King 999
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,872
- 8,374
MhUnaweza kua unakutana na wanawake wa aina moja kila siku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MhUnaweza kua unakutana na wanawake wa aina moja kila siku.
Ndio
MhhhhTry me, huwa siombi hela😅😅
Aweka binding hii oostThe 1st rule:
Kabla hujamleta dada poa kwako, Hakikisha chumba chako/nyumba yako (ina choo ndani. )
2nd rule
Ukimleta dada poa kwako funga milango yote kwa kitasa kasoro mlango wa bafun na choon, afu ficha funguo sehem ambayo hawez kuiona. Ukiona anaulizia funguo basi akili yako ikae attention.
3rd rule
Ukishamgonga, kabla hujamruhusu, hakikisha unakagua mali zako je zpo zote? Always mi huwa naangali je pc yangu ipo? Wallet ipo? Hela zpo vile vile? Je smu ipo?.
Nikijiridhisha vyote vipo basi namfungulia mlango anaenda
NB:Hatupendi kuleta madada poa kwny nyumba zetu/vyumba vyetu lakn some times tunafanya hvyo ili kuepuka garama za guest.
By the way kwa nn niende gest akati home kwangu naish peke angu?