Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.

Huu sio ustaarabu na ni unyama wa kiwango cha hali ya juu, wewe kama binadamu jiulize kwanza kabla kumfanyia mwenzio kitendo chochote kama uko tayari wewe kufanyiwa hivyo unavyotaka kumfanyia mwenzao.
 
walitakiwa watandikwe na mboko Kabisa hao ili vifisadi vingine viwe na adabu
 
Huu sio ustaarabu na ni unyama wa kiwango cha hali ya juu, wewe kama binadamu jiulize kwanza kabla kumfanyia mwenzio kitendo chochote kama uko tayari wewe kufanyiwa hivyo unavyotaka kumfanyia mwenzao.
Jiulize kabla ya kufanya ufisadi
 
Nyie watu sijui mnaakili gani ?!!

Sisi ndugu zetu wezi wa kuku kila siku wanadhalilishwa lkn kuonekana picha hizi ndio mnajifanya mnaumia....

Hawa ni wahalifu, utaratibu uendelee kama kawaida.
wezi wa kuku mwenye thamani ya 10000 anavishwa tairi hawa wa mabilioni unataka tuwapetipeto?
 
Hukuona wale watuhumiwa wa mihadarati walivyozalilishwa? tena wale hadi wakina mama waliambiwa wachuchumae., rule of law inapaswa iangaliwe kwa wananchi wote regardless ni akina nani katika jamii

Ninamaanisha yeyote anayefanyiwa hivi si sahihi, haijalishi amefanya kosa gani, mahali pa kutoa hukumu ni mbele ya mahakama na sio kabla ya hapo.
 
Mbona huo ni utaratibu wa kawaida pale mahakamani. Mtuhumiwa akitoka ndani ya Mahakama wakati anasubiri karandinga anatakiwa kuchuchumaa ili asikimbie. Huu utaratibu umekuwepo kwa muda tu. Nashangaa leo kuna watu mnajitoa fahamu! Au kwa kuwa ni Singasinga na Ruge!? Inapelekea kuamini kwamba Bwana Pascal Mayalla umeshachukua bahasha kutoka huko kunako "Dude".

Umesahau ya kwamba Yona na Mramba nao walichutama wakati wanasubiri karandinga!?
 
yule aliyemuua Daudi Mwagosi alikua analindwa na polisi asipigwe picha wala kuzalilika mbele ya jamii.

Cha msingi hapa tulete malalamiko ya watazania wa kawaida wakizalilishwa na tusianzie kwa kutetea hawa Mafisadi Papa nia yetu itaonekana ni kutetea wenye pesa tu tena za wizi.


Kuna wale watuhumiwa wa ukahaba wakiletwa mahakamani hujifunika na kanga usoni kujisitiri lakini askari huwapiga makofi na kuwapokonya kanga hizo ili wasijisitiri,
kwa nini tusianze kuwatetea hao???
 
Double standard... gazeti lefu kisa singa singa kapigishwa magoti na bado!!!!

Wanadhalilishwa kina mnyika bungeni umenyamaza hili la jana ndo linakumiza...
Singasinga alipiga magoti kwa ridhaa yake baada ya kushindwa kuchutama kutokana na kitambi/ubwanyenye. Kuna watu wanatokwa na povu humu, wamesahau kwamba Yona na Mramba nao walichutama pia mkuu.
 
Dah! Nilifikiri ni mimi tu nimeliona, kutokana na muhemuko wa hili Jambo nikaona ngoja nikae kimya, ni kweli hao jamaa wanatuhumiwa kwa kuhujumu uchumi lakini sikuona sababu yoyote ile ya kuwadharirisha, sasa walipiga magoti ili iweje??

Hivi kupiga magoti ni kudharirika?

Basi wanafunzi wote wakashtaki maana wanadharirishwa miaka yote!
 
Paskali hajaandika vilema wale kula kipigo posta!
 
Acha unafiki mbona vibaka wa kuku wanadharirishwa kila siku na hujawahi kusema au kwasababu hao mabilionea ndio povu linakutoka
Wezi wa Kuku wanadhalilishwa Mitaani na Vijilante wengi wao Wahuni wasio na maadili. Sio jukumu la Serika au mahakama kudhalilisha watu. Under the Rule of Law you are innocent Untill proven guity!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…