Kagera : Yaliyojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na Chadema

Kagera : Yaliyojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na Chadema

Mkuu bagamoyo nakuona Online , karibu useme neno

Mambo yalikuwa moto sana leo, kwa kihaya waliulizwa "How Long hali hii ngumu kiuchumi, kielimu na kidemokrasia inaweza kuvumilika" CHADEMA inauliza wana wa Kagera, nao wakaitikia imefika kikomo kama kamanda Lt. Jenerali Mayunga na wapiganaji wazalendo waliweza kumtimua nduli Iddi Amin kutoka Kagera kwanini sisi tushindwe ....


View: https://m.youtube.com/watch?v=LRFl1HGn_i8
 
1713805500424.png
 
Mambo yalikuwa moto sana leo, kwa kihaya waliulizwa "How Long hali hii ngumu kiuchumi, kielimu na kidemokrasia inaweza kuvumilika" CHADEMA inauliza wana wa Kagera, nao wakaitikia imefika kikomo kama kamanda Lt. Jenerali Mayunga na wapiganaji wazalendo waliweza kumtimua nduli Iddi Amin kutoka Kagera kwanini sisi tushindwe ....


View: https://m.youtube.com/watch?v=LRFl1HGn_i8

Asante sana
 
Wana bodi. Chadema hivi punde wanaaza maandamano ya Amani katika mji wa Bukoba mkoani Kagera. tayari tupo eneo la mafumbo kashai yanapoanzia maandamano hayo hadi uwanja wa uhuru maarufu kama mayunga.

Tarrifa ambazo uchumi TV imezipata ni kuwa kuna kutoelewana baina ya viongozi wa chadema na polisi juu ya njia kwa kuwa chadema wanataka kupitia soko kuu la bukoba kisha kupinda kuelekea stendi kuu hatimaye uwanjani wakati polisi hawaoni sababu za kupitia sokoni wakati njia inanyooka kuelekea uwanjani.

Njia inayopendekezwa na chadema ni kutoka Kashai,hadi kwenye mataa njia panda ya Nshambya,lakini wanataka wakifika Bugabo house wateremke na njia ya kuelekea dampo la kuu kisha kuchepuka na njia nya bamboo na kukunja tena kuelekea mataa ya CRDB kuelekea stendi kisha uwanja wa mayunga

polisi wanataka wakitoka Kashai,hadi kwenye mataa njia panda ya Nshambya,lakini wanataka wakifika Bugabo house wasichepuke bali wanyooshe hadi mataa ya CRDB kuelekea stendi kisha uwanja wa mayunga.

hatujapata kujua nini hatma ya njia hizo.

Tutaendelea kuwajuza kwa picha text,video na picha.

View: https://youtube.com/live/POK4oXZcFyE?feature=share

Hawa nao,wanadanganya wananchi wajinga wenzao
 
Sio ajabu maana Kagera ni moja ya mikoa masikini mno licha ya kuwa na wasomi mahiri kadhaa maana hao wanaenda kuishi Dar nk.
Hao ndio maana hata pamoja na tetemeko bado Magu aliwakebehi na kuwapora misaada yao kwani anajua walivyo. Ni watu wa majidai tuu hakuna kitu
Aisee kwahiyo ili waonekane wao sio maskini ni kujiunga na maandamano? Tanzania ni nchi maskini,je umaskini umesababishwa na watanzania kutoshiriki maandamano?
 
Back
Top Bottom