Kajala na Paula wana gundu gani?

Ke wenye nyota za pesa hawafaidiki nazo, wanatumika Kama madaraja wafaidike wengine. Check walopita kwa wema
 
Mlango wa nane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wote sio. Bora kujiokotea watoto wa chuo
Mi hua nashangaa sana watu na hela zao unawakuta wanakula vikongwe hao kina kajala, wema sijui uwoya watu wameshatumika tangu miaka ya 90 hadi leo 😀. Wakati kuna vitoto vya chuo miaka 21 - 24 viko hot balaa. Sijui ni udomo zege au ni nini mi hua sielewi kabisa..
 
Tunaita jicho la tatu ambalo wanadam wengi hawanalo.
 
MLANGO WA 8!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…