Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehe hadi umtaje Wema roho yako itulie mbona mimi Uzi wa vanila sikumtaja kajala? Hahaha Leo umezidiwa. Hehehehe kajala kurumbembe la kimataifa ndio lilimfundisha Wema wa watu mambo hayaWalikutana changu muendelevu wema,,wale wale tu wakiamua kutaja waliotembea nao wanajaza basi 5 ,5
Hahaha nimeona watu wamejichokea na maisha..atafute picha yake akapigie puliWarumi ana kidemu kimembana mpaka kimuachie ndio aendelezee umbeaaaa
Kuna mtu kanichekesha eti anampenda Ane makinda aiseee
Hehehe hadi umtaje Wema roho yako itulie mbona mimi Uzi wa vanila sikumtaja kajala? Hahaha Leo umezidiwa. Hehehehe kajala kurumbembe la kimataifa ndio lilimfundisha Wema wa watu mambo haya
Lakini kajala bado mcuteeee
sana mzuri kay masanja jamani uongo mbaya
Yap
Kipindi yupo forodhani alikuwa anatembea na majani
Nashangaa kajala nae kapita halafu wakaendelea na ushosti ( ila kajala anasifa ya kukwapua vya wenzie)
Lakini mrembo anabishi tuu hata hiloo
Lakini mrembo anabishi tuu hata hiloo
Huyo paula baba ake mwenyewe huyo P.funk hana huakika kama ni mwanae, mana kila akilewa anaanza kulalamika ooh mtoto hafanani na mimi, ooh mi shombe lakini toto pure black, anasema alikuwa anampa kajala kipigo cha mwizi kay mana alikuwa anajua kajala mal.aya ndo mana na ye aliamua zaa na mke wa mtu makusudi.yani ha feel kabisa kama paula ni mtoto wake anahis alipigiwa, mana kay enz hzo alikuwa moto
Uzuri uko machoni mwa MTU. Huoni kapten komba ni mzuri kwa lulu ila mie hata na ndom siwezi kummanulia. Ila ndo lulu alishika hadi microphone ya komba
Kumbe simba Mzee amekwepa mishale mingi eehh
ndoa ndo ilimtuliza na akapata mwili ule alikua wa kawaida
Zile nywele Hazina upatanisho na damu ya shombepossible maana dah ht nywele....!!!
Imelda nae mbeya, apo unataka kumrusha roho mama ubaya tu huna lolote, sasa apo cha ajabu nn?? Wema mwaego pole wasikuzingue hao na wewe beba mbwa wako ukauze nae sura mliman city
Halo haloooooio asie na mwana abebe mbwaa ndo nishasema ...
Hutaki pita hiviiiiiiiiiiu
aah hapo hapana kay mzuri madame pale anasubiri sanaa
Me sijapenda ile bantu body na ufupi...japo mie si mrefu