Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Tatizo anayebisha na kutoka povu hajafika kahama na yeye migodi anafananisha na makarasha ya kokoto kwa hiyo kubishana na mtu kama huyo unapoteza nguvu zako bure. Maana anabisha kitu ambacho hakielewi
Acha porojo weka picha mzee wa borrow pit town
 
Tatizo anayebisha na kutoka povu hajafika kahama na yeye migodi anafananisha na makarasha ya kokoto kwa hiyo kubishana na mtu kama huyo unapoteza nguvu zako bure. Maana anabisha kitu ambacho hakielewi
Haya mabishano ni vizuri yakasindikizwa na Takwimu za NBS
Screen_Capture_Img_8817.jpeg
 
Umeunga foleni ya kupiga noise bila ushahidi..hata Google imekosa picha za kahama the borrow pit
Karibu kahama, tembea kidogo kazi ya kuhesabu maghorofa utafanya mwenyewe, fika Nyasubi, Mhongoro, Igomero(masaki), Nyahanga, Mbulu, Nyakato n.k
kisha fika nssf,Royal fast food, Royal super market, Golden Valley, Miami, Pine ridge, River mark, Submarine, club chiller,club Masai,na sehemu nyingine za bata ambazo sijaorodhesha, Fika jimboni pia kalori lwanga, stephano shahidi(makanisa), malizia shule bora kitaifa kama Rocken Hill, Kwema, Palkas, Jonson excellence, Queen of family, John paul,Anderlek the ridges, na nyingine nyiingi., katoe tongotongo hapo buzwagi kisha njoo waombe msamaha wana kahama,
NB: umasikini upo huko ndani ndani,hapa tunalinganisha uzuri wa miji na fursa za kibiashara
Mwisho hoteli kuwa maporini(njombe) nikawaida hata serengeti&mikumi zimo pia kwa sababu zinazofanana.
 
Aliona lipi kati ya haya.NJOMBE is rising Up my brother
Kwanza kaham Kuna viwanja vya kula bata vya kijanja wazee wa Ze fox sportbar,African loung,Club chiller n.k huko njombe kuna mshkaji wangu yupo anasema hajawahi kuona sehemu ya ajabu kama njombe ghorofa kaliona moja tu
 

Attachments

  • hillside hotel.jpg
    hillside hotel.jpg
    6.1 KB · Views: 4
  • JD HOTEL.jpg
    JD HOTEL.jpg
    6.7 KB · Views: 3
  • agreement.jpg
    agreement.jpg
    6.2 KB · Views: 4
  • FM HOTEL.jpg
    FM HOTEL.jpg
    6.9 KB · Views: 4
  • AJDCENT DOSMEZA HOTEL.jpg
    AJDCENT DOSMEZA HOTEL.jpg
    6.8 KB · Views: 5
mkuu sengerema kuna watu kama mvua je nako kuna mzunguko wa pesa.Kanda ya ziwa uwingi sio mwingiliano bali ni ukubwa wa familia tu mzee.
kahama kuna watu wengi sana kwa sababu mzunguko wa pesa ni mkubwa, makabila yote utayakuta hapo, wafanyabiashara ni wengi mno na biashara zimechangamka, tofauti na njombe watu wachache , mzunguko wa pesa mdogo, biashara zinafanyika kichawi na wenyeji, wagen wanalogwa mpaka biashara zinakufa.
 
VIEW NJOMBE THE BEAUTIFUL CITY OF THE SUN
 

Attachments

  • TASWIRA YA MJI WA NJOMBE AMBAKO NDIPO YALIPO MAKAO MAKUU YA MKOA HUO.JPG
    TASWIRA YA MJI WA NJOMBE AMBAKO NDIPO YALIPO MAKAO MAKUU YA MKOA HUO.JPG
    88.4 KB · Views: 5
  • njombe Mji mwema.jpg
    njombe Mji mwema.jpg
    9.2 KB · Views: 5
Acha kufurahisha jukwaa na huo utumbo unajiaibisha.mimi siandiki maneno mengi nakukumbusha tu ukasome ripoti ya NBS ya hali ya maendeleo ya watu
Nyuma ya Dar,Kilimanjaro ni Njombe hiyo kahama na jamaa zenu mwanza mnaongoza kwa umaskini.Nyie endeleeni kufukua mashimo
Ipo hivi
1.Dar
2.Kilimanjaro
3.Njombe
Halafu ukija ya mwishoni Kuna Geita,Kuna Simiyu,huko umaskini umeshamiri kwa kadiri ya Takwimu za NBS
Yaan ww kilichokuchanganya ww ni ghorofa za njomb mjini..poor u
Sasa umejibu masuala ya ghorofa hi habari ya NBS ya
1.Dar
2.Kilimanjaro
3.Njombe ,hujaiona au umeiruka kwa makusudi? Usiishie hapo tu nenda kasome ile mikoa iliyoko mwishoni yenye umaskini utaikuta Geita utaikuta Simiyu.
Naona hili unajifanya hulioni
 
mkuu sengerema kuna watu kama mvua je nako kuna mzunguko wa pesa.Kanda ya ziwa uwingi sio mwingiliano bali ni ukubwa wa familia tu mzee.
Wamerundikana kama manyumbu,Kahama,kasulu,sengerema,mwanza,yaani on fact huko kanda ya ziwa ni shida
Serikali iliona bora hata ipaendeleze Geita kuliko Kahama.Na igunga na Ifakara , Tunduru itapewa hadhi ya mkoa lakini sio Kahama hakufai huko
 
Hahaaa mjitadi mtafanikiwa mkuu, ila safari ni ndefu sana kufikia mnapotamani kuwepo.
Silinganishi ila naongelea nilichokiona sasa naelekea Iringa nishatoka hapo Njombe.

Laba tuwaeleze jamaa zetu sio Njombe hata Irings itasubir kwa KHM
 
We kwa akili yako unaamini kuna mji unakosaga viwanja vya bata? Yaani kuwe na mahoteli ya viwango lounge and bars ndo zikosekane? Kuwa xriac bac unless umekopesha akili za huyo mshikaji wako
Si ajabu tulisema weka picha mbaweka bar,wazee wa dhahabu a k a borrow pit town
Njombe n vumbi jekundu n baridi yote unatoka out kufanya nini? Kazi yenu kulima miti
 
Back
Top Bottom