Uchaguzi 2020 Kahama: Polisi wapiga mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi waliojaa nje ya hotel aliyofikia Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Kahama: Polisi wapiga mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi waliojaa nje ya hotel aliyofikia Tundu Lissu

Ndiyo , kwa sababu CCM wanajua utamu wa madaraka . Utajiri wote unaoonekana Tanzania una mikono ya makada wa CCM.

Ukiona mashule ya Private ,mahospitali ya Private, Mabasi ,Malori, Mahoteli,viwanda, mashamba makubwa, Majengo kule Kisutu na Upanga ,matenda makubwa , Ajira kule Hazina n.k.
Watawala ndani ya Serali zote za CCM ndio wanaonufaika na kodi zote za watanzania. Kwao suala la pesa sio tatizo tena wanataka sasa kurithisha vizazi vyao Mali na madaraka milele na milele.

Ni jukumu la wagombea wa upinzani kujua kuwa Ubunge,udiwani na hata urais ni ajira muhimu inayopaswa kupiganiwa mana walioishika wanajua utamu wake na hawapo tayari kupokonywa.
CCM watawahonga mawakala na kuwatisha sana.
Na kwa sababu wapinzani wengi hawajawahi kushika madaraka wakihongwa hata mil. 10 wanaachia nafasi kumbe ni vijisenti wenzao wanavyovipata kama Chenji kwenye madaraka.

Haki inalindwa mana wanazulumu huwa wananufaika na dhulma zao na familia zao zinaishi maisha ya raha mustarehe mana mbaya zaidi kuna MTU mmoja mwenye madaraka makubwa kuliko Mungu hapa duniani anaweza kumlinda MTU yeyote popote na hakuna wa kumzuia wala kumhoji alimradi tu anakalia madaraka .

Ni jambo jema sana mwaka huu CCM itolewe au wabunge wake watolewe kwa namna ambayo haijawahi kutokea ili nchi hii iwe na watu wenye usawa na wenye kuheshimiana kuthaminiana bila kubaguana .
Nakumbuka kipindi Mbowe ameomba maridhiano akiwa Mwanza niliandika humu kuwa haki haiombwi, inachukuliwa.
 
Kufika 28 watu watakuwa wamezoea milio ya mabomu na marisasi.
 
..WHY?

..Hao watu usiku ukizidi kuingia wataondoka wenyewe.

..Polisi wetu hawana akili kabisa.
Hiyo hoteli Ni sehemu ya biashara mteja sio Lisu peke yake what about others wanaotaka Kuingia kwenye huyo hoteli? Vipi usalama wa hoteli yenyewe na Mali zake vipi usalama na privacy ya wageni wengine
Hoteli Zina mambo mengi

Hoteli mikoa mingine kataeni kumpa malazi Lisu mwacheni alale kwenye magari atawaharibia biashara

Mteja gani atataka Kuingia hoteli iliyozingirwa na watu .Mtu hata hawezi toka abarizi nje sababu Kuna watu wameizingira

Polisi walikuwa sahihi kuwatawanya kwa maslahi na usalama wa hoteli Mali zake na wateja wengine
 
Kwani wanaleta fujo gani mbona moshi hapo walikuwepo usiku wakamsindikiza hadi hotelini usiku wanaondoka hakuna mtu alipigwa mabomu huko kuhama wana jeshi lao au. Hao polisi ndo wanachamgia kujenga chuki katika nchi yetu sijui wanataka machafuko ili iweje. Hawa ndiyo wa kupelekwa The Hague
Watu wema unawajua kwa kuwatuzama usoni tu .Mikutano ya siasa mwisho saa 12 huko hotelini walufuata Nini usiku? Lisu akiuawa nao si mtasingizia polisi hawKutoa ulinzi na usalama wakutosha?

Lisu na Chadema toeni ushirikina kwa Vyombo si wore wanaoweza mzunguka mtu wenu nyakati za usiku hivyo Ni watu wema likitokea la kutokea msije laumu polisi mnayataka wenyewe
Ashukuru huko Yuko mikoani ingekuwa are vibaka wangepora hiyo hoteli ingebaki tupu haina hata magodoro na wateja wangeporwa kila kitu
 
Watu wema unawajua kwa kuwatuzama usoni tu .Mikutano ya siasa mwisho saa 12 huko hotelini walufuata Nini usiku? Lisu akiuawa nao si mtasingizia polisi hawKutoa ulinzi na usalama wakutosha? Lisu na Chadema toeni ushirikina kwa Vyombo si wore wanaoweza mzunguka mtu wenu nyakati za usiku hivyo Ni watu wema likitokea la kutokea msije laumu polisi mnayataka wenyewe
Ashukuru huko Yuko mikoani ingekuwa are vibaka wangepora hiyo hoteli ingebaki tupu haina hata magodoro na wateja wangeporwa kila kitu!.

Wachawi wanawaza ushirikina tu!. CCM ni tawi la kuzimu kabisa.
 
tatizo hao watu hawakuja kwa hiyari yao walikodiwa kutoka machimbo ya mwime na mwabomba hawa watu wasiokuwa wenyeji wa kahama wangeweza kufanya lolote na kutokomea, kilichofanyika ni kwa usalama wa lissu mwenyewe na mali za watu, hiyo hotel ingechomwa moto usiku siwangesema kahujumiwa
Ona Sasa kaanza kukodi watu toka mbali ili aoenekane ana wasindikizaji hao walikuwa hawana pa kulala sababu walitoka mbali walitaka wageuze hiyo hoteli sehemu yao ya malazi ili kukicha waondoke kurudi Kwao

Hongereni polisi kwa kazi nzuri
 
Violence Alert Tanzania Election

"Tunapigwa mabomu nje ya hotel ya Gaprena Kahama, kwasababu watu wamesindikiza gari na hawataki KUONDOKA"

Inadaiwa Mtu mmoja amepigwa mguuni na risasi ya moto.

Aliyepigwa risasi alikuwa mpita njia, anafahamika kwa jina la Kiwasha Masele.. Anapelekwa Hospitalini

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano CHADEMA, Tumaini Makene ameandika hivi; Very sad! Polisi Kahama, wanatumia silaha, yakiwemo mabomu kuwatawanya wananchi wa mji huo waliokuwa wanamsindikiza kwa amani Mgombea Urais wa JMT wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu kwenda hotelini baada ya mkutano wa kampeni alioutumia kuwasalimia maelfu ya wanaKahama!

View attachment 1598264
Chadema ilitakiwa iombe kibali mwezi mmoja kabla kuwa mgombea wao atasindikizwa kwenda hotelini.
 
Wewe unadhani wangekaa hapo kwa amani wakajjondokea kwa amani baada ya kiu yao kwisha, nini kibaya kingetokea?
Ukae kwa amani umehaa kuzunguka hoteli? Watu washindwe Kuingia na hasara zao au kutoka kisa kuogopa hup umati mimacho Yao?

Hoteli Ni sehemu ya private na mambo private hao wajinga walikuwa wanamzibia mwenye hotel kukosa wateja na kuwakosesha amani wateja wengine

Lisu mjinga anadhani yeye ndie mteja pekee hotelini hajali wateja wengine kuwa anawaweka kwenye situation gani na hoteli yenyewe anaiweka situation gani

Ushauri kwa wenye hoteli Lisu akifika msimpe malazi yeye na time yake kwa usalama wenu na hoteli zenu na Mali zenu na pia biashara zenu kutoharibika kwa kukosa wateja wengine
Hili la umati wa Lisu kujazana viwanja vya hoteli chama Cha wamiliki was mahoteli kitoleeni tamko kukitaa na kukilaani na Lisu na team yake peaneni taarifa kuwa Ni mteja Risk hivyo asipangishwe hotel yeyote .
 
Jamani! Bagoshaa! Mbona upande wa pili hawamsindikizi anapoenda kulala na kukesha naye?

Watanzania wanabeba mengi moyoni, ukiwaangalia usoni huwezi kujua wanachokiwaza huku wakikutabasamia.

Story za tumeibiwa sijui tumepokea bilioni ngapi hawataki, wanataka hela mifukoni.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Chadema mbona wanahangaika hivi Wana uhakika watashinda kwa kuwanunulia K-Vant vijana wetu waandamane na Chama chenye urafiki na Robert Amsterdam
 
Chadema mbona wanahangaika hivi Wana uhakika watashinda kwa kuwanunulia K-Vant vijana wetu waandamane na Chama chenye urafiki na Robert Amsterdam.
 
Hongereni sana Jeshi la polisi kwa kazi nzuri sana.

Mungu awabariki sana huku Chato leo tutawawakilisha vizuri sana kwa kumpiga vitasa vya maana mbeligiji.
 
Nimelikubali hilo vibe.
NEC na Polisi wakizingua tunakinukisha kwa staili hiyo kila mji nchi nzima.

Mwaga Pombe!
 
Huu ni ushahidi tosha kuwa Tundu Antiphas Lissu anapendwa kweli na Watanzania na hazuiliki kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025
Violence Alert Tanzania Election

"Tunapigwa mabomu nje ya hotel ya Gaprena Kahama, kwasababu watu wamesindikiza gari na hawataki KUONDOKA"

Inadaiwa Mtu mmoja amepigwa mguuni na risasi ya moto.

Aliyepigwa risasi alikuwa mpita njia, anafahamika kwa jina la Kiwasha Masele.. Anapelekwa Hospitalini

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano CHADEMA, Tumaini Makene ameandika hivi; Very sad! Polisi Kahama, wanatumia silaha, yakiwemo mabomu kuwatawanya wananchi wa mji huo waliokuwa wanamsindikiza kwa amani Mgombea Urais wa JMT wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu kwenda hotelini baada ya mkutano wa kampeni alioutumia kuwasalimia maelfu ya wanaKahama!

View attachment 1598264
 
Hongereni sana Jeshi la polisi kwa kazi nzuri sana.

Mungu awabariki sana huku Chato leo tutawawakilisha vizuri sana kwa kumpiga vitasa vya maana mbeligiji.
Tunaizidi kukusanya tu ushahidi wa mliyopanga kuyafanya huko Chato. Na tutautuma sehemu husika.

Mnadhani Lissu kaja huko kwa bahati mbaya eeh??? Subirini sasa. Kamera za dunia ziko Chato kuangalia mtakayomfanyia Lissu leo!!
 
Back
Top Bottom