Brother mm kwa upande wangu iko hivi miaka minne ilopita nilmpata mwanamke ambaye nlihisi atakua wa maisha,akapambana akashika mimba pale ndo nkaona rangi yake halisi anaweza akanigombeza mbele ya mama yangu mzazi,siku moja nkamuambia siku nikiuchoka huu mdomo ntaondoka,,akadhani natania,siku moja nkawaita ndugu zake na ndugu zangu baadhi nkawaambia mm sitoweza kuishi na huyu kwa sasa so either nmuache humu ndani au aondoke akatafute nyumba ya kupanga,akasema niondoke mimi,niliondoka na beg langu la nguo kama utani yaani,,hadi amebaki single maza na hadi kwao wanamuambia huo mdomo wako umekuponza,,,
Hitimisho:mimi ntaoa na akizingua ntajua hakua w kwangu atasepa ntaoa mwingine,ndoa n furaha aisee hujui tuu.