TANZIA Kahama: Watu 19 wafariki dunia kwenye ajali inayohusisha trekta, hiace na lorry!

TANZIA Kahama: Watu 19 wafariki dunia kwenye ajali inayohusisha trekta, hiace na lorry!

Kwenye daladala kuna mikanda ya abiria kufunga au ndo unajitoa ufahamau???
Ilitakiwa iwepo na itumike, ndio ukweli. Kuhusu uhalisia uliopo ni sisi tunaoutengeneza....... mfano imagine kila raia awe akikaa kwenye siti[hasa gari za masafa au zote tu] isiyo na mkanda agome kwa kudai kuwa siti haijakamilika mikanda ingekuwepo kila gari. Lakini kama mikanda yenyewe hadi trafiki anune ndiyo tufunge hapo ndio kazi.
 
Askari wa usalama barabarani walazimishwe kisheria ku patrol barabara na kuhakikisha magari yaliyoharibika barabarani yanaondolewa haraka na pia madereva kulazimika kisheria kuripoti kuhusu magari yao yaliyoharibika

11 November 2022
Wazo Hill, Tegeta
Dar es Salaam

MAGARI MABOVU YAONDOLEWE HARAKA BARABARANI , WAKAAZI WA WAZO HILL WASEMA



Source : Global TV online
 
9 November 2022
Mbeya, Tanzania

AJALI MJINI MBEYA


12:45 asubuhi basi la Mbeya kwenda Tunduma likiwa ktk mwendekasi kwenye mteremko lasababisha vifo na majeruhi kwa kugonga vyombo vitatu vya usafiri yaani gari ndogo, basi dogo aina ya Rosa, pia Lori la masafa marefu lenye trailer lililosheheni sulphur ....
Source : MbeyaYetuOnline TV
 
Back
Top Bottom