Uchumi TV
Member
- Apr 11, 2023
- 33
- 31
Wana bodi. Chadema hivi punde wanaaza maandamano ya Amani katika mji wa Bukoba mkoani Kagera. tayari tupo eneo la mafumbo kashai yanapoanzia maandamano hayo hadi uwanja wa uhuru maarufu kama mayunga.
Tarrifa ambazo uchumi TV imezipata ni kuwa kuna kutoelewana baina ya viongozi wa chadema na polisi juu ya njia kwa kuwa chadema wanataka kupitia soko kuu la bukoba kisha kupinda kuelekea stendi kuu hatimaye uwanjani wakati polisi hawaoni sababu za kupitia sokoni wakati njia inanyooka kuelekea uwanjani.
Njia inayopendekezwa na chadema ni kutoka Kashai,hadi kwenye mataa njia panda ya Nshambya,lakini wanataka wakifika Bugabo house wateremke na njia ya kuelekea dampo la kuu kisha kuchepuka na njia nya bamboo na kukunja tena kuelekea mataa ya CRDB kuelekea stendi kisha uwanja wa mayunga
polisi wanataka wakitoka Kashai,hadi kwenye mataa njia panda ya Nshambya,lakini wanataka wakifika Bugabo house wasichepuke bali wanyooshe hadi mataa ya CRDB kuelekea stendi kisha uwanja wa mayunga.
hatujapata kujua nini hatma ya njia hizo.
Tutaendelea kuwajuza kwa picha text,video na picha.
View: https://youtube.com/live/POK4oXZcFyE?feature=share
Tarrifa ambazo uchumi TV imezipata ni kuwa kuna kutoelewana baina ya viongozi wa chadema na polisi juu ya njia kwa kuwa chadema wanataka kupitia soko kuu la bukoba kisha kupinda kuelekea stendi kuu hatimaye uwanjani wakati polisi hawaoni sababu za kupitia sokoni wakati njia inanyooka kuelekea uwanjani.
Njia inayopendekezwa na chadema ni kutoka Kashai,hadi kwenye mataa njia panda ya Nshambya,lakini wanataka wakifika Bugabo house wateremke na njia ya kuelekea dampo la kuu kisha kuchepuka na njia nya bamboo na kukunja tena kuelekea mataa ya CRDB kuelekea stendi kisha uwanja wa mayunga
polisi wanataka wakitoka Kashai,hadi kwenye mataa njia panda ya Nshambya,lakini wanataka wakifika Bugabo house wasichepuke bali wanyooshe hadi mataa ya CRDB kuelekea stendi kisha uwanja wa mayunga.
hatujapata kujua nini hatma ya njia hizo.
Tutaendelea kuwajuza kwa picha text,video na picha.
View: https://youtube.com/live/POK4oXZcFyE?feature=share