Kagera : Yaliyojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na Chadema

Kagera : Yaliyojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na Chadema

Wana bodi. Chadema hivi punde wanaaza maandamano ya Amani katika mji wa Bukoba mkoani Kagera. tayari tupo eneo la mafumbo kashai yanapoanzia maandamano hayo hadi uwanja wa uhuru maarufu kama mayunga.

Tarrifa ambazo uchumi TV imezipata ni kuwa kuna kutoelewana baina ya viongozi wa chadema na polisi juu ya njia kwa kuwa chadema wanataka kupitia soko kuu la bukoba kisha kupinda kuelekea stendi kuu hatimaye uwanjani wakati polisi hawaoni sababu za kupitia sokoni wakati njia inanyooka kuelekea uwanjani.

Njia inayopendekezwa na chadema ni kutoka Kashai,hadi kwenye mataa njia panda ya Nshambya,lakini wanataka wakifika Bugabo house wateremke na njia ya kuelekea dampo la kuu kisha kuchepuka na njia nya bamboo na kukunja tena kuelekea mataa ya CRDB kuelekea stendi kisha uwanja wa mayunga

polisi wanataka wakitoka Kashai,hadi kwenye mataa njia panda ya Nshambya,lakini wanataka wakifika Bugabo house wasichepuke bali wanyooshe hadi mataa ya CRDB kuelekea stendi kisha uwanja wa mayunga.

hatujapata kujua nini hatma ya njia hizo.

Tutaendelea kuwajuza kwa picha text,video na picha.

View: https://youtube.com/live/POK4oXZcFyE?feature=share
 
WAHAYA NA WAKAZI WOTE WA KAGERA, JITOKEZENI KWA WINGI MUONESHE KUILALAMIKIA/CONCERN ZENU KUHUSU MAISHA YENU, kikokotoo, katiba mpya, sheria kandamizi za uchaguzi na zinginezo/ugumu wa maisha ETC ETC ETC... SAUTI ZENU NDIYO KUPONA KWENU. SAUTI ZENU NI KUPITIA MAANDAMANO
Yote uliyotaja sio matatizo ya hao ndugu zet.Fikiria tena
 
photo_2024-04-22_12-39-35.jpg
 

Attachments

  • photo_2024-04-22_12-39-36.jpg
    photo_2024-04-22_12-39-36.jpg
    308.6 KB · Views: 1
  • photo_2024-04-22_12-39-41.jpg
    photo_2024-04-22_12-39-41.jpg
    236.7 KB · Views: 1
Nipo hapa ELCT-Bookshop ila maandamano yamedoda bojo
 
Leo ikiwa ni siku ya Kwanza ya Maandamano ya Amani , ya kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi nchini Tanzania , yaliyoandaliwa na Chadema , na ambayo yanatarajiwa kufanyika kote Duniani , Tumejipanga kuunganisha na matukio yote kutoka kote duniani .

View attachment 2970756

Usiondoke JF kwa Taarifa za Uhakika .
========
Tayari mambo yaneanza kuwa makubwa , Hii ni mapema wananchi walipoanza kujikusanya

View attachment 2970848
Wiki ya mazoezi ukiwauliza toka wameanza kuandamana kuna impact gani hawana majibu hiii week itaisha mama samia hajatikisa hata nywele yaani haogopi

Maandamano ambayo mtawala haogopi jua ni geresha tu

Jogging la chadema
 
WAHAYA NA WAKAZI WOTE WA KAGERA, JITOKEZENI KWA WINGI MUONESHE KUILALAMIKIA/CONCERN ZENU KUHUSU MAISHA YENU, kikokotoo, katiba mpya, sheria kandamizi za uchaguzi na zinginezo/ugumu wa maisha ETC ETC ETC... SAUTI ZENU NDIYO KUPONA KWENU. SAUTI ZENU NI KUPITIA MAANDAMANO
Huko Moshi Maandamano yatafanyika siku ya Mwisho 😂😂
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Leo ikiwa ni siku ya Kwanza ya Maandamano ya Amani , ya kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi nchini Tanzania , yaliyoandaliwa na Chadema , na ambayo yanatarajiwa kufanyika kote Duniani , Tumejipanga kuunganisha na matukio yote kutoka kote duniani .

View attachment 2970756

Usiondoke JF kwa Taarifa za Uhakika .
========
Tayari mambo yaneanza kuwa makubwa , Hii ni mapema wananchi walipoanza kujikusanya

View attachment 2970848

Hapa ni viwanja vya Mafumbo Center yalipoanzia Maandamano hayo Kabambe ambayo hayajawahi kukusanya umati kama huu tangu Mkoa huo uanzishwe na Nyerere

View attachment 2970937View attachment 2970938View attachment 2970940View attachment 2970940View attachment 2970945
Maaaana yaaakee hiiii ndio idadi kamili ya wanachama mkoa mzimaa
 
Muitikio wa wananchi kwenye maandamano haya ni mdogo sana. Inaonekana bado hawajaguswa mioyoni mwao.
 
Picha ya Siku : Diwani wa ccm ashiriki Maandamano .

Screenshot_2024-04-22-14-01-04-1.png
 
Back
Top Bottom