Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Huko utaishi wewe kwakweli mimi akuuTumeahidiwa maisha mengine yakiisha haya.
Huko sasa Mimi ndio nitaoa.
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko utaishi wewe kwakweli mimi akuuTumeahidiwa maisha mengine yakiisha haya.
Huko sasa Mimi ndio nitaoa.
#YNWA
Wewe ulisikia wapi!nasikia kuna ndoa yako na yeye,nikazie siyo?
Hapahapa jamviniWewe ulisikia wapi!
Masikini ya Mungu ilikuwa ni masihara hakuna chakumaanisha chiefhapahapa jamvini
To yeye
Kausha huyu mjinga anapenda support
Acha tumvimbishe kichwa aone watu wanamsupport na ujinga wake
Hapo utakuta ameoa na watoto watatu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sawa mammy 😳😳😳😳sawa mamy,ila yule anahitaji tamu na care nzuri ili atulie
Sawa mamy, ila yule anahitaji tamu na care nzuri ili atulie
Hivi Kuna mwanamke ambaye HANA MDOMO?Tatizo lako ni kutoa majumuisho kutokana na watu waliofeli kwenye ndoa kwasababu ya ignorance yao.
Pole sanaa braza.Bikra mpuuzi kbs Nilikuwa Nampa kichapo daily kwa sababu ya dharau..nikimwambia haelewi mtoto mdogo afu ana mitusi..pesa nitafute Mimi halafu mjinga MMOJA anione me fala.