Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,860
Ndio maana kuna mahakama, vinginevyo tungeruhusiwa tu tumalizane nao huku mitaani. Innocent until proven guilty.Hizi sheria zingine zahovyo
Mtu kasababisha uhai wa wenzie upotee kwa ufisadi wao
Bado apelekwe kama Yai!!