujua chanzo na kuwatafuta wahusika halafu atoe pesa haraka kujenga mabweni yaliyoungua kwa sababu tunataka kufa na kuungua kwa shule isiwe sababu ya kufungia shule nyengine za kiislamu ambazo huenda kwa unyonge walionao mabweni labda sio kama yale ya shule za kanisa zinazopokea pesa kutoka Marekani na Ulaya.
Kwa sababu ni kipindi cha kampeni za uchaguzi na matukio yamejirudia sana kwenye shule za kiislamu hii pia ingepaswa kuzungumziwa kwenye ajenda za wagombea,kwamba wakiingia madarakani watachunguza sababu za kuungua shule za kiislamu mfululizo.
Dear sizadhani kama wanaona ni janga ambalo linahitaji kutafutiwa mwarubain haraka
Mfano siku ya baraza la idd , PM aliliongelea kwamba kuna kamati inafanya kazi lkn ndio hvy kamati haileti majibu na shule zinazidi kuchomeka
 
KWANINI SHULE ZA WENZETU ZINAUNGUA KIASI HIKI?!! WAPENDWA SOTE TU WATANZANIA, TUSIKAE KIMYA KUHUSU HILI TUNAHITAJI TUME KUCHUNGUZA KUNA NINI NDANI?! HAIWEZEKANI HILI, MACHUNGU YA KUZAA KUSOMESHA HALAFU MWANANGU ANAKUFA KWA UZEMBE HILI HAIWEZEKANI INAUMIZA SANA SANA SANA..FIKIRIA UWE WEWE MWANAO NDO AFARIKI KWA NAMNA HII OHOOO JAMANI JAMANI JAMANIII[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji2367]
Of course inaumiza sana ukikaa nafasi ya mzazi.
 
Ingechomwa nyumba hata ya hawala yake magufuli tuu huo moto wake sasa mpaka wahalifu wangepatikana, kwakua watoto wenu hawafi mnakaa kimya tuu. Roho inaniuma sana mwanangu yupo shuleni kambini anajiandaa na mtihani wa darasa lanne sijui hatma yake nini poor kid maana leo kwako kesho kwangu Mungu awalinde watoto hawa.
Hizi biashara za kambi mi siziafiki kabisaa...

Ila watanzania nasi tumelogwa... Tunaishia kulalama tu mitandaoni...

Tumelogwa.
 
Back
Top Bottom