fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,537
Ukishafika polisi kwa kosa lolote haki zako zote zimekwisha hakuna sheria polisi wanayoijuwa!!!
Sote ni binaadabu pesa walituibia ni kubwa waache wafanyiwe kile wanachofanyiwa wa Tanzania wote haki sawa kwa kila mmoja
Angepiga magoti mtoto wa mkulima tungesikitika kweli au ni kw hawa wezi waliyo tufanya adi kutumia umeme kupikia unawaza mara 20 x20 adi tunapatwa na pressure ukipigiwa simu nyumbani gas imeisha wacha wawefunzo kwa wengine walingechapwa na viboko 12 walipo ingia mahakamani na siku ya kupata dhamani 12 mbele ya camera
Sote ni binaadabu pesa walituibia ni kubwa waache wafanyiwe kile wanachofanyiwa wa Tanzania wote haki sawa kwa kila mmoja
Angepiga magoti mtoto wa mkulima tungesikitika kweli au ni kw hawa wezi waliyo tufanya adi kutumia umeme kupikia unawaza mara 20 x20 adi tunapatwa na pressure ukipigiwa simu nyumbani gas imeisha wacha wawefunzo kwa wengine walingechapwa na viboko 12 walipo ingia mahakamani na siku ya kupata dhamani 12 mbele ya camera