MLUGURU
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 2,929
- 3,710
Kumbe ndo mana Mkuu alikuita Njaa wewe....nikisoma na matangopori yako uliyokuwa unaandika mwaka 2014 juu ya hili sakata napata jibu.
Sasa ushasema kuwa sababu ni kuwazuia wasitoroke chini ya ulinzi alafu unatoa hoja zako nyepesi za utetezi za unene na uzee.
Utajiri kwa fedha haramu haujawahi kumuacha mtu salama maisha yake yote hapa duniani.
Sasa ushasema kuwa sababu ni kuwazuia wasitoroke chini ya ulinzi alafu unatoa hoja zako nyepesi za utetezi za unene na uzee.
Utajiri kwa fedha haramu haujawahi kumuacha mtu salama maisha yake yote hapa duniani.