Kajala, mwanae wazua "GUMZO" Mlimani city

Kalivyo kazuri jamaniii, sijui atakatunzia wapi wasije kukabemenda mapema kama Lulu, Angalau ka Lulu kamebemendwa kakapata mkwanja wengine wanabemendwa wanapata Ukosefu wa Bia Mwilini, (UBIMWI)
 
Kusema za ukweli kabinti ni karembo kana natural beauty hata hakajanyoa nyusi...hebu kaangalieni tena mara mbili mbili utadhani LuLu....
 
sio munira huyoo...?!!
maana kuna demu alikua anaitwa munira nae alipinda hatariiiii!!!

Duh! nimeiogopa jf....data zote zinapatikana...Munira nae si alipewaga mimba na p funk...nilisomaga nae Forodhani
 
Duh! nimeiogopa jf....data zote zinapatikana...Munira nae si alipewaga mimba na p funk...nilisomaga nae Forodhani

ndo huyo huyo na alivyopata mimba mahaba yakaisha
pfunky nyoko
 
P funk nyoko kweli...alikuwa anawamix...alafu Munira kwao waislam safi lkn mtoto du...

pfunky anakuchezea akikupa mimba ndo baas
siku moja mda kidogo nlikutana na muny mwenge lloh alichoka hatarii hapo ndo kashadampiwa
pale forodhani kuna dada mmoja nimemsahau jina alikua anatanua na mutie(rip)
alikua ana gg hosteli katutesa sana ijumaa demu anaenda kwa mzee madiba kula gudtime na rodney jumapili wanarudi zao j3skonga
aiseeehh nilikua nablow sana yaani!!
 
P funk nyoko kweli...alikuwa anawamix...alafu Munira kwao waislam safi lkn mtoto du...

pfunky anakuchezea akikupa mimba ndo baas
siku moja mda kidogo nlikutana na muny mwenge lloh alichoka hatarii hapo ndo kashadampiwa
pale forodhani kuna dada mmoja nimemsahau jina alikua anatanua na mutie(rip)
alikua ana gg hosteli katutesa sana ijumaa demu anaenda kwa mzee madiba kula gudtime na rodney jumapili wanarudi zao j3skonga
aiseeehh tulikua tunablow mapigo sana yaani!!
 

Wengi wanaotesa name kutanua wakiwa shule mtaani wanakuwa alosto.. Me classmate wangu wa kike waliokuwa hawashikiki ukiwaona leo mtaani wanavyohusle utawahurumia. Waliojitahidi Sana walipata ualimu wa primary. Matokeo yake wakikuona unasonga vizuri wanakuonea wivu na kusnitch kumbe wao walishatesa wakati wao
 

Sio Gift kweli...maana huyo safari za nje zilikuwa haziishi...Forodhani watu walitesa i see...ikifika muda wa lunch watu wanashindana kuingia kwenye mindinga ya ukweli...enzi hizo kina Koletha ndo wenyewe
 

usemayo ni kweli wengine ukiwaona utawaonea huruma
wamebaki umbea na majungu tu
kuna mabinti wamechezea sana shilingi chooni
leo wanajuta wengine wamebaki kua machangudoa waliokubuhu wana mihuri kila club maarufu wanajulikana na mahoteli ya kujiuza uza hovyoo
 
Sio Gift kweli...maana huyo safari za nje zilikuwa haziishi...Forodhani watu walitesa i see...ikifika muda wa lunch watu wanashindana kuingia kwenye mindinga ya ukweli...enzi hizo kina Koletha ndo wenyewe

Alikua gg pale upanga yaani mabinti wamekula gudtii enzi za shule hao
mtu anaingia kwenye gari hiloo
baba ake hana
 
Alikua gg pale upanga yaani mabinti wamekula gudtii enzi za shule hao
mtu anaingia kwenye gari hiloo
baba ake hana

Yaaani ikifikaga hapo namshukuru Mungu ushamba wangu umenisaidia nimefika hapa lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…