Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

mkuu hata serikali inajua kua mkoa wanjombe unaizidi miko ya kanda ya ziwa labda jiji la mwanza na uwingi wa watu but in terms of per Capita Income Kanda ya ziwa haifikii njombe,nenda kaone Njombe vijiji huko watu walivyoshusha makazi bora.
Umeshafika Geita wewe?
Umeshafika Bariadi wewe?
Umeshafika Chato wewe?
Umeshafika Kahama wewe?
Umeshafika Musoma wewe?
Umeshafika Bukoba wewe?
Umeshafika Karagwe wewe?

Yani huko kote nilikokutaja ni balaa Njombe nimefika yani siwezi kuishi hata bure kwenye mamilima yasiyo na formula, watu wafupi na weusi tii muda wote makoti na makofia tu.
 
mkuu hata serikali inajua kua mkoa wanjombe unaizidi miko ya kanda ya ziwa labda jiji la mwanza na uwingi wa watu but in terms of per Capita Income Kanda ya ziwa haifikii njombe,nenda kaone Njombe vijiji huko watu walivyoshusha makazi bora.
Njombe ya wapi ikaizidi Shinysnga,Tabora? Njombe ya Leo haiifikii Shinysnga ya mwaka 2000+.We endelea kufananisha Njombe na kahama, umeanza kuvuka mipaka dogo.
 
Umeshafika Geita wewe?
Umeshafika Bariadi wewe?
Umeshafika Chato wewe?
Umeshafika Kahama wewe?
Umeshafika Musoma wewe?
Umeshafika Bukoba wewe?
Umeshafika Karagwe wewe?

Yani huko kote nilikokutaja ni balaa Njombe nimefika yani siwezi kuishi hata bure kwenye mamilima yasiyo na formula, watu wafupi na weusi tii muda wote makoti na makofia tu.
Huyu mtoto mwacheni.Ramadhani ya Leo ni kama mji wa ndala Shinyanga wa mwaka 1990+.Huwezi amin mji upo hovyohovyo tu hap obado sijaongekea mjini,matarawe,mji mwema yani no songombingo.Ila kwa sababu yote no TZ acha tuijenge wote.Njombe inaizidi Shy kwa upandaji miti na kilimo cha viazi,chain basi
 
ingekua kweli kanda ya ziwa isingekua hohe hahe kiwango hicho
Nachojua kanda ya ziwa kuna matajiri wengi zaidi kuliko nyanda za juu kusini.Ng'ana na dhahabu ni habari nyingine inatoa utajiri unaoeleweka.Mtu kugonga milioni 500 kitu cha kawaida.Njombe sijui ulime heka ngapi uje upige milioni 500.Njombe,mbeya ni miji ya watu wenye maisha ya hali ya chini wenye uhakika na ugali wa mchana na viazi mviringo. Mbeya,Nombe kila MTU analima, hivyo viwanda vya unga havilipi.Shy watu walizoea kununua unga tangu miaka ya 90+ hivi ilikuza viwanda vidogo vya unga.
 
Ni kweli Njombe ina watu wengi kuzidi Kahama ila makazi ya Kahama ni mazuri kuliko Njombe.

Na kwa kuongezea watu wa Kahama ni wazuri kuliko Njombe wanjombe nyie wafupi weusi tii na mamilima yenu
Watu wepi!?
Njombe mjini inawatu wangapi!? Kahama ni ya nane nchini kwa wingi wa watu nyuma ya Zanzibar. Kwa Data za NBS Sensa ya 2012

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
mkuu hata serikali inajua kua mkoa wanjombe unaizidi miko ya kanda ya ziwa labda jiji la mwanza na uwingi wa watu but in terms of per Capita Income Kanda ya ziwa haifikii njombe,nenda kaone Njombe vijiji huko watu walivyoshusha makazi bora.
Una taarifa za zamani sana.. Kahama hawana utaratibu wa kujenga vijijini.. ila usilete comparison hiyo kwa wilaya za Bukoba/Misenyi/Muleba na Karagwe.. utakimbia maana hata mjini njombe hakuna nyumba zilizo kijijini huko..

Ukizungumzia mjini Njombe labda kuna nyumba tatu au nne ndio unazizungumzia.. tembelea Kahama na uwe na mwenyeji. Pls

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Una taarifa za zamani sana.. Kahama hawana utaratibu wa kujenga vijijini.. ila usilete comparison hiyo kwa wilaya za Bukoba/Misenyi/Muleba na Karagwe.. utakimbia maana hata mjini njombe hakuna nyumba zilizo kijijini huko..

Ukizungumzia mjini Njombe labda kuna nyumba tatu au nne ndio unazizungumzia.. tembelea Kahama na uwe na mwenyeji. Pls

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Haya tunayoongea yangekua kweli TZ ingekua mbali sana aisee.Nikweli madini yanafedha lakini bahati mbaya hayawagusi wakazi halisi wengi ni wachimbaji wadogo wasio na vifaa na shimo moja linawatu kumi hata wakipata fedha huishia kwa watu wachache tu.Ukiongelea standard ya maisha Njombe itabaki kua juu.Hoja ya baridi ni hoja ya kipuuzi sana.Kila mahali kumeumbwa na hali ya hewa yake na MUNGU akaweka upendeleo maalumu ndio maana ukifika unakaribishwa na tea estate kila kona,tree plantation,Now parachichi,suala wananchi wa kawaida kua milioni milioni ni kawaida sana njombe.
 
Njombe iko juu bhana acheni hizo
Mimi si Mbena wala Msukuma ila niko objective..

Kahama kwa Data ni Mji wa nane kwa wingi wa watu nchini.. na lazima uko kati ya miji 10 mikubwa nchini.

Kwenye drone footage naona mazingira... Ukitumia kigezo chakuwa na miti na maji yanatitirika basi Dubai na Dar haziwezi kuifikia Njombe..

Ukitaka kujua eneo ni potential.. angalia wangapi wanaamka bila kuwa na ndugu wanaamua kwenda kuanza maisha eneo hilo kila mwaka.. Kahama nchini ni kati ya miji mitano inayovutia vijana kuzamia..

Watoto wanatoka mikoa ya mbali wanaunga kwenye malori hata wasiokuwa na fedha wananing'inia chini huko ili wafike Kahama... Hii nimeoniona. Wanachokimbilia ni opportunities...

Wengi hapa wanaperception isiyo sawa kwa mji huu wa Kahama.. mji huu ulianza na madini.. ukakua na Mpunga na sasa unajiendesha na Biashara na Huduma.. hiyo ni natural progression ya mji wowote kukua..

River Thames lilikuwa bonde la kilimo.. ila leo london hakuna anayelima watu wameshatoka huko.. na wamejikita kwenye sehemu ya pili.. Biashara na huduma na hapo ndio mahala wanaanza kuwa true Urban Center.

Ukisikia Buzwagi na Bulyanhulu kila mtu anadhani Kahama inajiendesha na madini .. wachimba madini ni sehemu ndogo tu ya Uchumi mkubwa wa Kahama.. Kahama primarily today.. ukiulizwa ni Mji gani.. unasema mji wa kibiashara..

Na biashara ndiyo inaupa mji huu uhai. Hakuna mashamba na mbuga nyingi za mpunga hazizalishi tena kama zamani.. hivyo watu wamegeukia sekta nyingine.. kama manufacturing na Huduma.

Kahama wengi wamehamia kwenye Rice Processing and Exportation... Maize Milling and Exportation, Viwanda vya vinywaji, Mafuta, Mabati, Nguo, Samani za Ndani, Gold Ellussion (Kusafisha Dhahabu), Transportation, Ujenzi na Huduma kama Elimu na Hotels.
.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mimi si Mbena wala Msukuma ila niko objective..

Kahama kwa Data ni Mji wa nane kwa wingi wa watu nchini.. na lazima uko kati ya miji 10 mikubwa nchini.

Kwenye drone footage naona mazingira... Ukitumia kigezo chakuwa na miti na maji yanatitirika basi Dubai na Dar haziwezi kuifikia Njombe..

Ukitaka kujua eneo ni potential.. angalia wangapi wanaamka bila kuwa na ndugu wanaamua kwenda kuanza maisha eneo hilo kila mwaka.. Kahama nchini ni kati ya miji mitano inayovutia vijana kuzamia..

Watoto wanatoka mikoa ya mbali wanaunga kwenye malori hata wasiokuwa na fedha wananing'inia chini huko ili wafike Kahama... Hii nimeoniona. Wanachokimbilia ni opportunities...

Wengi hapa wanaperception isiyo sawa kwa mji huu wa Kahama.. mji huu ulianza na madini.. ukakua na Mpunga na sasa unajiendesha na Biashara na Huduma.. hiyo ni natural progression ya mji wowote kukua..

River Thames lilikuwa bonde la kilimo.. ila leo london hakuna anayelima watu wameshatoka huko.. na wamejikita kwenye sehemu ya pili.. Biashara na huduma na hapo ndio mahala wanaanza kuwa true Urban Center.

Ukisikia Buzwagi na Bulyanhulu kila mtu anadhani Kahama inajiendesha na madini .. wachimba madini ni sehemu ndogo tu ya Uchumi mkubwa wa Kahama.. Kahama primarily today.. ukiulizwa ni Mji gani.. unasema mji wa kibiashara..

Na biashara ndiyo inaupa mji huu uhai. Hakuna mashamba na mbuga nyingi za mpunga hazizalishi tena kama zamani.. hivyo watu wamegeukia sekta nyingine.. kama manufacturing na Huduma.

Kahama wengi wamehamia kwenye Rice Processing and Exportation... Maize Milling and Exportation, Viwanda vya vinywaji, Mafuta, Mabati, Nguo, Samani za Ndani, Gold Ellussion (Kusafisha Dhahabu), Transportation, Ujenzi na Huduma kama Elimu na Hotels.
.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Drone footage ya Kahama kwa sasa hakuna, lakini hata ukitumia Google Earth details za majengo na miundo mbinu inaonekana Kahama is far away from Nyombe Mji [emoji13][emoji13][emoji13]
 
Back
Top Bottom