Mwalo Chibya
JF-Expert Member
- Dec 18, 2019
- 921
- 937
Njombe hamuwezi kuishinda hata kigoma, kigoma angalau inavutia kuliko njombe,Makambako haina Cha kujifunza huko ndo maa tunapata SoMo Lusaka .Ambao ni miongoni MWA majiji yanayokuwa kwa mfumo wa viwanda na biashara View attachment 3118681View attachment 3118682
Mji ni wa zamani lakini haujajaa kutu kama hivyo vitongoji vyenu mnavyovipaisha