Umeunga foleni ya kupiga noise bila ushahidi..hata Google imekosa picha za kahama the borrow pit
Karibu kahama, tembea kidogo kazi ya kuhesabu maghorofa utafanya mwenyewe, fika Nyasubi, Mhongoro, Igomero(masaki), Nyahanga, Mbulu, Nyakato n.k
kisha fika nssf,Royal fast food, Royal super market, Golden Valley, Miami, Pine ridge, River mark, Submarine, club chiller,club Masai,na sehemu nyingine za bata ambazo sijaorodhesha, Fika jimboni pia kalori lwanga, stephano shahidi(makanisa), malizia shule bora kitaifa kama Rocken Hill, Kwema, Palkas, Jonson excellence, Queen of family, John paul,Anderlek the ridges, na nyingine nyiingi., katoe tongotongo hapo buzwagi kisha njoo waombe msamaha wana kahama,
NB: umasikini upo huko ndani ndani,hapa tunalinganisha uzuri wa miji na fursa za kibiashara
Mwisho hoteli kuwa maporini(njombe) nikawaida hata serengeti&mikumi zimo pia kwa sababu zinazofanana.