Kagera : Yaliyojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na Chadema

Kagera : Yaliyojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na Chadema

Chadema wamekumbuka ngome zao za asili. Namuona Chief hapo, matata sana, wananchi wanasema Chief ni mbunge wao, ila anacheleweshwa tu.

Ta Byabato amekimbia jimbo kwa muda mrefu, anajenga majumba Mwanza na Dodoma, amesahau kwao Kagera.

Huku na kule CCM kuna kaka yake na JAMCO amemkaba Byabato mpaka kwenye nyusi, huyu jamaa alimshinda Byabato kwenye kura za maoni, Byabato alishinda uchaguzi kwa kupigiwa kura na wazee wa makoti meusi pale mlima wa Kashura. Zikapigwa sana bomu za machozi
 
Jambo jema kabisa. Tushikilie hapo hapo. Maana wahafidhina wa ccm wamemuweza. Amegeuka na kuiacha nia yake njema aliyokuwa nayo toka mwanzo. Waliomgeuza moyo na walaaniwe kabisa kwa sababu hawajali uhai wa watanzania nyakati za uchaguzi hasa pale walioshinda wanapopokwa ushindi wao kutokana na tume ya uchaguzi kama ya akina mapesa (mahela).
 
VEMA WAMEITIKIA KISAWASAWA
JamiiForums442997317_236x211.jpeg
 
Leo ikiwa ni siku ya Kwanza ya Maandamano ya Amani , ya kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi nchini Tanzania , yaliyoandaliwa na Chadema , na ambayo yanatarajiwa kufanyika kote Duniani , Tumejipanga kuunganisha na matukio yote kutoka kote duniani .

View attachment 2970756

Usiondoke JF kwa Taarifa za Uhakika .
========
Tayari mambo yaneanza kuwa makubwa , Hii ni mapema wananchi walipoanza kujikusanya

View attachment 2970848

Hapa ni viwanja vya Mafumbo Center yalipoanzia Maandamano hayo Kabambe ambayo hayajawahi kukusanya umati kama huu tangu Mkoa huo uanzishwe na Nyerere

View attachment 2970999View attachment 2971000

View attachment 2970937View attachment 2970938View attachment 2970940View attachment 2970940View attachment 2970945
Mkuu bagamoyo nakuona Online , karibu useme neno
 
Polisi wa Usalama wa Barabara mjini Bukoba akisoma Bango la Kikokotoo kwa Umakini

Screenshot_2024-04-22-18-44-54-1.png
 
Back
Top Bottom