Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

In terms of population bado Mkoa wa njombe unapelea kwa Geita ndio maana Geita ina miji mingi mikubwa kuliko mkoa wa njombe kwa sababu kitu cha kwanza kinacho chochea ukuaji wa miji ni population size of a particular area 👇👇
Screenshot_20241002-213103.png
Screenshot_20241002-213035.png
 
Population size
Njombe town council( inaundwa na kata 13)= watu 182 127
Katoro (mji unaundwa na kata tatu, katoro 92 192, buseresere 53 456 na Ludete 106 768) = watu 252 416
REFERENCE: Tanzania population census 2022
 
STATUS
Njombe 👇
-Ni makao makuu ya mkoa wa njombe na ni makao makuu ya wilaya ya Njombe mjini. Kwa hiyo ina facilities za mkoa na wilaya (office za kiselikari yaani office ya mkurugenzi wa halmashauri, office za mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya, uwanja wa ndege wa mkoa etc.)
Katoro 👇
- siyo makao makuu ya wilaya wala mkoa ko haina facilities zinazotokana na utawala.
-ni mji wa biashara tu uliozungukwa na migodi midogo midogo
 
In terms of population bado Mkoa wa njombe unapelea kwa Geita ndio maana Geita ina miji mingi mikubwa kuliko mkoa wa njombe kwa sababu kitu cha kwanza kinacho chochea ukuaji wa miji ni population size of a particular area 👇👇View attachment 3113564View attachment 3113565
ACha kuweweseka kama una kifaduro mnazaliana Sana afu ni masikini mnajilundika sehemu moja kama mazizi ya ngombe Kanda ya ziwa miji ambayo angalau ipo standard nje ya mwanza ni bukoba na shinyanga vingine ni vijiji usituletee humu
 
Population size
Njombe town council( inaundwa na kata 13)= watu 182 127
Katoro (mji unaundwa na kata tatu, katoro 92 192, buseresere 53 456 na Ludete 106 768) = watu 252 416
REFERENCE: Tanzania population census 2022
Katoro ni vijiji ulitangaza lini kuwa mji acha ushashamba basi vijiji vya design HiYo kwa Sasa Tanzania ni vingi zunguka uone sio kushinda tu mwaloni na kuanika vidagaaa
 
Hapa ni makambako CBD SIO PEMBEZONI MJOMBA NI KATA MOJA TU KUMBUKA INA KATA 12
FB_IMG_16811889713114200.jpg
WhatsApp Image 2024-07-29 at 13.31.30 (1)(0).jpeg
WhatsApp Image 2024-07-29 at 13.31.30 (1)(0)~2.jpg
FB_IMG_16676312695484943.jpg
FB_IMG_16676312485395943.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_16811889713114200.jpg
    FB_IMG_16811889713114200.jpg
    394 KB · Views: 0
Ndo maana tumekwambia level katoro ishindanage na ilembula huko
FB_IMG_16798543723498106.jpg
 
Ukubwa wa katoro kwa makambako ni sawa na kipande hichi tu 7 km kutoka makambako CBD
FB_IMG_16798549968163064.jpg
 
ACha kuweweseka kama una kifaduro mnazaliana Sana afu ni masikini mnajilundika sehemu moja kama mazizi ya ngombe Kanda ya ziwa miji ambayo angalau ipo standard nje ya mwanza ni bukoba na shinyanga vingine ni vijiji usituletee humu
Weka data, mbona unaanza kutokwa na maneno tu 🤔
 
Eti makazi ya hivyo yamejaa pembezoni, Katoro ni full package
Yan we jamaa asee unachekesha ko mapaa ya nyumba ndo standard ya mji hebu tuletee CBD YA HICHO KIJIJI CHAKO TUONE MAANA MAKAZI YA DESIGN HIYO NOW KILA MJI YAMEJAA PEMBEZON KO MJI TUNAANGALIA CBD ACHA KUTULETEA MAPAA HAPA
 
Ndo maana tumekwambia level katoro ishindanage na ilembula huko View attachment 3113729
Unajipa matumaini ee😂😂😂 kwa wilaya za hovyo hovyo haziwezi gusa kwa katoro 👇 makambako na viunga vyake hivi apo 👇 yaani hii linganisha na ushirombo
Screenshot_20241003-062757.png
kwenye hizo kata za makambako town council zipi hazipo mjini
 
Population size
Njombe town council( inaundwa na kata 13)= watu 182 127
Katoro (mji unaundwa na kata tatu, katoro 92 192, buseresere 53 456 na Ludete 106 768) = watu 252 416
REFERENCE: Tanzania population census 2022
Weka takwimu tuone sio unajitungia tuu maana Katoro ni Kijiji kilichochangamka hakina Hadhi ya Mji kiserikali bado.
 
Back
Top Bottom