Kajala ni pandikizi anayeitafuna Konde Gang

Jamaa anapiga single maza ambaye ni mjanja wa mjini anyway Noma sana. Demu anaweza kukufanya uwe maskini au tajiri vilevile lkn
 
Jamaa anapiga single maza ambaye ni mjanja wa mjini anyway Noma sana. Demu anaweza kukufanya uwe maskini au tajiri vilevile lkn
Hii couple mmoja(mlugaluga) kalewa na kapofuka kisa mapenzi. Mwingine yuko pale strategically, anajua alichofuata na dalili zinaonyesha ya kwamba slowly but surely anaiingia inner circle ya utawala na finances. Anapunguza 'viwingu' mmoja baada ya mwingine, wanaojua mambo ya kuunganisha dots wanajua fainali itakuwaje.
Keyword, PATTERN.
 
Huyo mwingine ni chombo cha sterehe tu,na wanaume wote aliyokuwa nao,wameishia kufeli tu
Hapo labda huyo mwingine aishi naye
Mguu pande mguu sawa

Ova
 
Huyo mwingine ni chombo cha sterehe tu,na wanaume wote aliyokuwa nao,wameishia kufeli tu
Hapo labda huyo mwingine aishi naye
Mguu pande mguu sawa

Ova
Huyo mlugaluga hawezi kuishi na gumegume hilo mguu pande mguu sawa, kaingia kichwakichwa anasubiri kupewa za uso atolewe knockout.
 
Maisha ni sasa maisha ni leo

Mikubwa wana raha na amani kwa sasa. Kesha ni majaliwa
Ila leo ndiyo mipango ya kesho bora hupangwa. Unaweza kusema huijui kesho yako, ila hiyo kesho ikafika na ukatamani ingekukuta umeshakufa.
 
Ingekuta mm Ni hormonize singetoa na Hana Cha kunifanya Bado hatujafika level ya kulipan mabilioin
 
Mjerumani alikua anamwakilisha jembe ni jembe show nying za nje,mkataba wa jembe ni jembe kwa harmonize ulikwisha baada ya harmonize kumaliza deni lake(harmonize alikopa hela yakuwalipa wasafi),sio kwamba alifukuzwa acha kuongea uzushi
 
Mjerumani alikua anamwakilisha jembe ni jembe show nying za nje,mkataba wa jembe ni jembe kwa harmonize ulikwisha baada ya harmonize kumaliza deni lake(harmonize alikopa hela yakuwalipa wasafi),sio kwamba alifukuzwa acha kuongea uzushi
Sawa mkuu
 
Ingekuta mm Ni hormonize singetoa na Hana Cha kunifanya Bado hatujafika level ya kulipan mabilioin
Kwani alilazimishwa kutoa? Bila hivyo acc zake za Youtube na other social networks zingezuiwa,, unaleta ujuaji ndani ya mkataba..?? Unajua rich Mavoko hadi Leo YouTube akaunti yenye Jina lake inamilikiwa na wasafi..
 
Ingekuta mm Ni hormonize singetoa na Hana Cha kunifanya Bado hatujafika level ya kulipan mabilioin
Kwani alilazimishwa kutoa? Bila hivyo acc zake za Youtube na other social networks zingezuiwa,, unaleta ujuaji ndani ya mkataba..?? Unajua rich Mavoko hadi Leo YouTube akaunti yenye Jina lake inamilikiwa na wasafi..
 
Mjerumani alikua anamwakilisha jembe ni jembe show nying za nje,mkataba wa jembe ni jembe kwa harmonize ulikwisha baada ya harmonize kumaliza deni lake(harmonize alikopa hela yakuwalipa wasafi),sio kwamba alifukuzwa acha kuongea uzushi
Jembe ni Jembe yupo Konde mpaka kesho anakula percent zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…