Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Achana na wahuni, ukianguka huko mtini sisi tutapataje taarifa. Tunakutegemea afisa msemaji.Usiondoke , Napanda juu ya mti nikupigie picha unayotaka , unataka urefu wa kilomita ngapi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na wahuni, ukianguka huko mtini sisi tutapataje taarifa. Tunakutegemea afisa msemaji.Usiondoke , Napanda juu ya mti nikupigie picha unayotaka , unataka urefu wa kilomita ngapi ?
Chadema haibahatishiKumbe G. Mkoba alipata shavu.
Kagera naona mmetisha kwa hizo CV za viongozi wenu.
VEMA WAMEITIKIA KISAWASAWAHao hapo!
😂😂😂VEMA WAMEITIKIA KISAWASAWA
nadhani uko kwenye kamati ya makonda, vipi hajawapiga makofi?
Punguza ujinga na utotoMsije na visingizio tu oooh afande byabato kagoma!
Lucas kasema Makonda atazungumza na Al jazeera news hivi Punde 😂😂😂nadhani uko kwenye kamati ya makonda, vipi hajawapiga makofi?
Lucas Mwashamba , huyu ni sanamu, stooge!Lucas
😆😆😆😆Kweli CDM haijawahi kuwa na shughuli ndogo.
VEMA WAMEITIKIA KISAWASAWA
Mkuu bagamoyo nakuona Online , karibu useme nenoLeo ikiwa ni siku ya Kwanza ya Maandamano ya Amani , ya kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi nchini Tanzania , yaliyoandaliwa na Chadema , na ambayo yanatarajiwa kufanyika kote Duniani , Tumejipanga kuunganisha na matukio yote kutoka kote duniani .
View attachment 2970756
Usiondoke JF kwa Taarifa za Uhakika .
========
Tayari mambo yaneanza kuwa makubwa , Hii ni mapema wananchi walipoanza kujikusanya
View attachment 2970848
Hapa ni viwanja vya Mafumbo Center yalipoanzia Maandamano hayo Kabambe ambayo hayajawahi kukusanya umati kama huu tangu Mkoa huo uanzishwe na Nyerere
View attachment 2970999View attachment 2971000
View attachment 2970937View attachment 2970938View attachment 2970940View attachment 2970940View attachment 2970945
Kwanini Kila mkiandamana kiongozi yule Huwa anakuwa nje ya Nchi?😆😆😆😆
Atajua mwenyewe , kama anatukimbia au laKwanini Kila mkiandamana kiongozi yule Huwa anakuwa nje ya Nchi?
Mkibaini anawakimbia,Atajua mwenyewe , kama anatukimbia au la