Kagoda: Ni Rostam

Kagoda: Ni Rostam

Field Marshall mbona umepiga kichwani ndugu yangu? Duuh... mimi simo humo, kazi kwao Kagoda
 
Hongera sana Bwn. Mahingila, usikubali kuchinjiwa baharini, it is a time to save your skin. Sema ukweli wa kilichotokea maana mtandao wa mafisadi umezidi kuudanganya umma wa wanyonge wa kitanzania. Bwn. Mahingila kumbuka kuwa wananchi wana taarifa za ukweli kuhusu Kagoda, ukidanganya UMEKWISHA.
 
Sidhani kama ni kweli Dr. Chami aliwasiliana na Brela kabla hajkaropoka utumbo wake mbele ya vyombo vya habari, hii ni kawaida ya viongozi wetu, hawapo makini kabisa. Naimani yeye ni miongoni mwa wale wote waliolishwa kale kanyama ka ufisadi. Akichunguzwa vizuri huyu nina hakika naye atakutwa na harufu ya mtandao wa mafisadi. Mtu makini hawezi kuropoka hivyo, kwa kusema hivyo anataka kutuambia kuwa huo ndio mwisho wa kuwachunguza mafisadi wa Kagoda? Mukirogwa kufanya hivyo basi zogo hili litahamia CCM, na kiboko chake kitapigwa ktk uchaguzi ujao
 
Nina mshangaa sana Waziri Chami kwa kauli yake hiyo. Hivi Dr. Chami unaweza kutuambia ni nani anayerudisha hela zilizoibwa na Kagoda? Inakuwaje unamjua mtu anayerudisha lakini eti humjui mtu aliyechukua? Please Dr. Chami, be serious kidogo na kazi yako. Ni afadhali ukae kimya ktk suala hili kuliko kukurupuka na kusema hovyo, wewe ni Dr, tena nasikia wa uchumi, Taifa linakutegemea, lakini sio kwa kulidanganya namna hii.
 
FM ES hongera sana kwa kumpa kipande chake huyu kiumbe anayeitwa Daktari Chami, mwenye dhamana ktk Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko. Huu sio wakati wa kudanganyana tena. Kwa taarifa yako Dr. Chami, kuna watu mitaani wana faili la Kagoda, wanasubiri wakati muafaka ufike walibandike ktk vyombo vya habari, sijui utaingia choo gani ndugu yangu.
 
Hakuna namna yotote BRELA wanaweza kujitoa kwenye hii issue... hawawezi kuachia original copy ya faili kwenda PCCB... huo ni uzembe mkubwa sana... walitakuwa angalau kuwapa copy ya file.
 
Kwa wale marafiki wa Dr. Chami, naomba mukamuulize maswali yafuatayo:
1. Je anakubali kuwa Kagoda iliiba hela za EPA?
2. Anakubali kuwa Kagoda imerudisha kiasi cha hela ilizochukua kutoka akaunti ya EPA?
3. Je ni nani anayelipa hela hizo za Kagoda?
4. Anazilipa kwa misingi ipi?
5. Anayelipa hela hizo ni yule mmiliki wa Kagoda kama anavyosomeka ktk mafaili ya Brela?
6. Je anaipenda nchi Tanzania?
7. Anaipenda kazi yake, kuanzia Ubunge hadi uwaziri?
8. Je anajua kuwa cheo ni dhamana aliyopewa na watanzania kupitia Rais wa nchi?
9. Je anajua kuwa wananchi wana haki na nguvu ya kudai HAKI yao? na hasa pale wanapoona inachezewa kama karata tatu?

Sitayahitaji majibu ya maswali yangu machache hayo, lakini kwa mtu mwenye akili timamu ataelewa nina maana gani.
 
Brela hawana nguvu ya kuzuia PCCB kuchukua original files za kampuni yeyote. Moja ya meno waliyoomba PCCB yawekwe ktk sheria yao ni pamoja na kuwa na nguvu ya namna hiyo, hivyo basi, kisheria Brela hawakupaswa kuwanyima. Nadhani hapa tuwaulize PCCB wanafanya nini na file hilo mpaka leo?
 
Kasheshe, katika hili mimi nawatetea na kuwapa hongera Brela kwanza hawana mabavu ya kuwazuia PCCB kuchukua faili lolote wanalolihitaji toka Brela, na pili, Brela wamechukua ujasiri mkubwa sana wa kwenda kukanusha hadharani taarifa iliyotolewa na Dr. Chami. Mimi nalia na huyu Dr. Chami, kwanini anaudanganya umma wa watanzania? Anafanya hivyo kwa maslahi ya nani?
 
BUSARA ZA OBAMA (soma chini) ZINAAPPLY DIRECT KWA NCHI CHANGA KAMA YETU, TENA KWA MISINGI TULIOWEKEWA NA WAASISI WETU. We the people of Tanzania, will sail through these abuses we are witnessing. There is a Leader in Obama, and he is the one. For Tanzania, and Africa, the people, will get there. The Leader for now is in you. You are the leader and keep doing what you can do, and one day, just one day, we will have a flag carrier like Obama and you will remember the moments you got fed up with MAFISADI and vitisho and Uvunjaji wa taratibu za utawala wa sheria.

God bless Tanzania.

(CNN) -- Barack Obama was sworn in as the 44th president of the United States and the nation's first African-American president Tuesday. This is a transcript of his prepared speech.
In his speech Tuesday, President Obama said America must play its role in ushering in a new era of peace.

In his speech Tuesday, President Obama said America must play its role in ushering in a new era of peace.
Click to view previous image
1 of 2
Click to view next image

My fellow citizens:

I stand here today humbled by the task before us, grateful for the trust you have bestowed, mindful of the sacrifices borne by our ancestors. I thank President Bush for his service to our nation, as well as the generosity and cooperation he has shown throughout this transition.

Forty-four Americans have now taken the presidential oath. The words have been spoken during rising tides of prosperity and the still waters of peace. Yet, every so often, the oath is taken amidst gathering clouds and raging storms. At these moments, America has carried on not simply because of the skill or vision of those in high office, but because We the People have remained faithful to the ideals of our forebearers, and true to our founding documents.

So it has been. So it must be with this generation of Americans.

That we are in the midst of crisis is now well understood. Our nation is at war, against a far-reaching network of violence and hatred. Our economy is badly weakened, a consequence of greed and irresponsibility on the part of some, but also our collective failure to make hard choices and prepare the nation for a new age. Homes have been lost; jobs shed; businesses shuttered. Our health care is too costly; our schools fail too many; and each day brings further evidence that the ways we use energy strengthen our adversaries and threaten our planet. Video Watch the full inauguration speech »

These are the indicators of crisis, subject to data and statistics. Less measurable but no less profound is a sapping of confidence across our land -- a nagging fear that America's decline is inevitable, and that the next generation must lower its sights.
Watch with CNN
Watch the historic inauguration of Barack Obama with CNN and the best political team on TV
Live coverage all day
see full schedule »

Today I say to you that the challenges we face are real. They are serious and they are many. They will not be met easily or in a short span of time. But know this, America: They will be met.

On this day, we gather because we have chosen hope over fear, unity of purpose over conflict and discord.

On this day, we come to proclaim an end to the petty grievances and false promises, the recriminations and worn-out dogmas, that for far too long have strangled our politics.

We remain a young nation, but in the words of Scripture, the time has come to set aside childish things. The time has come to reaffirm our enduring spirit; to choose our better history; to carry forward that precious gift, that noble idea, passed on from generation to generation: the God-given promise that all are equal, all are free, and all deserve a chance to pursue their full measure of happiness.

In reaffirming the greatness of our nation, we understand that greatness is never a given. It must be earned. Our journey has never been one of shortcuts or settling for less. It has not been the path for the fainthearted -- for those who prefer leisure over work, or seek only the pleasures of riches and fame. Rather, it has been the risk-takers, the doers, the makers of things -- some celebrated, but more often men and women obscure in their labor -- who have carried us up the long, rugged path toward prosperity and freedom.

For us, they packed up their few worldly possessions and traveled across oceans in search of a new life.

For us, they toiled in sweatshops and settled the West; endured the lash of the whip and plowed the hard earth.
Don't Miss

* Obama's speech: How did he do?
* Obama: Challenges real, but 'they will be met'
* Video coverage of Obama's inauguration
* Obama's speech: Sober with dose of hope

For us, they fought and died, in places like Concord and Gettysburg; Normandy and Khe Sahn.

Time and again, these men and women struggled and sacrificed and worked till their hands were raw so that we might live a better life. They saw America as bigger than the sum of our individual ambitions; greater than all the differences of birth or wealth or faction.

This is the journey we continue today. We remain the most prosperous, powerful nation on Earth. Our workers are no less productive than when this crisis began. Our minds are no less inventive, our goods and services no less needed than they were last week or last month or last year. Our capacity remains undiminished. But our time of standing pat, of protecting narrow interests and putting off unpleasant decisions -- that time has surely passed. Starting today, we must pick ourselves up, dust ourselves off, and begin again the work of remaking America.

For everywhere we look, there is work to be done. The state of the economy calls for action, bold and swift, and we will act -- not only to create new jobs, but to lay a new foundation for growth. We will build the roads and bridges, the electric grids and digital lines that feed our commerce and bind us together. We will restore science to its rightful place, and wield technology's wonders to raise health care's quality and lower its cost. We will harness the sun and the winds and the soil to fuel our cars and run our factories. And we will transform our schools and colleges and universities to meet the demands of a new age. All this we can do. And all this we will do.

Now, there are some who question the scale of our ambitions -- who suggest that our system cannot tolerate too many big plans. Their memories are short. For they have forgotten what this country has already done; what free men and women can achieve when imagination is joined to common purpose, and necessity to courage.

What the cynics fail to understand is that the ground has shifted beneath them -- that the stale political arguments that have consumed us for so long no longer apply. The question we ask today is not whether our government is too big or too small, but whether it works -- whether it helps families find jobs at a decent wage, care they can afford, a retirement that is dignified. Where the answer is yes, we intend to move forward. Where the answer is no, programs will end. And those of us who manage the public's dollars will be held to account -- to spend wisely, reform bad habits, and do our business in the light of day -- because only then can we restore the vital trust between a people and their government.

Nor is the question before us whether the market is a force for good or ill. Its power to generate wealth and expand freedom is unmatched, but this crisis has reminded us that without a watchful eye, the market can spin out of control -- and that a nation cannot prosper long when it favors only the prosperous. The success of our economy has always depended not just on the size of our gross domestic product, but on the reach of our prosperity; on our ability to extend opportunity to every willing heart -- not out of charity, but because it is the surest route to our common good.

As for our common defense, we reject as false the choice between our safety and our ideals. Our Founding Fathers, faced with perils we can scarcely imagine, drafted a charter to assure the rule of law and the rights of man, a charter expanded by the blood of generations. Those ideals still light the world, and we will not give them up for expedience's sake. And so to all other peoples and governments who are watching today, from the grandest capitals to the small village where my father was born: Know that America is a friend of each nation and every man, woman and child who seeks a future of peace and dignity, and that we are ready to lead once more.

Recall that earlier generations faced down fascism and communism not just with missiles and tanks, but with sturdy alliances and enduring convictions. They understood that our power alone cannot protect us, nor does it entitle us to do as we please. Instead, they knew that our power grows through its prudent use; our security emanates from the justness of our cause, the force of our example, the tempering qualities of humility and restraint.

We are the keepers of this legacy. Guided by these principles once more, we can meet those new threats that demand even greater effort -- even greater cooperation and understanding between nations. We will begin to responsibly leave Iraq to its people, and forge a hard-earned peace in Afghanistan. With old friends and former foes, we will work tirelessly to lessen the nuclear threat, and roll back the specter of a warming planet. We will not apologize for our way of life, nor will we waver in its defense, and for those who seek to advance their aims by inducing terror and slaughtering innocents, we say to you now that our spirit is stronger and cannot be broken; you cannot outlast us, and we will defeat you.

For we know that our patchwork heritage is a strength, not a weakness. We are a nation of Christians and Muslims, Jews and Hindus -- and nonbelievers. We are shaped by every language and culture, drawn from every end of this Earth; and because we have tasted the bitter swill of civil war and segregation, and emerged from that dark chapter stronger and more united, we cannot help but believe that the old hatreds shall someday pass; that the lines of tribe shall soon dissolve; that as the world grows smaller, our common humanity shall reveal itself; and that America must play its role in ushering in a new era of peace.

To the Muslim world, we seek a new way forward, based on mutual interest and mutual respect. To those leaders around the globe who seek to sow conflict, or blame their society's ills on the West: Know that your people will judge you on what you can build, not what you destroy. To those who cling to power through corruption and deceit and the silencing of dissent, know that you are on the wrong side of history; but that we will extend a hand if you are willing to unclench your fist.

To the people of poor nations, we pledge to work alongside you to make your farms flourish and let clean waters flow; to nourish starved bodies and feed hungry minds. And to those nations like ours that enjoy relative plenty, we say we can no longer afford indifference to suffering outside our borders; nor can we consume the world's resources without regard to effect. For the world has changed, and we must change with it.

As we consider the road that unfolds before us, we remember with humble gratitude those brave Americans who, at this very hour, patrol far-off deserts and distant mountains. They have something to tell us today, just as the fallen heroes who lie in Arlington whisper through the ages. We honor them not only because they are guardians of our liberty, but because they embody the spirit of service; a willingness to find meaning in something greater than themselves. And yet, at this moment -- a moment that will define a generation -- it is precisely this spirit that must inhabit us all.

For as much as government can do and must do, it is ultimately the faith and determination of the American people upon which this nation relies. It is the kindness to take in a stranger when the levees break, the selflessness of workers who would rather cut their hours than see a friend lose their job which sees us through our darkest hours. It is the firefighter's courage to storm a stairway filled with smoke, but also a parent's willingness to nurture a child, that finally decides our fate.

Our challenges may be new. The instruments with which we meet them may be new. But those values upon which our success depends -- hard work and honesty, courage and fair play, tolerance and curiosity, loyalty and patriotism -- these things are old. These things are true. They have been the quiet force of progress throughout our history. What is demanded then is a return to these truths. What is required of us now is a new era of responsibility -- a recognition, on the part of every American, that we have duties to ourselves, our nation and the world; duties that we do not grudgingly accept but rather seize gladly, firm in the knowledge that there is nothing so satisfying to the spirit, so defining of our character, than giving our all to a difficult task.

This is the price and the promise of citizenship.

This is the source of our confidence -- the knowledge that God calls on us to shape an uncertain destiny.

This is the meaning of our liberty and our creed -- why men and women and children of every race and every faith can join in celebration across this magnificent Mall, and why a man whose father less than 60 years ago might not have been served at a local restaurant can now stand before you to take a most sacred oath.

So let us mark this day with remembrance, of who we are and how far we have traveled. In the year of America's birth, in the coldest of months, a small band of patriots huddled by dying campfires on the shores of an icy river. The capital was abandoned. The enemy was advancing. The snow was stained with blood. At a moment when the outcome of our revolution was most in doubt, the father of our nation ordered these words be read to the people:
advertisement

"Let it be told to the future world ... that in the depth of winter, when nothing but hope and virtue could survive... that the city and the country, alarmed at one common danger, came forth to meet [it]."

America. In the face of our common dangers, in this winter of our hardship, let us remember these timeless words. With hope and virtue, let us brave once more the icy currents, and endure what storms may come. Let it be said by our children's children that when we were tested, we refused to let this journey end, that we did not turn back, nor did we falter; and with eyes fixed on the horizon and God's grace upon us, we carried forth that great gift of freedom and delivered it safely to future generations
 
I believe even any citizens can sue them!

Watu wa sheria watupe shule za upesi otherwise we can get the details za uhakika kwa kutafuta nyaraka. I say, the whole chain where items disappears and can be proven they have disappeared, then action can take place.

This issues is not yet done deal, just as we said when they bought RADAR, contracted with RICHMOND etc

It is the people who can talk and make the difference. They will talk.
 
Wakulu heshima Mbele,
Watu kila siku tumekuwa tukipiga kelele sana hapa Jamvini tukitaka kuwajua wamiliki wa kagoda.Tumekuwa tukiwahusisha watu na CHama cha Mapinduzi kwa hili na wengi tukihisi mambo mengi sana.

Jana Msajili wa Kampuni wa BRELA kaweka wazi wamiliki ni Bwna aJohn na Francis.Na Dr. Slaa alisema wamiliki wa Kagoda ni viongozi Flani wa CCM,zitto anasema zilitumika katika kampeni za CCM mwaka 2005.Sasa nani anatudanganya hapa?

Kuna mtu ana wasifu wa watu hawa,

Je ni kina nani na wanafanya shughuli zipi?
Je ni wanachama wa chama chochote?
Je wana undugu na Kiongozi yeyote?
Je wana historia ya Ufisadi?
Je wako hai?
Je wanaweza kutishia usalama wa Nchi?
Je wana nguvu gani mpaka wasikamatwe mpaka sasa?
Je hawa ni wadhamini wa Kampeni za CCM?

Hao ndiyo wamiliki walioko BRELA,Hivyo Kagoda siyo mali ya CCM na CCM haihusiki?Kwa sasa naamini hivyo mpaka pale nitakapoambiwa wasifu wa hawa watu
 
Wakulu heshima Mbele,
Watu kila siku tumekuwa tukipiga kelele sana hapa Jamvini tukitaka kuwajua wamiliki wa kagoda.Tumekuwa tukiwahusisha watu na CHama cha Mapinduzi kwa hili na wengi tukihisi mambo mengi sana.

Jana Msajili wa Kampuni wa BRELA kaweka wazi wamiliki ni Bwna aJohn na Francis.Na Dr. Slaa alisema wamiliki wa Kagoda ni viongozi Flani wa CCM,zitto anasema zilitumika katika kampeni za CCM mwaka 2005.Sasa nani anatudanganya hapa?

Kuna mtu ana wasifu wa watu hawa,

Je ni kina nani na wanafanya shughuli zipi?
Je ni wanachama wa chama chochote?
Je wana undugu na Kiongozi yeyote?
Je wana historia ya Ufisadi?
Je wako hai?
Je wanaweza kutishia usalama wa Nchi?
Je wana nguvu gani mpaka wasikamatwe mpaka sasa?
Je hawa ni wadhamini wa Kampeni za CCM?

Hao ndiyo wamiliki walioko BRELA,Hivyo Kagoda siyo mali ya CCM na CCM haihusiki?Kwa sasa naamini hivyo mpaka pale nitakapoambiwa wasifu wa hawa watu

SITASHANGAA KUSIKIA KUWA BADO UNAAMINI SAKATA LA RICHMOND HALIKUGUBIKWA NA RUSHWA. (kwa vile TAKUKURU walisema)
KALABAGAO NA .......
 
Hawa nimewahi kusikia walikuwa wafanyakazi wa Caspian Ltd. kampuni ya Rostam, mwenye habari zaidi anaweza kututhibitishia.

Ila tusijeshangaa mwisho wa siku ikaonekana hamna watu kama hao nchi hii, na kwmba hayo majina ni feki. Maana kwa utaratibu wa zamani Brela directors waalikuwa hawatoi copies ya passport zao au vitambulisho kama ilivyo sasa!
 
Ze Komedi, hatimaye wamekubaliana kuwapeleka mbuzi wa kafara mahakamani na wakina Rostam na Apson Mwang'onda kutamba uraiani. Ama kweli Mkapa bado ana ubavu, Kikwete ameshindwa kujitoa kafara! Sasa jitihada za kuwataja zinakuwa kubwa kweli zikifuatiwa na kelele za mahakamani. Chami na Chikawe walitumwa kupima maji na ku-divert attention, BRELA wamesawazisha. Sasa tatu, tatu!

PM
 
Mimi nadhani Wamiliki wa Kagoda wenye majina hayo ni fictitios names na address ni fictitios location. Box number na simu ni za RA. Kwa vile they dont exist hivyo there is no one wa kumfikisha mahakamani.

Utaratibu wa malipo wa BOT ni ikipeleka madai, unaweka na account number yako. Wao BOT ndio wanadeposit malipo yako kwenye accounts ulizowapa kwenye hati yako ya madai.

Hata kama Kagoda ni kampuni dhana, lakini pesa hazijaingizwa kwenye account dhana, zimeingizwa kwenye accounts za ukweli na zinajulikana na watu hao wote wanajulikana. Kwa mujibu sheria ya mwenendo wa kesi za jinai/madai, third part benefisharies hawahusiki na lolote lililofanywa na fast part.

Hii maana yake, mtu akiiba hela, fast part akaziweka kwenye account yake (second part). Akishazihamisha toka account yake na kumpa baba yake ama akanunuia latest mercedes benz pale DT Dobbie (third part). Dt Dobbie haina hatia kumuuzia ile benzi wala haitatakiwa kuzirudisha zile fedha hata kama zilikuwa ni za wizi, sambamba na baba aliyetumiwa zile fedha na akazitumia kwa kilimo ama shughull zake zozote hana hatia.

Hiyo ndio deal iliyochezwa naa Kagoda fedha zililipwa accounts fulani na siku hyo hiyo zilihamishwa in cash na kudepozitiwa accuonts nyingine za third parties ambazo ni safe na kuanza kutafunwa.

Ili kuzuia nchezo kama huo, deal chafu bongo kwa sasa mwisho ni milioni 9,999.99. Ikifika milioni kumi, lazima ipitie kwenye mlolongo mrefu wa cheks and balances kuthibitisha ni fedha safi.

Kuna mtu aliwahi kupitishia cheki yake ya millioni kadhaa kwenye account yangu. Pesa iliingia safi na kiulaini, nilipotaka kuichukua yote mlolongo ulifuata na mpaka kutakiwa kuwasilisha makaratasi ya uthibitisho hiyo pesa ilitoka wapi na ni malipo ya nini. Ofisa mmoja wa benki rafiki yangu akaninongoneza kuwa BOT imeamuru benki zote nchini zisipokee cheki yoyote ya zaidi ya milioni 10 na kulipa mpaka jamaa wa kitengo maalum BOT wathibitishe pesa imetoka wapi na ni malipo ya nini, eti asije kuwa Osama anapenyeza rupia!.
 
....polot no 87 kipawa iliyoelezwa kama makao makuu ya kagoda na faili kupotea kwa amri ya rais[ref mwananchi ya leo]...ni mali ya CASPIAN CONSTRUCTION....na sasa hivi ofisi yao imehamia pale kutokea MIRAMBO 10
 
'Ikulu ilichukua faili la Kagoda'

Afisa Mtendaji mkuu wa Wakala wa Serikali wa Usajili wa Kampuni (Blera) Esteriano Mahigila akifafanua jambo kuhusu kadoga habari kamili soma pembeni
Leon Bahati

WAKALA wa serikali wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) jana ulifafanua utata wa faili la usajili wa kampuni ya Kagoda Agriculture Ltd, ukisema kuwa halikuwepo kwenye ofisi hizo kwa muda mrefu kutokana na maagizo ya rais.

Kampuni hiyo, ambayo umiliki wake umekuwa gumzo, inadaiwa kuchota Sh40 bilioni kutoka katika Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA), lakini hadi sasa wamiliki wake hawajafikishwa mahakamani kama ilivyo kwa watu wengine 21 waliopandishwa kizimbani kujibu tuhuma za kuiba jumla ya Sh133 bilioni kwenye akaunti hiyo.

Waandishi wa habari wamekuwa wakifuatilia mintaarafu ya kampuni hiyo kwenye ofisi za Brela bila ya mafanikio na hivi karibuni kuliibuka habari kuwa faili la kampuni hiyo limetoweka Brela, hali iliyozua wasiwasi kuwa huenda sakata la Kagoda litazimwa.

Lakini jana, msajili wa makampuni, Esteriano Mahingila aliwaambia waandishi wa habari akisema: "Nataka niwaambie kuwa nyaraka za Kagoda zipo. Kama kuna mtu anahitaji kuziona anaweza kuzipata, hata kama anataka kupiga 'photokopi' (kudurufu) faili zima, hakuna siri yoyote katika usajili wa kampuni."

Hata hivyo, Mahingila alisema kwa muda mrefu faili la Kagoda limekuwa halipo kwenye ofisi za Brela kwa sababu lilichukuliwa chini ya maagizo ya Rais Jakaya Kikwete tangu kampuni hiyo ilipohusishwa kwenye ufisadi wa EPA.

Alisema kuwa faili hilo pamoja na mengine ya kampuni zilizotajwa kwenye kashfa ya EPA, yalichukuliwa na kamati iliyoundwa na Rais Jakaya Kikwete wakati wa harakati za kushughulikia tuhuma za wizi wa EPA.

Mahingila pia alitangaza wamiliki wa kampuni hiyo akiwataja kuwa ni Francis William, ambaye alisema anamiliki asilimia 60 ya hisa na Johnson Kyomhando, ambaye anamiliki asilimia 40.

Majina ya watu hao yamekuwa yakiripotiwa na vyombo vya habari, lakini upatikanaji wa wamiliki hao umekuwa ni mgumu, kiasi cha kubashiriwa kuwa hakuna watu wanaotumia majina hayo.

Kwa mujibu wa taarifa kadhaa za uchunguzi zilizoripotiwa na vyombo vya habari, mawasiliano yaliyo kwenye nyaraka za usajili wa kampuni hiyo yanaonekana kuwa ni ya kampuni za wafanyabiashara maarufu.

Kuhusu taarifa za kupotea kwa faili la usajili wa Kagoda, Mahingila alisema kuwa kuwa mpangilio wa kuhifadhi kumbukumbu za kampuni katika ofisi ya Brela hufanywa kwa njia ambayo hata kama faili likipotea, taarifa zote zinaweza kupatikana kwenye daftari la msajili bila wasiwasi wowote.

"Nashangaa hawa watu walioandika hivi bila kuja kuniona. Taarifa za kampuni hatuziweki tu kwenye faili, bali zinaweza kupatikana pia kwenye daftari la registrar (msajili)," alifafanua Mahingila kwenye mkutano huo uliofanyika kwenye ukumbi wa Idara ya Habari (Maelezo).

Taarifa kuhusu kumbukumbu za Kagoda zimekuwa ni gumzo kubwa kwenye vyombo vya habari kwa muda mrefu hasa baada ya kutajwa kwenye orodha ya kampuni zilizochota mabilioni ya fedha za EPA.

Baadhi ya vyama vya siasa vya upinzani mara kadhaa vimeitaja kampuni hiyo ya Kagoda kuwa ilitumiwa na CCM kuchota fedha kwa ajili ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwaka 2005.

Hata hivyo, katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM- Itikadi na Uenezi,- John Chiligati alikanusha habari hizo, akisema kwamba chama chake hakihusiki na wala hakina uhusiano na kampuni hiyo.

Mahingila aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa anashangaa kusikia kuwa upatikanaji wa taarifa za Kagoda umekuwa ni mgumu, akisema hakuna mwandishi yeyote aliyewahi kumfuata ofisini na kumtaka aone faili ili kujua wahusika.

"Mtu yeote anaweza kuona kumbukumbu zote za mafaili kwa kulipia Sh1,500 tu na kwa waandishi wa habari, hii ni bure, hawatahitaji kulipa chochote," alibainisha Mahingila.

Alisema Kyomuhendo na William walijitambulisha kwenye kumbukumbu za usajili kuwa wanapatikana katika kitalu namba 87, eneo la viwanda Kipawa, wilayani Temeke.

Kwa mujibu wa taarifa zilizolifikia Mwananchi zinaonyesha kuwa Kagoda ilisajiliwa Septemba 29, 2005, siku moja baada ya kuomba usajili na baada ya mwezi mmoja, BoT ikaanza kuidhinisha sehemu ya malipo yaliyochotwa EPA.
Source:Mwananchi
 
wakuu lakini mnakumbuka viongozi wetu waliwahi kutwambia kuwa kufikishwa mahakamni baadhi ya watu ni kutatikisa nchi kwani hao watu ni wan fedha nyingi na ni wapo powerfull sasa jee tupo tayari kulikabili hilo
 
Back
Top Bottom