residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Ila wale watoto wa mikutano ya CCM wanaobebwa kwenda kuona fiesta ya bure ndio wapiga!?Wengi hapo ni wapenzi watazamaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wale watoto wa mikutano ya CCM wanaobebwa kwenda kuona fiesta ya bure ndio wapiga!?Wengi hapo ni wapenzi watazamaji
😂😂😂😂😂 kudinyAnaIla jamani tuache masikhara, Wahaya wanapenda sana KUDINYANA aisee. Kwenye eneo hilo, Wahaya [emoji119][emoji119]. Najua mshkaji wangu Maxence Melo anaweza kuniadhibu ila Msema kweli ni Mpenzi wa Mungu, nami nimechagua kuwa Mpenzi wa Mungu
Mtoa maada nakutadharisha mapema kwamba kuna maisha baada ya uchaguzi. Hivyo jaribu kutunza hayo maneno yako. Kwa maana maisha yako yatakua ya stress Sana siku zijazo.Katika lile tulilojua toka mwaka 2017, mkoa wa Kagera una lake jambo juu ya CCM na Rais Magufuli.
Ni mkoa ambao ulipata tetemeko, watu wakahitaji faraja kutoka kwa mfariji mkuu wakaishia kuambulia maneno ya kukereketa na kejeli.
Wana Kagera walipoomba Chakula wakaambiwa serikali haina shamba.
Walipoomba msaada wakaambiwa kwani serikali ndiyo iliyoleta tetemeko?
Kisha wakaishiwa kukejeliwa kuwa kwani huo mkoa una nini, Ukimwi kwao, Tena kuna mto ngono na kijiji kinachoitwa Katerero (yote hii kumaanisha kuwa ni watu wapowapo tu wanaopenda chini).
Sasa kaenda kule mtetezi wa Wanyonge Tundu Lissu, mapokezi aliyoyapata katika vitongoji vya huko ni makubwa ajabu.
Lissu alianzia Nyakanazi, akaja Ngara akaenda Kyerwa.
Kwa kweli mapokezi aliyoyapata huko utadhani ni Jenerali wa Kijeshi aliyeongoza mapambano ya kukomboa maeneo hayo.
Hii ni rasharasha tu bado hajaingia Bukoba mjini.
Kiufupi, kwenye mkoa wa Kagera, CCM hawana chao. Wahaya hawapendi dharau!
Hapa chini ni mapokezi ya Lissu huko Kyerwa!
View attachment 1576849
Acha povu subiri 28/10/2020 ndo utajua hao masela wa chedema ni wapenzi watazamaji tu.Ila wale watoto wa mikutano ya CCM wanaobebwa kwenda kuona fiesta ya bure ndio wapiga!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm ijiandae kufuata nyayo za KANU.Uchaguzi ukiwa wa wazi, huru, na kweli bila WIZI, ccm sidhani kama watakuwepo tena ktk uso wa dunia!
Naona muna farijiana hapo.
Tanzania, upinzani bado haujawa na nguvu hiyo munayo aminishana.
Itachukua miaka 50 kuitoa CCM madarakani.
Nina kazia WENYE AKILI TIMAMU!Naomba Kurudie "Rais Huyu anasitahili Kupingwa na kila mtanzania mwenye akili". BINAFSI NIMEKUELEWA.
yamesemwa siku zote, maneno tuu hata kwenye kanga yapo.Acha povu subiri 28/10/2020 ndo utajua hao masela wa chedema ni wapenzi watazamaji tu.
Yaan ,nimecheka sanaaaa!!Sehemu ambayoLissu anapata mapokezi mazuri ,tayari .Lissu for President. Naona Kigoma kimya,Geita hatukuona hats picha.Nafikiri tutumie hakiri tu.Amepata mapokezi makubwa mikoa mingapi?Kati ya 26?Lissu the President
Hongera kwa mapokezi makubwa,Katika lile tulilojua toka mwaka 2017, mkoa wa Kagera una lake jambo juu ya CCM na Rais Magufuli.
Ni mkoa ambao ulipata tetemeko, watu wakahitaji faraja kutoka kwa mfariji mkuu wakaishia kuambulia maneno ya kukereketa na kejeli.
Wana Kagera walipoomba Chakula wakaambiwa serikali haina shamba.
Walipoomba msaada wakaambiwa kwani serikali ndiyo iliyoleta tetemeko?
Kisha wakaishiwa kukejeliwa kuwa kwani huo mkoa una nini, Ukimwi kwao, Tena kuna mto ngono na kijiji kinachoitwa Katerero (yote hii kumaanisha kuwa ni watu wapowapo tu wanaopenda chini).
Sasa kaenda kule mtetezi wa Wanyonge Tundu Lissu, mapokezi aliyoyapata katika vitongoji vya huko ni makubwa ajabu.
Lissu alianzia Nyakanazi, akaja Ngara akaenda Kyerwa.
Kwa kweli mapokezi aliyoyapata huko utadhani ni Jenerali wa Kijeshi aliyeongoza mapambano ya kukomboa maeneo hayo.
Hii ni rasharasha tu bado hajaingia Bukoba mjini.
Kiufupi, kwenye mkoa wa Kagera, CCM hawana chao. Wahaya hawapendi dharau!
Hapa chini ni mapokezi ya Lissu huko Kyerwa!
View attachment 1576849
Hayo ya kwenye kanaga ndo uhalisiayamesemwa siku zote, maneno tuu hata kwenye kanga yapo.
Uwazi gani sasa wewe unaoutaka?Uchaguzi ukiwa wa wazi, huru, na kweli bila WIZI, ccm sidhani kama watakuwepo tena ktk uso wa dunia!
Yaan ,nimecheka sanaaaa!!Sehemu ambayoLissu anapata mapokezi mazuri ,tayari .Lissu for President. Naona Kigoma kimya,Geita hatukuona hats picha.Nafikiri tutumie hakiri tu.Amepata mapokezi makubwa mikoa mingapi?Kati ya 26?
Kwamba afute uchaguzi????sitashangaa jiwe akajitoa na kususia uchaguzi
Lissu kashikilia koromeo...no pumzi