Kwenye hiyo orodha toa Kagera tuu,the rest ni pata potea,kunyesha kukauka..Nimeishi mwanza mara kadhaa mvua zinanyesha watu wakipanda zinakata njiani wakati mimea bado kukomaa sio kwamba hazinyeshi kabisa..Hali kama hiyo huwezi ikuta Nyanda za juu kusini
Hata mwaka huu mvua zimenyesha sana nchi nzima lakini kutokana na mazingira yenu ya tambarare kuna mafuriko kila kona huko kwenu tofauti na kusini ambako maji yana mikondo yake ya mabonde hatujapata hizo shida kama kwenu huko na ukanda wa Pwani..Huko ni maeneo hovyo kabisa ya Kuishi
imepitiwa na barabara inayounganisha nchi za maziwa makuu,mazao ya kilimo ni mengi,migodi mikubwa ya dhahabu na pia wachimbaji wadogowadogo ni wengi,kando yake tu kuna machimbo ya almasi makubwa na madogo,rasimali watu inayojituma ndio msingi mkuu
Unatumia nguvu kubwa sana... kuaminisha watu, we unahs watu hawajawah kufika huko mufindiSehemu zenye Madini ndio umasikini umejaa, yaani mji upo hovyo kama Gulio, Kamwe Kahama haitafikia civilisation ambayo ipo mafinga na Njombe, watu wamesoma, wana Makazi bora, wana huduma zote za afya na Elimu,
Huko kahama wengi wanaishi makambini huko maishimoni,
Nikikwambia uniambie hata shule mbili za sekondari au hata chuo kimoja au hata Kiwanda kimoja hapo kahama sina hakika kama kipo,
Kama hiyo dhahabu haina reflection kwenye maisha ya watu basi haina maana, yaani ni kama ufananishe Chunya na Tukuyu, ni kama ardhi na Mbingu
Natumaini umeona jinsi Mufindi imeendelea mara kumi zaidi ya huko mashimoni zaidi ya Huko kwenye Mavumbi kahama,
Suala la upande nadhani ni Ushamba ndio unaokusumbua kama kawaida ya watu wa hiyo kanda, hata Ulaya kuna umande na baridi kali kuliko Dodoma,
Kwa Taarifa yako wafanya biashara wa Madini wakubwa ni wageni, nyie chimbeni tu huko kwenye mahandaki ila wanaofaidi hiyo biashara ni wachache sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hii SGR italeta balaa sana.kahama ni big business hub kwa watu wa shy,kigoma bukoba mtukula,tabora,na sehemu nyingi hasa nchi jirani hata kabla ya buzwagi,khm ilikuwa inapeperuka kibiashara hasa wakati ule barabara ilipokuwa mbovu na kutumia bandari kavu Isaka...kahama imetenga eneo jipya la viwanda baada ya lile la mwanzo kujaa(bukondamoyo) kwenda mwendakulima mondo....ukuaji na upimaji wa mji ni wa kazsi ni marachache kukuta ujenzi holela japo barabara bado sana..haitegemei madini hata wakati migodi ikifungwa mambo huendelea...kasi ya ukuaji wake umefanya kuzalishwa kwa halmashauri tatu zinazojisimamia zenewe ushetu, msalala na mji...vyote hapo juu nililkuwa naelezea halmashauri ya mji kahama..sio wilaya yyote....angalia grafu za nbs na takwimu za tra utajua wapi fursa inaangaza zaidi....
Huyo jamaa anaandika tu ili aonekane kaandika Ila hajui hata anachojadili.Unatumia nguvu kubwa sana... kuaminisha watu, we unahs watu hawajawah kufika huko mufindi
Ukiona picha za dodoma zilivyo na ukifika dodoma ni tofaut kwahyo acha kupumbaza watu.
...
Unakuta mtu anafanamisha mufindi na Machimboni, yaani unafanamisha Paradise na Sehemu za hovyo za Magulio
View attachment 1423122View attachment 1423123View attachment 1423124
Sent using Jamii Forums mobile app
Sehemu zenye Madini ndio umasikini umejaa, yaani mji upo hovyo kama Gulio, Kamwe Kahama haitafikia civilisation ambayo ipo mafinga na Njombe, watu wamesoma, wana Makazi bora, wana huduma zote za afya na Elimu,
Huko kahama wengi wanaishi makambini huko maishimoni,
Nikikwambia uniambie hata shule mbili za sekondari au hata chuo kimoja au hata Kiwanda kimoja hapo kahama sina hakika kama kipo,
Kama hiyo dhahabu haina reflection kwenye maisha ya watu basi haina maana, yaani ni kama ufananishe Chunya na Tukuyu, ni kama ardhi na Mbingu
Natumaini umeona jinsi Mufindi imeendelea mara kumi zaidi ya huko mashimoni zaidi ya Huko kwenye Mavumbi kahama,
Suala la upande nadhani ni Ushamba ndio unaokusumbua kama kawaida ya watu wa hiyo kanda, hata Ulaya kuna umande na baridi kali kuliko Dodoma,
Kwa Taarifa yako wafanya biashara wa Madini wakubwa ni wageni, nyie chimbeni tu huko kwenye mahandaki ila wanaofaidi hiyo biashara ni wachache sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibuni kwenye mada
Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga
Je ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwinzie in terms of maendeleo na ukuaji?
Aisee nimezaliwa mufindi na nimeishi huko for 25yrs...maisha ya mufindi ni marahisi kwa wale matop layer...wenyej wa huko ni maskini...tofauti ya huku na huko huko nyumba ni bora...ila mfukoni kugumu...mtu aachuma chai mwishoo wa mwezi anapokea 40!zot zimekatwa madeni...huku hata maskini akiamua 40 kwa siku moja anaipata! Jiulize umewah sikia bek 3anatoka mitaa ya madini? Never.beki 3 wanatoka huko...! Kifupi ukitaka kusikia definition ya tabaka la wenye nacho na wasio nacho ni huko!..huko wazungu na mameneja na maasst manager ndo wanahela...labda na wenye biasharq za mbao!...