Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Hakuna,, hiyo imeshaingia kwenye Hansard!Sorry, nilitaka kuandika Magwanda. Its my mistake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna,, hiyo imeshaingia kwenye Hansard!Sorry, nilitaka kuandika Magwanda. Its my mistake
Katika lile tulilojua toka mwaka 2017, mkoa wa Kagera una lake jambo juu ya CCM na Rais Magufuli.
Ni mkoa ambao ulipata tetemeko, watu wakahitaji faraja kutoka kwa mfariji mkuu wakaishia kuambulia maneno ya kukereketa na kejeli.
Wana Kagera walipoomba Chakula wakaambiwa serikali haina shamba.
Walipoomba msaada wakaambiwa kwani serikali ndiyo iliyoleta tetemeko?
Kisha wakaishiwa kukejeliwa kuwa kwani huo mkoa una nini, Ukimwi kwao, Tena kuna mto ngono na kijiji kinachoitwa Katerero (yote hii kumaanisha kuwa ni watu wapowapo tu wanaopenda chini).
Sasa kaenda kule mtetezi wa Wanyonge Tundu Lissu, mapokezi aliyoyapata katika vitongoji vya huko ni makubwa ajabu.
Lissu alianzia Nyakanazi, akaja Ngara akaenda Kyerwa.
Kwa kweli mapokezi aliyoyapata huko utadhani ni Jenerali wa Kijeshi aliyeongoza mapambano ya kukomboa maeneo hayo.
Hii ni rasharasha tu bado hajaingia Bukoba mjini.
Kiufupi, kwenye mkoa wa Kagera, CCM hawana chao. Wahaya hawapendi dharau!
Hapa chini ni mapokezi ya Lissu huko Kyerwa!
View attachment 1576849
Tundu Lissu akiwa Karagwe
Wakati wa Ukoloni nchi hii ilikuwa imegawanywa katika majimbo 8 na nyie wa Karagwe jimbo lilikuwa linaitwa 'Jimbo la Ziwa', hayo yalikuwa majimbo ya kikoloni na yote yalikuwa yanatawaliwa na watu wanaitwa wakuu wa majimbo"- Tundu Lissu.
Wakuu wa majimbo na wakuu wa Wilaya walikuwa wanateuliwa na Gavana wa kikoloni, kwa hiyo Gavana aliyekuwa Dar es Salaam ndiye aliyekuwa anaamua nani awe mkuu wa jimbo la Ziwa na anaamua nani awe mkuu wa Wilaya moja wapo ya wilaya za zamani kabisa
Tulipopata Uhuru mwaka 61 mwaka uliofuata, sheria ikapitishwa na bunge la Tanganyika, sheria ya Mikoa na Ya Wakuu wa Mikoa, ile sheria iliondoa yale majimbo ikayagawanya majimbo yale kuwa hiki tunachokiita leo mikoa"
Tunataka maamuzi ya Ardhi ya Karagwe, yafanywe na watu wa Karagwe, sio wageni tunataka mambo yanayotuhusu wananchi wa Karagwe, Singida, Dodoma au Chato, wafanye wananchi wenyewe, ndio maana ya utawala wa Majimbo tunaouzungumzia
Sisi pekee ndio nchi yenye mikoa ambayo wakuu wake wanateuliwa na Rais, ukienda Kenya wameacha kuita Majimbo walikuwa na majimbo wakati wa MOI, siku hizi kuna Kaunti zina Gavana, Gavana wa Kaunti ya Kenya anachaguliwa na wananchi wa hiyo kaunti na anaondolewa nao
Mamlaka ya kuendesha mambo yote katika Kaunti, Elimu, Maji, Barabara yanafanywa kwenye 'Level' hiyo na viongozi waliochaguliwa, ndivyo ilivyo Afrika Kusini, Zambia, Marekani, Uingereza, Ujerumani, ndivyo ilivyo nchi zote ambazo zinataka wananchi wawe na mamlaka
Huu utaratibu wa kukopa wakulima wa Kahawa wa Karagwe, na wa nchi nzima huu ni utaratibu ambao unafanya wanachi wanakuwa masikini
Leo ukilima Kahawa yako, unahangaika mwenyewe, mbegu mwenyewe, upalilie mwenyewe, madawa mwenyewe, uvune mwenyewe, ukishaweka kwenye magunia unaambiwa huwezi kuuza mahali popote isipokuwa AMCOS
Kwahiyo Lissu atashinda? Hiki kichekesho cha karne
Wahaya wako wangapi mpaka wamzuie Magufuli kuwa RaisWahaya hawataki kuchagua shida
Kwaiyo una kubali bila kushurutishwa kuwa nyie ni Matanga!Sorry, nilitaka kuandika Magwanda. Its my mistake
Atupiditylissu ni laisi wa JAMII FOLAMU na si Rais wa JMT ASLAN
wewe angalia sikiliza afu subiria matokeoAlbadili au kitu gani?
Labda kwa sababu huyu alikuwa ni CCMHuyo lisu wenu anaingia mara ngapi hapa?
[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1576876
Duuu.....ngoja wajuvi waje.Albadili au kitu gani?
Ila jamani tuache masikhara, Wahaya wanapenda sana KUDINYANA aisee. Kwenye eneo hilo, Wahaya [emoji119][emoji119]. Najua mshkaji wangu Maxence Melo anaweza kuniadhibu ila Msema kweli ni Mpenzi wa Mungu, nami nimechagua kuwa Mpenzi wa Mungu
sasa hivi hakuna droneHuyo lisu wenu anaingia mara ngapi hapa?
[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1576876
Mhhhh Hilo tuliluzima Siku nyingi saaana,kaokoteze lingine*AIBU! ASKOFU KKKT APIGA MIMBA MBILI NJE YA NDOA*
on April 20, 2015
Joseph Ngilisho, Arusha
Aibu! Peace Sylvester (36), mkazi wa Kijenge Juu jijini hapa amefungua madai mazito kwenye Kituo Kikuu cha Polisi, Arusha kwa majadala mawili, AR/RB/4404/2015 KUTISHIA KUUA KWA MANENO na AR/RB/5290/2015 KUTELEKEZA FAMILIA dhidi ya Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Kagera, Benson Bagonza.
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Kagera, Benson Bagonza.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda jijini hapa katikati ya wiki iliyopita, Peace alidai Askofu Bagonza ni mzazi mwenzake kwa kuzaa naye watoto wawili, Piana Bagonza (6) na Bariki Bagonza (3) lakini akadai amemtelekeza hivyo kuwa na maisha magumu katika kuwalea watoto hao.
AANIKA HISTORIA NDEFU
Peace alisema alianza kufahamiana na askofu huyo mwaka 2006 mjini Karagwe, Kagera akiwa ni muumini wa kanisa hilo akimtumikia Mungu kwa kuimba kwaya ya kanisa.
Alisema katika kuonana mara kwa mara na askofu huyo ndipo uhusiano ukaanza lakini kwa makubaliano ya kutunza siri.
“Askofu aliniambia ana mke lakini ananipenda na anataka kuwa na uhusiano na mimi. Aliniahidi kunisaidia masuala mbalimbali iwapo nitamkubalia.“Baada ya muda niliamua kumkubalia, tukawa na uhusiano na tulikuwa tunakutana mara kwa mara. Ilipofika mwaka 2008 nikapata ujauzito wa mtoto wa kwanza,” alisema Peace.
AHAMIA ILEMELA, MWANZA
Mwanamke huyo aliendelea kudai kuwa, baada ya kupata ujauzito, askofu huyo aliamua kumhamishia Ilemela mkoani Mwanza na kumpangishia chumba ambapo mwaka 2009 alijifungua mtoto wa kike, Piana.
AHAMIA ARUSHA
Peace aliendelea kudai: “Mtoto wangu alipofikisha umri wa miaka miwili, yaani mwaka 2010, askofu alinihamishia hapa Arusha na kunipangia chumba eneo la Kijenge Juu na kunitafutia kazi kwenye Hoteli ya Safari (New Safari Hotel). Hii hoteli inamilikiwa na KKKT.” Alisema: “Askofu alikuwa akija hapa Kijenge kumsalimia mtoto na kumwachia matumizi mbalimbali huku akisisitiza kutunza siri zaidi.”
Peace anayedai kutelekezwa pamoja na watoto na Askofu Benson Bagonza.
ANASA MIMBA YA PILI
“Ilipofika mwaka 2011 nilipata ujauzito mwingine wa askofu ila cha kushangaza nilipomfahamisha aliniambia hataki kusikia taarifa hizo.“Niliweka msimamo wa kutotoa ujauzito na yeye akasitisha huduma mbalimbali ikiwemo fedha za malipo ya chumba alichonipangia.
“Alianza kunipigia simu na kunitisha kuniachisha kazi aliyonitafutia hotelini bila kupewa malipo yoyote. Alikuwa akinitumia watu mbalimbali kunitishia maisha. “Kutoka na hali hiyo nililazimika kumtafuta kiongozi mmoja wa ngazi ya juu kanisani na kumwambia jinsi askofu alivyonitelekeza kwa zaidi ya miaka minne bila kunihudumia nikiwa na watoto wake wawili.
“Hata hivyo, kiongozi huyo aliniambia atalishughulikia suala langu, lakini hadi sasa hakuna kinachoendelea na nikimkumbusha amekuwa akinijibu kwa ukali na kunikatia simu.”
WATOTO HAWAENDI SHULE
Peace alisema: “Kwa sasa naishi kwa shida na watoto. Hawaendi shule baada ya kukosa ada.”
Watoto anayedai kutelekezwa nao.
ASKOFU NA IJUMAA WIKIENDA
Akizungumza kwa simu na gazeti hili huku akihifadhiwa sauti, Askofu Bagonza alikiri kumtambua Peace kama mzazi mwenzake ila alisema si kweli kama hamtumii matumizi.“Mbona fedha huwa namtumia labda ameamua kunichafua tu. Hata juzi nimemtumia shilingi 250,000 iweje asema simhudumii?” alisema askofu huyo na kukata simu.
Kwa upande wake, Peace alipoulizwa kuhusu kutumiwa kiasi hicho cha fedha, alisema: “Fedha hizo nilizipokea kutoka kwa wakala wa M-Pesa baada ya jambo hilo kulifikisha kwenye vyombo vya dola (polisi).”Taarifa zilizolifikia gazeti hili wakati linakwenda mitamboni zilieleza kuwa mwanamke huyo ameitwa Karagwe kwenda kuongelea suala hilo.
ulitaka ampige mimba **** yako?*AIBU! ASKOFU KKKT APIGA MIMBA MBILI NJE YA NDOA*
on April 20, 2015
Joseph Ngilisho, Arusha
Aibu! Peace Sylvester (36), mkazi wa Kijenge Juu jijini hapa amefungua madai mazito kwenye Kituo Kikuu cha Polisi, Arusha kwa majadala mawili, AR/RB/4404/2015 KUTISHIA KUUA KWA MANENO na AR/RB/5290/2015 KUTELEKEZA FAMILIA dhidi ya Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Kagera, Benson Bagonza.
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Kagera, Benson Bagonza.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda jijini hapa katikati ya wiki iliyopita, Peace alidai Askofu Bagonza ni mzazi mwenzake kwa kuzaa naye watoto wawili, Piana Bagonza (6) na Bariki Bagonza (3) lakini akadai amemtelekeza hivyo kuwa na maisha magumu katika kuwalea watoto hao.
AANIKA HISTORIA NDEFU
Peace alisema alianza kufahamiana na askofu huyo mwaka 2006 mjini Karagwe, Kagera akiwa ni muumini wa kanisa hilo akimtumikia Mungu kwa kuimba kwaya ya kanisa.
Alisema katika kuonana mara kwa mara na askofu huyo ndipo uhusiano ukaanza lakini kwa makubaliano ya kutunza siri.
“Askofu aliniambia ana mke lakini ananipenda na anataka kuwa na uhusiano na mimi. Aliniahidi kunisaidia masuala mbalimbali iwapo nitamkubalia.“Baada ya muda niliamua kumkubalia, tukawa na uhusiano na tulikuwa tunakutana mara kwa mara. Ilipofika mwaka 2008 nikapata ujauzito wa mtoto wa kwanza,” alisema Peace.
AHAMIA ILEMELA, MWANZA
Mwanamke huyo aliendelea kudai kuwa, baada ya kupata ujauzito, askofu huyo aliamua kumhamishia Ilemela mkoani Mwanza na kumpangishia chumba ambapo mwaka 2009 alijifungua mtoto wa kike, Piana.
AHAMIA ARUSHA
Peace aliendelea kudai: “Mtoto wangu alipofikisha umri wa miaka miwili, yaani mwaka 2010, askofu alinihamishia hapa Arusha na kunipangia chumba eneo la Kijenge Juu na kunitafutia kazi kwenye Hoteli ya Safari (New Safari Hotel). Hii hoteli inamilikiwa na KKKT.” Alisema: “Askofu alikuwa akija hapa Kijenge kumsalimia mtoto na kumwachia matumizi mbalimbali huku akisisitiza kutunza siri zaidi.”
Peace anayedai kutelekezwa pamoja na watoto na Askofu Benson Bagonza.
ANASA MIMBA YA PILI
“Ilipofika mwaka 2011 nilipata ujauzito mwingine wa askofu ila cha kushangaza nilipomfahamisha aliniambia hataki kusikia taarifa hizo.“Niliweka msimamo wa kutotoa ujauzito na yeye akasitisha huduma mbalimbali ikiwemo fedha za malipo ya chumba alichonipangia.
“Alianza kunipigia simu na kunitisha kuniachisha kazi aliyonitafutia hotelini bila kupewa malipo yoyote. Alikuwa akinitumia watu mbalimbali kunitishia maisha. “Kutoka na hali hiyo nililazimika kumtafuta kiongozi mmoja wa ngazi ya juu kanisani na kumwambia jinsi askofu alivyonitelekeza kwa zaidi ya miaka minne bila kunihudumia nikiwa na watoto wake wawili.
“Hata hivyo, kiongozi huyo aliniambia atalishughulikia suala langu, lakini hadi sasa hakuna kinachoendelea na nikimkumbusha amekuwa akinijibu kwa ukali na kunikatia simu.”
WATOTO HAWAENDI SHULE
Peace alisema: “Kwa sasa naishi kwa shida na watoto. Hawaendi shule baada ya kukosa ada.”
Watoto anayedai kutelekezwa nao.
ASKOFU NA IJUMAA WIKIENDA
Akizungumza kwa simu na gazeti hili huku akihifadhiwa sauti, Askofu Bagonza alikiri kumtambua Peace kama mzazi mwenzake ila alisema si kweli kama hamtumii matumizi.“Mbona fedha huwa namtumia labda ameamua kunichafua tu. Hata juzi nimemtumia shilingi 250,000 iweje asema simhudumii?” alisema askofu huyo na kukata simu.
Kwa upande wake, Peace alipoulizwa kuhusu kutumiwa kiasi hicho cha fedha, alisema: “Fedha hizo nilizipokea kutoka kwa wakala wa M-Pesa baada ya jambo hilo kulifikisha kwenye vyombo vya dola (polisi).”Taarifa zilizolifikia gazeti hili wakati linakwenda mitamboni zilieleza kuwa mwanamke huyo ameitwa Karagwe kwenda kuongelea suala hilo.
Endeleeni kuleta picha za 2015 mnadhani zinasaidia Magufuli 2020- 2025Aiseeeeee!
Ninachokiona hapo ni "mahaba" yaliyopindukia.
Huo umati si mchezo kwa kweli.
Nimeona clip ya JPM akiwa Tabora leo asubuhi hii,amepaniki balaa.
Yule mzee napendekeza kama anapenda kuendelea kuwa hai,ajitoe tuu kwenye kampeni au asifuatilie kabisa kampeni za Mh. Lissu.
Nimemsikia akisema ilani ya CHADEMA imeandikwa kuwa madini na yatawekwa dhamana,maliasili zetu zitawekwa dhamana na mwisho wa siku hata sisi tunaweza kuwekwa dhamana.
Kweli baba wa uongo ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu dada ni smart kichwani, naamini atafanya vizuri.Sasa hivi yuko Anatropia Theopist naamini atashinda
Mafarakano gani mkuu?Hacha us.... ngerema wewe, husilete mifarakano mda huu, cha msingi ni support kwa TAL