TANZIA Kahama: Watu 19 wafariki dunia kwenye ajali inayohusisha trekta, hiace na lorry!

TANZIA Kahama: Watu 19 wafariki dunia kwenye ajali inayohusisha trekta, hiace na lorry!

Gari ukiwa speed 80 kushuka kama unaona mbali hata ukikutana na jambo la ghafla ni rahisi kufanya maamuzi. Sasa upo 140 ghafla umekutana na Trekta ndani ya m100 kweli hapo unafanya maamuzi gani? Usiku kama huoni mbali endesha hata speed 50 kwani unamringishia nani kuwa unajua kukimbiza gari?

HALAFU ABIRIA WAPO KIMYAA NDANI YA GARI AMBAYO UKIANGALIA HATA KWA MACHO NI KUTU KUTU TU HALINA UBORA NA LINAKIMBIA HASWA.
 
HALAFU ABIRIA WAPO KIMYAA NDANI YA GARI AMBAYO UKIANGALIA HATA KWA MACHO NI KUTU KUTU TU HALINA UBORA NA LINAKIMBIA HASWA.

Kumbuka safari za usiku, unakuta abiria karibu wote wameu-chapa usingizi 💤
 
Kumbuka safari za usiku, unakuta abiria karibu wote wameu-chapa usingizi 💤
Karibu wote sio wote. Hata wakati wa kuanza safari mnaweza mwambia dereva mnachotaka nyinyi abiria. Ukweli ni kwamba abiria wanapenda speed ili wawahi. Hata katika kuhadithia utasikia ile gari ilikuwa inakimbia balaa.
 
Samahani
Huyo ist hakua na taa za kumsaidia kuona trekta mbele yake?maana njuavyo hata kundi LA watu wakiwa wanavuka unawaona unapunguza mwendo!
 
Jamani jamani jamani

Damu ya Watanzania inamwagika kama tupo vitani vile.


Wenye Imani tusiache kuiombea nchi

Moyo wangu umeumia sana
Kwahiyo ukiomba ndio watu wataacha kufa..yani hujui kuwa hizo dini unazoziamini ndio zimemwaga damu sana kuliko matukio mengine ya duniani.

Wafia dini punguzeni ujuaji.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwahiyo ukiomba ndio watu wataacha kufa..yani hujui kuwa hizo dini unazoziamini ndio zimemwaga damu sana kuliko matukio mengine ya duniani.

Wafia dini punguzeni ujuaji.

#MaendeleoHayanaChama
Tofautisha dini na Imani.

Watu tunakufa na tutakufa yes. Kuna umri ukifika ni lazima uiage dunia. Sasa haya mauaji yatokanayo na ajali siyo sahhi. Hakuna kazi ya Mungu japo.
 
Konyagi na mibange inasababisha watu wasio na hatia kuaga dunia... so sad.

Konyagi - dereva wa IST
Mibange - Dereva wa Hiace
Upumbavu - Dereva wa Trekta kuendesha bila taa usiku huku akijua fika ni kosa kubwa mno hasa kwenye main road.
Ujinga - Dereva wa Scania angeweza kuwa na subira upande wake kupisha uokoaji na yeye kushiriki.

Poleni wapendwa wetu, tutaonana baadaye !! we're all in the same way
 
So sad,hii ajari imesababisha kifo cha mdogo wangu kwenye hiyo IST,laiti ningemkamata dereva wa hilo trekta,ningemtatua malinda bila kalainishi.
Pole sana..ila mdogo wako naye alikua kasi sana pia alikua na chupa za k vant manake alikua tungi..walikua wanawahi wapi??

#MaendeleoHayanaChama
 
Hiyo barabara hadi unafika Nzega ni kuwa makini sana kama unadrive usiku kuna matela ya Punda mengi haswa msimu wa mavuno.

Nakumbuka gari moja dogo IT lililokuwa likiendeshwa na dereva mruanda ililparamia Tela la Punda na kuua Dreva wa Punda na Mruanda na Punda wawili.

Karibu na Tinde Junction.
Daah..umenikumbusha enzi hizo shy..kuna machalii walikua wala bata sana..walikua na mademu zao chuo cha ushirika tawi la kizumbi pale.

Wikendi wameparty sana..umefika muda wa night kali..jamaa akaona amrudishe demu wake hostel za chuo akapumzike..

Chalii kampeleka demu..kumbuka chali yuko tungi..kamfikisha vizr chalii akaanza kurudi twn awachukue masela zake waende kupumzika.

Basi bhna wakati ana rudi yuko mafuta sijui hakuona tela la punda lenye majani ya mpunga au ndio kwakuwa tela halikuwa na taa wala reflectors.

Basi dogo aliingia moja kwa moja kwenye tela..mojakwamoja hadi mtaroni..yule dereva wa tela alirushwa ngambo ya barabara...majani yoye yalitapakaa barabarani.

Bahati nzuri hakukuwa na kifo bali majeruhi tu..ila gari ilibonyea sana mixa kuangukia mtaroni.

Kimbwembwe kikaja chalii gari kaazima ya mshikaji wake halafu jamaa naye kaiba gari home mana wazee walikua wamesafiri..ilikua msala kinyama.

#MaendeleoHayanaChama
 
Tofautisha dini na Imani.

Watu tunakufa na tutakufa yes. Kuna umri ukifika ni lazima uiage dunia. Sasa haya mauaji yatokanayo na ajali siyo sahhi. Hakuna kazi ya Mungu japo.
Wapi ilisemwa lazima ufe ukiwa mzee..na mbona kila siku kuna watoto wanakufa wadogo wengine hata mwezi hawajamaliza..acheni nature ibalance dunia..watu wote wangefika uzeeni hii duni population yake ingekuwaje.

Halafu unataka kuniambia hao waliokuwa kwenye hizo ajali waliofariki kwamba hawakusalu kabla ya kuanza ajali.

Mbona wamekufa sasa..

Dini na imani huwa zina upuuzi mwingi sana kuharibu akili za watu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Je hao watu walikuwa wamefunga mikanda? nazungumzia hao wa kwenye daladala maana 16 ni wengi ukilinganisha na hali ya gari inavyoonesha.

Wangekuwa wachache tu watatu au wawili [wa ile eneo ilobondeka tu]

Watanzania tuamke, hakuna gari iliyowahi kutoka kiwandani bila mikanda ya usalama, yaani ni kama tu ambavyo hakuna gari inaenda barabarani bila matairi. Sasa tutabaki kuusema tu mwendokasi lakini haya ni matokeo ya kutumia gari nusunusu. Gari ina taa huziwashi, ina breki huziservice, ina mkanda na hufungi unachotumia ni ile tu ina spidi mia mbili[kumalisa kisahani] hapo lazima matatizo kujiletea.

Tumia gari nzima au achana nayo hakuna cha katikati hapa. Askari nao wafanye kazi yao sio nusunusu, umegundua kosa zuia hadi lirekebishwe. Gari mbovu mtu apaki hadi aletewe breakdown akilipa gharama mara mbili/tatu akili itakaa sawa. Sio gari mbovu unachukua buku tano. Ndo nini sasa? ndo italitengeneza gari au?
Kwenye daladala kuna mikanda ya abiria kufunga au ndo unajitoa ufahamau???
 
Hizo yebo moja unakuta kaining'iniza kama inataka kudondoka boda wapuuzi sana
Tanzania tuna simple life sana hii inasababisha mambo mengi sana ya ajabu ajabu hata kwenye vitu muhimu.
Kwenye hiyo ajali sijui kama kila mkoa una ukaguzi wa vyombo vya moto kila mwaka.
 
Back
Top Bottom