Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwake imekuwa hivyo literary🤣🤣🤣Si wanasema life begins at 40, mwache aanze upya maisha.
Yani na dodoki la kuoshea vyombo sijui hivo vikombe alivobakiza ataosha na nin🤔We imagine mtu anaiba kabati na nguo zake😀😀
Atasugua na mchanga 😅😅😅Yani na dodoki la kuoshea vyombo sijui hivo vikombe alivobakiza ataosha na nin🤔
Sentence tata iyo.Cocaine inaijua ww, basi huyo dada poa ana pesa hatar
Wezi wa siku hizi ni balaa, Ety mwizi anaiba na brash la chooni 🙆🙆🙆🙆Atasugua na mchanga 😅😅😅
Amepewa fundisho aoeMoja kwa moja kwenye mada, Ni ndugu yangu mmoja ameshakamata 40 years mpaka Sasa Ana kazi Ni afisa kilimo na mifugo.
Jamaa Ni hataki kusikia habari ya kuoa, Ni baada ya kupigwa tukio na alokua manzi yake miaka mitano ilopita.
Alishangaa tu anaambiwa manzi yake kaolewa na yeye Hana taarifa yoyote na juzi tu wametoka kuwasiliana pia hakukua na ugomvi wowote Kati yao.
Sasa katika miaka yote hio amekua Ni mtu wa kuchakata Dada poa Hana plan yoyote ya maisha hufanya hivyo salary ikitoka au akiwa na pesa kuchacha kwake Ni kawaida ikifika tar 1 Hana kitu anakula msotooo mwezi mzima mpaka atakapokutana na kirungu kingine
Madeni benki na nje😀 yaani kwa kifupi Mambo Ni tafrani toka amepigwa tukio na Yule binti.
Sasa last week aliopoa Dada poa kumbe alikua mwizi wamerudi wamelewa jamaa akapigwa na midawa ya kulevya sijui Ni cocaine au heroine au ugoro bila kujielewa amekuja kuamka saa 7 mchana ndani Hakuna chochote alichoachiwa Ni kitanda alicholalia na vikombe viwili vya chai.
Imagine mtu anaiba adi sufuria
🙂
Tuweni makini
🤣😂🤣😂😅Akili zake kama za Yusufu Makamba "idiot"
Hawana mambo mengi...ukimwambia unamtaka anakujibu POAKwanini wanaitwa dada poa?
Hii iliwahi tokea mahaliSafi sana, angemshusha chini abebe hadi kitanda na godoro.
Bei elekeziHawana mambo mengi...ukimwambia unamtaka anakujibu POA
Ni vibaka au macd hao mnaochukua?Hii iliwahi tokea mahali