Kaibiwa na Dada poa sasa anaanza upya

Kaibiwa hadi sabuni za kufulia
 
Cocaine inaijua ww, basi huyo dada poa ana pesa hatar
 
Mi madawa ya kulevya alipewa sijaua Sasa Ni aina gani.
Usikute kamchanganyia ugolo alionunua kwa jero tu mtu chali anasepa na samani zenye thamani ya mamilioni ya pesa!

Hii imenikumbusha nshawahi kupigwa laptop na manzi mmoja miaka 11 iliyopita...!
Ila mimi ubahiri wangu ndo ulioniponza make demu sikuwa nikimpa mapene na hakuwahi kuniomba hela hata though tulikuwa tunaspend fresh tu yani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…