Mkuu bagamoyo nakuona Online , karibu useme neno
Asante sanaMambo yalikuwa moto sana leo, kwa kihaya waliulizwa "How Long hali hii ngumu kiuchumi, kielimu na kidemokrasia inaweza kuvumilika" CHADEMA inauliza wana wa Kagera, nao wakaitikia imefika kikomo kama kamanda Lt. Jenerali Mayunga na wapiganaji wazalendo waliweza kumtimua nduli Iddi Amin kutoka Kagera kwanini sisi tushindwe ....
View: https://m.youtube.com/watch?v=LRFl1HGn_i8
Mwamba kama Mwamba yaani !!
Hawa nao,wanadanganya wananchi wajinga wenzaoWana bodi. Chadema hivi punde wanaaza maandamano ya Amani katika mji wa Bukoba mkoani Kagera. tayari tupo eneo la mafumbo kashai yanapoanzia maandamano hayo hadi uwanja wa uhuru maarufu kama mayunga.
Tarrifa ambazo uchumi TV imezipata ni kuwa kuna kutoelewana baina ya viongozi wa chadema na polisi juu ya njia kwa kuwa chadema wanataka kupitia soko kuu la bukoba kisha kupinda kuelekea stendi kuu hatimaye uwanjani wakati polisi hawaoni sababu za kupitia sokoni wakati njia inanyooka kuelekea uwanjani.
Njia inayopendekezwa na chadema ni kutoka Kashai,hadi kwenye mataa njia panda ya Nshambya,lakini wanataka wakifika Bugabo house wateremke na njia ya kuelekea dampo la kuu kisha kuchepuka na njia nya bamboo na kukunja tena kuelekea mataa ya CRDB kuelekea stendi kisha uwanja wa mayunga
polisi wanataka wakitoka Kashai,hadi kwenye mataa njia panda ya Nshambya,lakini wanataka wakifika Bugabo house wasichepuke bali wanyooshe hadi mataa ya CRDB kuelekea stendi kisha uwanja wa mayunga.
hatujapata kujua nini hatma ya njia hizo.
Tutaendelea kuwajuza kwa picha text,video na picha.
View: https://youtube.com/live/POK4oXZcFyE?feature=share
Huu ndio ukweli,chadema ni magaidi wanaotaka nchi isitawalike.Ujinga mtupu,hata hao wlioandamana naona hawana kazi za kufanya,wanatumika na chadema kama punching bag
Wewe kapuku huna hojaHuu ndio ukweli,chadema ni magaidi wanaotaka nchi isitawalike.
Sawa NyumbuWewe kapuku huna hoja
Aisee kwahiyo ili waonekane wao sio maskini ni kujiunga na maandamano? Tanzania ni nchi maskini,je umaskini umesababishwa na watanzania kutoshiriki maandamano?Sio ajabu maana Kagera ni moja ya mikoa masikini mno licha ya kuwa na wasomi mahiri kadhaa maana hao wanaenda kuishi Dar nk.
Hao ndio maana hata pamoja na tetemeko bado Magu aliwakebehi na kuwapora misaada yao kwani anajua walivyo. Ni watu wa majidai tuu hakuna kitu