scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
Hata wapumbavu huzeeka.Nilidhani miaka 40 ni mingi sana.
kabisa apo dada kakwama kidogoSafi sana, angemshusha chini abebe hadi kitanda na godoro.
Kaibiwa hadi sabuni za kufuliaMoja kwa moja kwenye mada, Ni ndugu yangu mmoja ameshakamata 40 years mpaka Sasa Ana kazi Ni afisa kilimo na mifugo.
Jamaa Ni hataki kusikia habari ya kuoa, Ni baada ya kupigwa tukio na alokua manzi yake miaka mitano ilopita.
Alishangaa tu anaambiwa manzi yake kaolewa na yeye Hana taarifa yoyote na juzi tu wametoka kuwasiliana pia hakukua na ugomvi wowote Kati yao.
Sasa katika miaka yote hio amekua Ni mtu wa kuchakata Dada poa Hana plan yoyote ya maisha hufanya hivyo salary ikitoka au akiwa na pesa kuchacha kwake Ni kawaida ikifika tar 1 Hana kitu anakula msotooo mwezi mzima mpaka atakapokutana na kirungu kingine
Madeni benki na nje😀 yaani kwa kifupi Mambo Ni tafrani toka amepigwa tukio na Yule binti.
Sasa last week aliopoa Dada poa kumbe alikua mwizi wamerudi wamelewa jamaa akapigwa na cocaine bila kujielewa amekuja kuamka saa 7 mchana ndani Hakuna chochote alichoachiwa Ni kitanda alicholalia na vikombe viwili vya chai.
Imagine mtu anaiba adi sufuria
🙂
Tuweni makini
Safi sana, angemshusha chini abebe hadi kitanda na godoro.
Kwa bei poa.Wanawake wanaojiuza
Cocaine inaijua ww, basi huyo dada poa ana pesa hatarMoja kwa moja kwenye mada, Ni ndugu yangu mmoja ameshakamata 40 years mpaka Sasa Ana kazi Ni afisa kilimo na mifugo.
Jamaa Ni hataki kusikia habari ya kuoa, Ni baada ya kupigwa tukio na alokua manzi yake miaka mitano ilopita.
Alishangaa tu anaambiwa manzi yake kaolewa na yeye Hana taarifa yoyote na juzi tu wametoka kuwasiliana pia hakukua na ugomvi wowote Kati yao.
Sasa katika miaka yote hio amekua Ni mtu wa kuchakata Dada poa Hana plan yoyote ya maisha hufanya hivyo salary ikitoka au akiwa na pesa kuchacha kwake Ni kawaida ikifika tar 1 Hana kitu anakula msotooo mwezi mzima mpaka atakapokutana na kirungu kingine
Madeni benki na nje[emoji3] yaani kwa kifupi Mambo Ni tafrani toka amepigwa tukio na Yule binti.
Sasa last week aliopoa Dada poa kumbe alikua mwizi wamerudi wamelewa jamaa akapigwa na cocaine bila kujielewa amekuja kuamka saa 7 mchana ndani Hakuna chochote alichoachiwa Ni kitanda alicholalia na vikombe viwili vya chai.
Imagine mtu anaiba adi sufuria
[emoji846]
Tuweni makini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jirani yetu aliachiwa ndoo na Jaba
Tulijua anahama [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka sanaJirani yetu aliachiwa ndoo na Jaba
Tulijua anahama [emoji23][emoji23][emoji23]
Usikute kamchanganyia ugolo alionunua kwa jero tu mtu chali anasepa na samani zenye thamani ya mamilioni ya pesa!Mi madawa ya kulevya alipewa sijaua Sasa Ni aina gani.
Kunywa kwa matembele chukuchuku.Chai