Kaka anataka kuvunja ndoa kisa mdomo wa mkewe!

Kaka anataka kuvunja ndoa kisa mdomo wa mkewe!

Soma hiyo 👇👇👇
Si unaona mwenzako hajatoa hitimisho Kwa wote kwamba usioe na Kwa msisitizo amesema ataoa tena ila alishindwa ataona njia sahihi ya kufanyia, lakini wewe umekomaa TU usioe usioe, nyie ndo wenye kuleta Watoto wenye baba asiyewajibika unazalisha huku unazalisha kule
 
Si unaona mwenzako hajatoa hitimisho Kwa wote kwamba usioe na Kwa msisitizo amesema ataoa tena ila alishindwa ataona njia sahihi ya kufanyia, lakini wewe umekomaa TU usioe usioe, nyie ndo wenye kuleta Watoto wenye baba asiyewajibika unazalisha huku unazalisha kule

Mwanaume asiye Lea mwanae ni mjinga mkubwa sanaaaa..

#YNWA
 
Na Ili ulee mwanao Kwa usahihi na uhakika lazima uishi na mama yake kinyume na hapo unaimgia kwenye ujinga ule ule maana Kuna muda utapishana kauli na mama mzazi utasusa kutuma matumizi

Hasira zenu ZISIMUUUMIZE MTOTO.

#YNWA
 
Na Ili ulee mwanao Kwa usahihi na uhakika lazima uishi na mama yake kinyume na hapo unaimgia kwenye ujinga ule ule maana Kuna muda utapishana kauli na mama mzazi utasusa kutuma matumizi
Hilo hawalizingatii vijana wa sasa,wapo tayari kutesa watoto wao.Mapenz yamegeuka ni kitu Cha ukatili sana
 
Kwa kizazi cha sasa kisicho na maadili kama huna kifua ni bora uachane na ndoa Ili usiingie jela au mochwari
 
Wao wanadhani ndoa ni ngono ngono tu umuhimu wa ndoa utauona baada ya ujana kuisha pale ukifika 50 ndipo utahitaji mtu wa kuwa karibu yako
Hiyo ndio shida ikifika miaka 50 na kuendelea umuhimu wa familia unaokena tena mkubwa ila ujana hupofusha watu wanawaza mbususu wakifika huko ahera wamuulize Mrema kwanini alioa Ili hali umri ukiwa umeenda wanadhani Mrema alikuwa anawaza mbususu? Upweke mbaya sana hasa umri ukiwa umesonga

VIJANA OENI WANAWAKE SAHIHI KWENU WAPO WENGI MBONA MSIJIWEKEE VIGEZO VIKUUUBWA, CHA MSINGI ELEWA HAKUNA ALIYEMKAMILFU UKIPATA WA KUKUFICHIA UDHAIFU WAKO NA WEWE MFICHIE MAISHA NDIO HAYA HAYA!
 
Hiyo ndio shida ikifika miaka 50 na kuendelea umuhimu wa familia unaokena tena mkubwa ila ujana hupofusha watu wanawaza mbususu wakifika huko ahera wamuulize Mrema kwanini alioa Ili hali umri ukiwa umeenda wanadhani Mrema alikuwa anawaza mbususu? Upweke mbaya sana hasa umri ukiwa umesonga

VIJANA OENI WANAWAKE SAHIHI KWENU WAPO WENGI MBONA MSIJIWEKEE VIGEZO VIKUUUBWA, CHA MSINGI ELEWA HAKUNA ALIYEMKAMILFU UKIPATA WA KUKUFICHIA UDHAIFU WAKO NA WEWE MFICHIE MAISHA NDIO HAYA HAYA!
Hawatutaki sisi tusio na mvuto..
 
Back
Top Bottom