Kahama VS Njombe/Mafinga

Njombe ni uswekeni tu huko nani anapataka. Mnaishi kwenye umande kama nyani
 
Heavy and light Industry in KAHAMA




Picha zinatosha????
 
Mbona nikihoji hoja muhimu hujibu?! Hahaha. Submarine, NSSF, kom (Karibu na Rocken hill, Mongo Hotel, Petrol Africa yako Mengi mno.. sema tu wewe huyajui
Hoja gani muhimu? Weka picha za hizo guests tuone kama hapa down
 
Yaani Manispaa nzima ndio inalingia hilo duka hapo juu,[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] mnatia huruma Sana na kudharirisha hadhi ya Manispaa
 
Yaani Manispaa nzima ndio inalingia hilo duka hapo juu,[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] mnatia huruma Sana na kudharirisha hadhi ya Manispaa
Kahama haina supermarket moja, hii mpya inaitwa TULIZ supermarket picha nikipata nitatupia humu. Weka supermarket za Njombee tafadhali πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Sehemu zetu za kupata mziki mzuri, beer, nyama na pisi kali
 
K
Wewe ni kiazi kwa kweli ukute hata Makambako huijui na kama unaijua usingeongea utopolo

Wewe ni kiazi kwa kweli ukute hata Makambako huijui na kama unaijua usingeongea utopolo huu
Unaweza ukabishia wakat yupo sahihi hata serikali inatambua Hilo makambako ya Jana si ya leo gorofa ulizo kuwa unajidainazo njombe ukipita makambako kwa sasa tayar mambo ni fire site zimezungushwa bati tu vitu. Vinapanda nyumba za chini hzo ndo gap lakufa mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…